Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Biden: Siombi radhi wala sibadili kauli yangu kuhusu Putin

    Biden: Siombi radhi wala sibadili kauli yangu kuhusu Putin

    Mar 29, 2022 07:54

    Rais Joe Biden wa Marekani amesema, haombi radhi wala hatobadili kauli yake kuhusu aliyosema kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia hapasi kubaki madarakani.

  • Biden: Tutamjibu Putin iwapo atatumia silaha za kemikali

    Biden: Tutamjibu Putin iwapo atatumia silaha za kemikali

    Mar 25, 2022 08:05

    Rais Joe Biden wa Marekani ametangaza kuwa iwapo Rais Vladimir Putin wa Russia atatumia silaha za kemikali na kusababisha uharibifu mkubwa huko Ukraine Marekani itajibu hatua hiyo.

  • Peskov: Matamshi ya Biden dhidi ya Putin

    Peskov: Matamshi ya Biden dhidi ya Putin "hayasameheki", "hayakubaliki"

    Mar 17, 2022 03:23

    Msemaji wa Rais wa Russia Dmitry Peskov ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Joe Biden wa Marekani dhidi ya mwenzake wa Russia, Vladimir Putin kuwa "hayakubaliki" na "hayawezi kusamehewa."

  • Putin: Marekani inaitumia Ukraine kuidhibiti Russia

    Putin: Marekani inaitumia Ukraine kuidhibiti Russia

    Feb 02, 2022 08:09

    Rais wa Russia amesema kuwa Washington imejaribu kila iwezalo kuidhibiti Russia na inaitumia Ukraine kama wenzo wa kufanikisha lengo hilo.

  • Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin

    Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin

    Jan 19, 2022 03:28

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran leo anaelekea Russia kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo kuhusu masuala muhimu ya kieneo, kimataifa na ya pande mbili.

  • Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia

    Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia

    Oct 14, 2021 02:21

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa kiwango cha chini ya mapato ya aghalabu ya wananchi wa Russia ndio adui mkuu wa nchi hiyo na kueleza kuwa adui mkubwa zaidi wa Warussia ni mapatano ya kiwango cha chini ya mamilioni ya raia wa nchi hiyo.

  • Putin ataka kuhuishwa JCPOA katika muundo wake wa asili

    Putin ataka kuhuishwa JCPOA katika muundo wake wa asili

    May 01, 2021 13:16

    Rais Vladmir Putin wa Russia ametoa mwito wa kuhuishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuyarejesha katika muundo wake wa asili.

  • Rais Putin: Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia

    Rais Putin: Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia

    Feb 25, 2021 12:14

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema nchi yake itaendeleza vita dhidi ya ugaidi katika maeneo ya mbali kama vile Syria na kuongeza kuwa: "Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia."

  • Putin: Vikwazo dhidi ya nchi zinazokabiliana na janga la corona vinapaswa kuondolewa

    Putin: Vikwazo dhidi ya nchi zinazokabiliana na janga la corona vinapaswa kuondolewa

    Dec 18, 2020 05:35

    Rais wa Russia amesisitiza katika mkutano wake wa kila mwaka kwamba, vikwazo na vizuizi vya kibiashara vilivyowekewa nchi ambazo zimeathiriwa na maambukizi ya corona vinapaswa kuondolewa.

  • Rais wa Russia asisitizia haki ya Wapalestina ya kupigania ukombozi wao

    Rais wa Russia asisitizia haki ya Wapalestina ya kupigania ukombozi wao

    Nov 30, 2020 04:36

    Rais Vladimir Putin wa Russia amemtumia ujumbe wa maandishi Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikamana na Taifa la Palestina na kusisitiza kuwa ni haki ya taifa hilo kupigania ukombozi wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS