Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa

    Putin: US, EU ziwajibishwe dunia ikitumbukia kwenye baa la njaa

    Jun 18, 2022 11:29

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema ukoloni mamboleo ndio umesababisha migogoro wa kibinadamu inayoshuhudiwa katika sehemu mbalimbali duniani; na kwamba Marekani na nchi za Ulaya ndizo zinazopaswa kubebeshwa dhima iwapo dunia itatumbukia kwenye baa la njaa.

  • Rais Ebrahim Raisi: Nchi huru zishirikiane ili kusambaratisha vikwazo vya mabeberu

    Rais Ebrahim Raisi: Nchi huru zishirikiane ili kusambaratisha vikwazo vya mabeberu

    Jun 09, 2022 07:15

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ushirikiano baina ya nchi huru katika kudhamini mahitaji yao ya pamoja kieneo na kimataifa ni jambo muhimu sana na ndiyo njia ya kusambaratisha mashinikizo ya madola yanayopenda kuziwekea vikwazo nchi nyingine.

  • Putin awaagiza wanajeshi wake kuizingira kikamilifu Mariupol

    Putin awaagiza wanajeshi wake kuizingira kikamilifu Mariupol

    Apr 21, 2022 12:02

    Rais Vladimir Putin wa Russia amewaagiza wanajeshi wa nchi hiyo kutovamia ngome ya mwisho ya Ukraine iliyosalia katika mji uliozingirwa wa Mariupol badala yake wauzingire mji huo ili hata nzi ashindwe kuingia katika mji huo.

  • Biden: Siombi radhi wala sibadili kauli yangu kuhusu Putin

    Biden: Siombi radhi wala sibadili kauli yangu kuhusu Putin

    Mar 29, 2022 07:54

    Rais Joe Biden wa Marekani amesema, haombi radhi wala hatobadili kauli yake kuhusu aliyosema kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia hapasi kubaki madarakani.

  • Biden: Tutamjibu Putin iwapo atatumia silaha za kemikali

    Biden: Tutamjibu Putin iwapo atatumia silaha za kemikali

    Mar 25, 2022 08:05

    Rais Joe Biden wa Marekani ametangaza kuwa iwapo Rais Vladimir Putin wa Russia atatumia silaha za kemikali na kusababisha uharibifu mkubwa huko Ukraine Marekani itajibu hatua hiyo.

  • Peskov: Matamshi ya Biden dhidi ya Putin

    Peskov: Matamshi ya Biden dhidi ya Putin "hayasameheki", "hayakubaliki"

    Mar 17, 2022 03:23

    Msemaji wa Rais wa Russia Dmitry Peskov ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Joe Biden wa Marekani dhidi ya mwenzake wa Russia, Vladimir Putin kuwa "hayakubaliki" na "hayawezi kusamehewa."

  • Putin: Marekani inaitumia Ukraine kuidhibiti Russia

    Putin: Marekani inaitumia Ukraine kuidhibiti Russia

    Feb 02, 2022 08:09

    Rais wa Russia amesema kuwa Washington imejaribu kila iwezalo kuidhibiti Russia na inaitumia Ukraine kama wenzo wa kufanikisha lengo hilo.

  • Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin

    Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin

    Jan 19, 2022 03:28

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran leo anaelekea Russia kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo kuhusu masuala muhimu ya kieneo, kimataifa na ya pande mbili.

  • Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia

    Putin: Umaskini ni adui mkuu wa Russia

    Oct 14, 2021 02:21

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa kiwango cha chini ya mapato ya aghalabu ya wananchi wa Russia ndio adui mkuu wa nchi hiyo na kueleza kuwa adui mkubwa zaidi wa Warussia ni mapatano ya kiwango cha chini ya mamilioni ya raia wa nchi hiyo.

  • Putin ataka kuhuishwa JCPOA katika muundo wake wa asili

    Putin ataka kuhuishwa JCPOA katika muundo wake wa asili

    May 01, 2021 13:16

    Rais Vladmir Putin wa Russia ametoa mwito wa kuhuishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuyarejesha katika muundo wake wa asili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS