Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi

    Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi

    May 30, 2020 02:53

    Ubaguzi wa kijinsia na ubaguzi wa rangi hususan dhidi ya watu weusi daima ni mambo ambayo yamekuwa yakilaaniwa katika jamii ya Marekani.

  • Chama kikuu cha upinzani Zimbabwe chaitaka polisi ieleze waliko wanaharakati waliotoweka

    Chama kikuu cha upinzani Zimbabwe chaitaka polisi ieleze waliko wanaharakati waliotoweka

    May 15, 2020 07:54

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha Harakati kwa ajili ya Mabadiliko ya Kidemokrasia (MDC) kimesema, wanaharakati wake watatu wametoweka baada ya kushiriki maandamano ya kulalamikia uhaba wa chakula; na polisi inakana kuwashikilia wakati awali ilivieleza vyombo vya habari vya ndani kwamba wanaharakati hao walikuwa wamekamatwa.

  • Polisi wa Ufaransa waimarisha mgomo wao

    Polisi wa Ufaransa waimarisha mgomo wao

    Feb 08, 2020 07:50

    Polisi wa kitengo cha 'teknolojia na elimu' nchini Ufaransa wameimarisha mgomo wao sawa na wafanyakazi wengine wa serikali katika kupinga mabadiliko ya sheria ya ustaafu nchini humo.

  • Polisi Afrika Kusini: Kiwango cha mauaji nchini kinatisha

    Polisi Afrika Kusini: Kiwango cha mauaji nchini kinatisha

    Sep 13, 2019 02:37

    Polisi nchini Afrika Kusini imeeleza wasiwasi wake kutokana na kukithiri kwa kiwango cha mauaji ya kiholela nchini humo.

  • Baraza la Kiislamu nchini Ujerumani lalalamikia miamala mibaya ya polisi dhidi ya Waislamu

    Baraza la Kiislamu nchini Ujerumani lalalamikia miamala mibaya ya polisi dhidi ya Waislamu

    Jun 07, 2019 03:07

    Baraza Kuu la Waislamu nchini Ujerumani limekosoa mimala ya ukandamizaji ya maafisa wa polisi wa nchi hiyo kuwalenga Waislamu.

  • Polisi wa Nigeria watuhumiwa kuwabaka washukiwa wa ukahaba

    Polisi wa Nigeria watuhumiwa kuwabaka washukiwa wa ukahaba

    May 07, 2019 07:36

    Jeshi la Polisi la Nigeria linachunguza madai kuwa baadhi ya maafisa wake waliwabaka mamia ya wanawake waliowakamata kwa tuhuma za kujihusisha na ukahaba.

  • Interpol yaokoa makumi ya watoto kutoka katika masoko ya utumwa Afrika Magharibi

    Interpol yaokoa makumi ya watoto kutoka katika masoko ya utumwa Afrika Magharibi

    Apr 25, 2019 07:48

    Polisi ya Kimataifa (Interpol) imefanikiwa kuwanusuru makumi ya watu aghalabu yao wakiwa ni watoto, waliokuwa katika masoko ya utumwa katika nchi mbili za Afrika Magharibi.

  • Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Apr 19, 2019 03:01

    Polisi nchini Nigeria imewatia mbaroni na kuwazuilia makumi ya watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

  • Polisi: Watu 16 wameuawa kwa risasi katika maandamano nchini Sudan

    Polisi: Watu 16 wameuawa kwa risasi katika maandamano nchini Sudan

    Apr 13, 2019 08:09

    Polisi nchini Sudan imesema kuwa, kwa akali watu 16 wameuawa huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa katika maandamano ya Alkhamisi na jana Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.

  • Wamarekani weusi waandamana kupinga kitendo cha kufutiwa mashtaka polisi mzungu aliyeua kijana mweusi

    Wamarekani weusi waandamana kupinga kitendo cha kufutiwa mashtaka polisi mzungu aliyeua kijana mweusi

    Mar 23, 2019 13:53

    Wanasheria na familia ya kijana mwenye asili ya Kiafrika aliyeuawa na polisi mzungu nchini Marekani wamefanya maandamano mbele ya mahakama wakilaani kitendo cha kufutiwa mashtaka polisi huyo muuaji katika jimbo la Pennsylvania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS