Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • Besigye akamatwa tena, polisi Uganda yatumia vitoa machozi kuzima mkutano wa upinzani

    Besigye akamatwa tena, polisi Uganda yatumia vitoa machozi kuzima mkutano wa upinzani

    Nov 15, 2017 07:19

    Kwa mara nyingine tena polisi ya Uganda imemtia mbaroni kinara wa upinzani nchini humo Kizza Besigye, kwa tuhuma za kuitisha mkutano wa hadhara pasina kibali cha vyombo vya usalama.

  • Polisi Nigeria yatumia mabomu kuvunja Arubaini ya Imam Hussein AS

    Polisi Nigeria yatumia mabomu kuvunja Arubaini ya Imam Hussein AS

    Nov 11, 2017 03:13

    Polisi nchini Nigeria imetumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuvunja matembezi ya amani ya waumini wa Kiislamu waliokuwa wakishiriki maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) katika mji mkuu Abuja.

  • Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Nov 06, 2017 09:24

    Askari wa Nigeria wameuhujumu msafara wa waumini waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS katika jimbo la Kano na kuwaua shahidi Waislamu wawili wa madehehbu ya Shia.

  • Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu

    Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu

    Nov 02, 2017 04:11

    Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa amri ya kuundwa kikosi kingine maalumu kitakachowakandamiza Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa.

  • 'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'

    'Polisi Kenya wameshaua watu 36 katika machafuko ya uchaguzi'

    Nov 01, 2017 16:17

    Shirika moja la haki za binadamu la Kenya limetoa ripoti na kusema kuwa, zaidi ya watu 36 wameshauliwa na polisi tangu tarehe 11 Agosti siku yalipotangazwa matokeo ya uchaguzi wa kwanza wa rais nchini Kenya hadi hivi sasa.

  • Watu 5 wauawa katika maandamano dhidi ya serikali katika mji wa Goma, Kongo DR

    Watu 5 wauawa katika maandamano dhidi ya serikali katika mji wa Goma, Kongo DR

    Oct 31, 2017 02:47

    Maandamano ya wananchi ya kupinga serikali yaliyozusha makabiliano baina yao na polisi jana Jumatatu katika wilaya za Madjengon na Mabanga katika mji wa Goma mkoani Kivu ya Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamesababisha vifo vya watu watano.

  • Polisi Kenya: Watu 4 wameuawa katika maandamano ya upinzani

    Polisi Kenya: Watu 4 wameuawa katika maandamano ya upinzani

    Oct 20, 2017 17:13

    Polisi ya kenya imesema kuwa watu wanne wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini humo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita huku uchaguzi wa rais wa marudio ukikaribia kufanyika wiki ijayo. Polisi ya Kenya imesema kuwa watu hao waliuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya maafisa polisi na waandamanaji.

  • DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC

    DPP wa Kenya aagiza uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa IEBC

    Sep 24, 2017 14:33

    Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya (DPP), Keriako Tobiko ameagiza polisi na Kamisheni ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi EACC kuanzisha uchunguzi dhidi ya maafisa wa ngazi za juu wa Tume ya Uchaguzi nchini humo, kutokana na kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwezi uliopita.

  • Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi baada ya wanawake kuvamiwa mkutanoni

    Polisi ya Kenya yatumia gesi ya kutoa machozi baada ya wanawake kuvamiwa mkutanoni

    Sep 13, 2017 14:59

    Polisi nchini Kenya katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo leo wamenyunyiza angani gesi ya kutoa macho na kufyatua risasi ili kuwatawanya vijana wa kiume waliovamia hoteli moja na kuanza kuwapiga wanawake waliokuwa wakihudhuria mkutano wa uchaguzi mjini humo.

  • Polisi yashutumiwa kwa kuvamia ofisi za asasi zisizo za serikali Kenya

    Polisi yashutumiwa kwa kuvamia ofisi za asasi zisizo za serikali Kenya

    Aug 16, 2017 14:27

    Mashirika ya kiraia na yale ya kutetea haki za binadamu yamekosoa vikali hatua ya vyombo vya dola ya kuvamia na kutaka kufunga kwa nguvu ofisi ya asasi isizo ya serikali katika mji mkuu Nairobi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS