Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • Watano wauawa London katika hujuma ya kigaidi, makumi wajeruhiwa

    Watano wauawa London katika hujuma ya kigaidi, makumi wajeruhiwa

    Mar 23, 2017 03:07

    Watu watano wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya mtu mmoja kushambulia watu waliokuwa wakitembea kwa miguu kwa kuwagonga kwa gari nje kidogo ya jengo la Bunge la Uingireza mjini London.

  • Museveni aagiza kuwekwa CCTV Uganda baada ya kuuawa Msemaji wa Polisi

    Museveni aagiza kuwekwa CCTV Uganda baada ya kuuawa Msemaji wa Polisi

    Mar 18, 2017 07:35

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameagiza kamera za CCTV zitundikwe katika miji mikubwa na barabara zote kuu za nchi hiyo, kufuatia mauaji ya Msemaji wa Jeshi la Polisi wa nchi hiyo jana Ijumaa.

  • Jeshi la Nigeria: Tutapeleka kikosi maalumu cha polisi katika maeneo yenye machafuko

    Jeshi la Nigeria: Tutapeleka kikosi maalumu cha polisi katika maeneo yenye machafuko

    Feb 23, 2017 13:15

    Jeshi la polisi nchini Nigeria limetangaza azma yake ya kupeleka kikosi maalumu cha polisi kwa ajili ya kusimamia amani katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Polisi wa Myanmar waunda kamati ya kuchunguza kuteswa Waislamu

    Polisi wa Myanmar waunda kamati ya kuchunguza kuteswa Waislamu

    Feb 14, 2017 03:15

    Baada ya kuongezeka mashinikizo makubwa ya kimataifa, hatimaye jeshi la polisi la Myanmar limetangaza nia yake ya kuwasaili na kuwachunguza maafisa wa polisi wanaodaiwa kuwanyanyasa na kuwatendea vitendo viovu Waislamu wa Rohingya.

  • Rwanda yawafuta kazi makumi ya polisi kwa kula rushwa

    Rwanda yawafuta kazi makumi ya polisi kwa kula rushwa

    Feb 08, 2017 03:35

    Serikali ya Rwanda imewafukuza kazi maafisa polisi 200 waliohusishwa na ufisadi nchini humo. Uchunguzi wa hivi karibuni uliofanywa na Taasisi ya Transparency International umeonyesha kuwa Rwanda ni nchi ya tatu yenye ufisadi wa kiwango cha chini katika nchi za chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika.

  • Polisi Nigeria wawafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa Sheikh Zakzaky

    Polisi Nigeria wawafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa Sheikh Zakzaky

    Jan 26, 2017 13:52

    Maafisa usalama nchini Nigeria wamewafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anaendelea kuzuiliwa kinyume cha sheria.

  • Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi

    Maafisa 8 wa polisi wa Misri wauawa kwa kufyatuliwa risasi

    Jan 17, 2017 07:14

    Kwa akali askari polisi wanane wa Misri wameuawa kwa kufyatuliwa risasi na kundi la watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha katika kituo cha upekuzi cha Naqb, mkoa wa New Valley usiku wa kuamkia leo.

  • Polisi Bahrain washambulia shule na kufyatulia wanafunzi mabomu

    Polisi Bahrain washambulia shule na kufyatulia wanafunzi mabomu

    Jan 12, 2017 03:46

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa vikali hatua ya maafisa usalama wa Aal-Khalifa nchini Bahrain kushambulia shule moja na kuwafyatulia wanafunzi mabomu ya kutoa machozi.

  • Polisi ya Nigeria: Tutapambana kwa nguvu zote na magaidi

    Polisi ya Nigeria: Tutapambana kwa nguvu zote na magaidi

    Dec 31, 2016 14:58

    Polisi ya Nigeria imesisitiza katika tangazo lake maalumu kwamba, imezimia kwa dhati kupambana kwa nguvu zake zote na magaidi na makundi yanayojihusisha na vitendo vya kuwateka nyara watu.

  • Wapinzani wapambana na polisi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Wapinzani wapambana na polisi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Dec 29, 2016 14:52

    Maandamano ya nchi nzima huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yamewalazimisha polisi kuingilia kati kukabiliana nayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS