Jul 06, 2020 10:51
Serikali ya mpito ya Sudan imetangaza kuwa imemwachisha kazi mkuu wa jeshi la Polisi na naibu wake, siku chache baada ya kufanyika maandamano makubwa ya kutaka hatua zaidi zichukuliwe dhidi ya maafisa wenye mfungamano na aliyekuwa rais wa nchi hiyo aliyeondolewa madarakani, Omar al-Bashir.