Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina wautaka Umoja wa Afrika kuifukuza Israel katika umoja huo

    Wapalestina wautaka Umoja wa Afrika kuifukuza Israel katika umoja huo

    Feb 05, 2022 10:47

    Viongozi na makundi ya ukombozi wa Palestina wameutaka Umoja wa Afrika (AU) kufikiria upya uamuzi wa mwaka jana wa kuipa Israel hadhi ya kuwa mwangalizi katika umoja huo.

  • Hamas yamshukuru mcheza tenisi Mkuwaiti aliyekataa kucheza na Mzayuni

    Hamas yamshukuru mcheza tenisi Mkuwaiti aliyekataa kucheza na Mzayuni

    Jan 29, 2022 06:53

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imempongeza mcheza tenisi wa Kuwait aliyekataa kucheza na mwakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani

    Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani

    Jan 19, 2022 07:16

    Iran imepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana hapa nchini katika kuwawezesha wanawake na wasichana, licha ya vikwazo vya Marekani vilivyo kinyume cha sheria na vya kinyama vinavyolenga nchi hiyo.

  • Palestina yatuma barua Umoja wa Mataifa kulalamikia jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Palestina yatuma barua Umoja wa Mataifa kulalamikia jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Jan 15, 2022 23:15

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amewatumia barua viongozi na maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa akikosoa na kulalamikia kuongezeka jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina.

  • Waigizaji maarufu wamuunga mkono mwenzao aliyewatetea Wapalestina

    Waigizaji maarufu wamuunga mkono mwenzao aliyewatetea Wapalestina

    Jan 14, 2022 21:22

    Makumi ya waigizaji nyota wa filamu duniani wamejitokeza na kutangaza kumuunga mkono muigizaji mwenzao wa Uingereza, Emma Watson, ambaye hivi karibuni alishambuliwa vikali na maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuchapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram ujumbe wa kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na kiongozi wa Hamas mjini Doha

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na kiongozi wa Hamas mjini Doha

    Jan 12, 2022 01:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amekutana na Ismail Haniyeh kiongozi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.

  • Namna alivyokamatwa ajenti wa Mossad katika mauaji ya mwanasayansi wa Kipalestina

    Namna alivyokamatwa ajenti wa Mossad katika mauaji ya mwanasayansi wa Kipalestina

    Jan 10, 2022 23:08

    Hatua ya vyombo vya kiintelijinsia vya muqawama ya kusikiliza mazungumzo ya mmoja wa wahusika wa mauaji ya kigaidi ya msomi na mwanasayansi wa Kipalestina aliyeuliwa huko Malaysia imepelekea kukamatwa ajenti huyo Ghaza kufuata oparesheni ya wanamuqawama.

  • Mashahidi wawili katika siku moja; jinai zisizo na ukomo za Israel dhidi ya Wapalestina

    Mashahidi wawili katika siku moja; jinai zisizo na ukomo za Israel dhidi ya Wapalestina

    Jan 09, 2022 00:09

    Wanajeshi na walowezi wa Kizayuni wa Israel siku ya Alkhamisi waliwauwa shahidi na kidhulma vijana wawili wa Kipalestina.

  • Zaidi ya wasanii 20 wasusia Tamasha la Sydney, wanapinga ufadhili wa Israel

    Zaidi ya wasanii 20 wasusia Tamasha la Sydney, wanapinga ufadhili wa Israel

    Jan 07, 2022 23:19

    Zaidi ya wasanii 20 hadi sasa yamejiondoa kwenye Tamasha la Sydney 2022 kupinga mchango wa kifedha uliotolewa na ubalozi wa utawala haramu wa Israel nchini Australia kwa moja ya maonyesho ya tamasha hilo.

  • HAMAS yasisitiza kusimama kidete muqawama mbele ya uvamizi wa Israel

    HAMAS yasisitiza kusimama kidete muqawama mbele ya uvamizi wa Israel

    Jan 07, 2022 04:32

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, makundi ya muqawama hayataweka mikono yao nyuma na kutazama tu hujuma na jinai za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS