Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • HRW: 27 wauawa katika makabiliano ya polisi na waandamanaji DRC

    HRW: 27 wauawa katika makabiliano ya polisi na waandamanaji DRC

    Aug 11, 2017 07:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 27 waliuawa katika makabiliano baina ya maafisa wa polisi na waandamanaji huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jumatatu iliyopita.

  • Polisi wanne wa Misri wauawa katika shambulizi la Daesh eneo la Sinai

    Polisi wanne wa Misri wauawa katika shambulizi la Daesh eneo la Sinai

    Aug 10, 2017 14:42

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daeh (ISIS) limekiri kutekeleza shambulizi dhidi ya gari la polisi ya Misri na kuua maafisa wanne wa usalama katika eneo la Sinai.

  • DW yalaani ukandamizaji wa polisi ya Nigeria kwa ripota wake alipokuwa akiakisi ukatili dhidi ya Waislamu wa Shia

    DW yalaani ukandamizaji wa polisi ya Nigeria kwa ripota wake alipokuwa akiakisi ukatili dhidi ya Waislamu wa Shia

    Jun 26, 2017 07:50

    Viongozi wa Shirika la Utangazaji la Ujerumani la Deutsche Welle wamekosoa miamala mibaya ya maafisa usalama wa Nigeria dhidi ya ripota wao wakati alipokuwa akiandaa ripoti ya ukandamizaji wa polisi hao dhidi ya maandamano ya Waislamu wa Kishia nchini humo.

  • Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Jun 11, 2017 14:06

    Maafisa wa polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamefunga na kuuzingira Msikiti wa al-Aqsa sambamba na kuwazuia waumini wa Kiislamu kuingia na kutoka kwenye msikiti huo, ambacho ni Kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa

    Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa

    Jun 05, 2017 14:09

    Watu watatu wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika shambulizi la guruneti dhidi ya kituo cha polisi nchini Somalia mapema leo Jumatatu.

  • Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya

    Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya

    May 31, 2017 15:00

    Maafisa saba wa polisi ya utawala wameuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa kando ya barabara katika kaunti ya Lamu, kusini mashariki mwa Kenya.

  • Ashtari: Iran iko tayari kuzipatia uzoefu wa kipolisi nchi za Kiislamu

    Ashtari: Iran iko tayari kuzipatia uzoefu wa kipolisi nchi za Kiislamu

    May 25, 2017 13:57

    Mkuu wa Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikosi cha polisi cha taifa hili kiko tayari kushirikiana na nchi zote katika nyuga zote husuasan katika suala la kupambana na uhalifu wa kimataifa.

  • Polisi Tanzania yaanzisha operesheni maalum baada ya kuuawa polisi 8

    Polisi Tanzania yaanzisha operesheni maalum baada ya kuuawa polisi 8

    Apr 15, 2017 07:45

    Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amelaani mauaji ya askari polisi wanane wa nchi hiyo waliouawa kwa kushambuliwa na watu wenye silaha siku ya Alhamisi katika eneo la Jaribu Mpakani, Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani nchini humo, huku polisi ikianzisha operesheni maalumu kufuatia mauaji hayo.

  • Kiongozi wa upinzani nchini Zambia akamatwa na polisi

    Kiongozi wa upinzani nchini Zambia akamatwa na polisi

    Apr 11, 2017 16:39

    Polisi nchini Zambia imemtia mbaroni Hakainde Hichilema, kinara wa chama kikuu cha upinzani cha United Party for National Development.

  • Maafisa polisi zaidi ya 140 wa Rwanda wawasili nchini Sudan Kusini

    Maafisa polisi zaidi ya 140 wa Rwanda wawasili nchini Sudan Kusini

    Apr 05, 2017 07:43

    Rwanda imetuma makumi ya maafisa wa polisi wa kikosi kipya cha maafisa wake wa kulinda amani nchini Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS