Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Putin: Nina uhakika wa asilimia 100 tutayateketeza makombora ya Marekani ya Patriot Ukraine

    Putin: Nina uhakika wa asilimia 100 tutayateketeza makombora ya Marekani ya Patriot Ukraine

    Dec 26, 2022 02:17

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuhusu uamuzi wa Marekani wa kutuma mitambo ya makombora aina ya Patriot nchini Ukraine, kwamba ana uhakika wa asilimia 100 vikosi vya jeshi la nchi yake vitayateketeza makombora hayo ya ulinzi wa anga ya Washington.

  • Rais Putin wa Russia kutohudhuria mkutano ujao wa G20

    Rais Putin wa Russia kutohudhuria mkutano ujao wa G20

    Nov 11, 2022 03:09

    Ikulu ya Rais wa Russia (Kremlin) imesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo hatoshiriki mkutano wa kundi la G20 unaotazamiwa kufanyika wiki ijayo mjini Bali nchini Indonesia.

  • Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Sep 16, 2022 04:07

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema Moscow imefanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa Iran inakua mwanachama kamili wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).

  • Putin: Kipaumbele ni kutuma nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa

    Putin: Kipaumbele ni kutuma nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa

    Sep 15, 2022 10:57

    Rais wa Russia Vladimir Putin amesema katika mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kwamba "kipaumbele kinapaswa kuwa kupeleka nafaka za Ukraine kwa nchi zenye uhitaji mkubwa duniani.

  • Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi

    Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi

    Jul 19, 2022 08:34

    Baada ya safari ya Rais Joe Biden wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Saudi Arabia, Rais Vladimir Putin wa Russia leo yuko safarini nchini Iran. Kuna tofauti za wazi kati ya malengo na ajenda za safari ya Biden na Putin katika eneo la Asia Magharibi. Rais Tayyip Erdoğan wa Uturuki pia yuko safarani nchini Iran kwa lengo la mkutano wa pande tatu wa marais wa Iran, Russia na Uturuki.

  • Rais wa Russia atoa jibu zito kwa maneno ya upuuzi ya waziri mkuu wa Uingereza

    Rais wa Russia atoa jibu zito kwa maneno ya upuuzi ya waziri mkuu wa Uingereza

    Jul 01, 2022 08:02

    Rais Vladimir Putin wa Russia amejibu kauli za kipuuzi na upayukaji za waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson alizotoa dhidi yake pembeni ya mkutano wa nchi wanachama wa G7.

  • Putin atangaza kutumwa kwa makombora ya Alexander huko Belarusi

    Putin atangaza kutumwa kwa makombora ya Alexander huko Belarusi

    Jun 26, 2022 07:44

    Rais wa Russia, Vladimir Putin alitangaza jana katika mazungumzo yake na rais mwenzake wa Belarus, Alexander Lukashenko huko St. Petersburg kwamba Moscow inapeleka mifumo ya makombora ya Iskander-M huko Belarus.

  • Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa

    Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa

    Jun 18, 2022 11:29

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ukoloni mamboleo ndio umesababisha migogoro wa kibinadamu inayoshuhudiwa katika sehemu mbalimbali duniani; na kwamba Marekani na nchi za Ulaya ndizo zinazopaswa kubebeshwa dhima iwapo dunia itatumbukia kwenye baa la njaa.

  • Rais Ebrahim Raisi: Nchi huru zishirikiane ili kusambaratisha vikwazo vya mabeberu

    Rais Ebrahim Raisi: Nchi huru zishirikiane ili kusambaratisha vikwazo vya mabeberu

    Jun 09, 2022 07:15

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ushirikiano baina ya nchi huru katika kudhamini mahitaji yao ya pamoja kieneo na kimataifa ni jambo muhimu sana na ndiyo njia ya kusambaratisha mashinikizo ya madola yanayopenda kuziwekea vikwazo nchi nyingine.

  • Putin awaagiza wanajeshi wake kuizingira kikamilifu Mariupol

    Putin awaagiza wanajeshi wake kuizingira kikamilifu Mariupol

    Apr 21, 2022 12:02

    Rais Vladimir Putin wa Russia amewaagiza wanajeshi wa nchi hiyo kutovamia ngome ya mwisho ya Ukraine iliyosalia katika mji uliozingirwa wa Mariupol badala yake wauzingire mji huo ili hata nzi ashindwe kuingia katika mji huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS