-
Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa
Jun 18, 2022 11:29Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ukoloni mamboleo ndio umesababisha migogoro wa kibinadamu inayoshuhudiwa katika sehemu mbalimbali duniani; na kwamba Marekani na nchi za Ulaya ndizo zinazopaswa kubebeshwa dhima iwapo dunia itatumbukia kwenye baa la njaa.
-
Rais Ebrahim Raisi: Nchi huru zishirikiane ili kusambaratisha vikwazo vya mabeberu
Jun 09, 2022 07:15Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ushirikiano baina ya nchi huru katika kudhamini mahitaji yao ya pamoja kieneo na kimataifa ni jambo muhimu sana na ndiyo njia ya kusambaratisha mashinikizo ya madola yanayopenda kuziwekea vikwazo nchi nyingine.
-
Putin awaagiza wanajeshi wake kuizingira kikamilifu Mariupol
Apr 21, 2022 12:02Rais Vladimir Putin wa Russia amewaagiza wanajeshi wa nchi hiyo kutovamia ngome ya mwisho ya Ukraine iliyosalia katika mji uliozingirwa wa Mariupol badala yake wauzingire mji huo ili hata nzi ashindwe kuingia katika mji huo.
-
Biden: Siombi radhi wala sibadili kauli yangu kuhusu Putin
Mar 29, 2022 07:54Rais Joe Biden wa Marekani amesema, haombi radhi wala hatobadili kauli yake kuhusu aliyosema kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia hapasi kubaki madarakani.
-
Biden: Tutamjibu Putin iwapo atatumia silaha za kemikali
Mar 25, 2022 08:05Rais Joe Biden wa Marekani ametangaza kuwa iwapo Rais Vladimir Putin wa Russia atatumia silaha za kemikali na kusababisha uharibifu mkubwa huko Ukraine Marekani itajibu hatua hiyo.
-
Peskov: Matamshi ya Biden dhidi ya Putin "hayasameheki", "hayakubaliki"
Mar 17, 2022 03:23Msemaji wa Rais wa Russia Dmitry Peskov ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Joe Biden wa Marekani dhidi ya mwenzake wa Russia, Vladimir Putin kuwa "hayakubaliki" na "hayawezi kusamehewa."
-
Putin: Marekani inaitumia Ukraine kuidhibiti Russia
Feb 02, 2022 08:09Rais wa Russia amesema kuwa Washington imejaribu kila iwezalo kuidhibiti Russia na inaitumia Ukraine kama wenzo wa kufanikisha lengo hilo.
-
Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin
Jan 19, 2022 03:28Rais Ebrahim Raisi wa Iran leo anaelekea Russia kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo kuhusu masuala muhimu ya kieneo, kimataifa na ya pande mbili.
-
Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia
Oct 14, 2021 02:21Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa kiwango cha chini ya mapato ya aghalabu ya wananchi wa Russia ndio adui mkuu wa nchi hiyo na kueleza kuwa adui mkubwa zaidi wa Warussia ni mapatano ya kiwango cha chini ya mamilioni ya raia wa nchi hiyo.
-
Putin ataka kuhuishwa JCPOA katika muundo wake wa asili
May 01, 2021 13:16Rais Vladmir Putin wa Russia ametoa mwito wa kuhuishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuyarejesha katika muundo wake wa asili.