Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rohingya

  • Waislamu Warohingya 150 wauliwa katika shambulio la jeshi la Myanmar

    Waislamu Warohingya 150 wauliwa katika shambulio la jeshi la Myanmar

    Nov 17, 2016 03:54

    Waislamu wasiopungua 150 wa jamii ya Rohingya wameuliwa katika mashambulio yaliyofanywa na jeshi la Myanmar katika eneo la Rakhine.

  • Jeshi la Myanmar laua makumi ya Waislamu wa Rohingya

    Jeshi la Myanmar laua makumi ya Waislamu wa Rohingya

    Nov 14, 2016 11:55

    Jeshi la Myanmar limeua makumi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika wimbi jipya la ukandamizaji unaofanyika nchini humo dhidi ya jamii hiyo ya waliowachache hususan katika mkoa wa Rakhine.

  • Maandamano ya kuunga mkono Waislamu Warohingya yafanyika mbele ya White House

    Maandamano ya kuunga mkono Waislamu Warohingya yafanyika mbele ya White House

    Nov 03, 2016 12:52

    Makumi ya watu wa jamii ya wachache nchini Myanmar ya Waislamu wa kabila la Rohingya pamoja na wanaharakati wa kisiasa wameandamana hadi mbele ya Ikulu ya Rais wa Marekani, White House kulalamikia sera za viongozi wa Myanmar za mauaji yaliyoratibiwa dhidi ya Waislamu hao.

  • Wanawake Waislamu nchini Myanmar wananajisiwa na askari

    Wanawake Waislamu nchini Myanmar wananajisiwa na askari

    Oct 28, 2016 10:28

    Makumi ya wanawake Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar wanasema wanajeshi wa serikali wamekuwa wakiwanajisi na kuwadhalilisha kijinsia.

  • Kuendelea mateso dhidi ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar

    Kuendelea mateso dhidi ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar

    Oct 15, 2016 23:08

    Shambulio la hivi karibuni la watu wasiofahamika katika kituo cha ulinzi wa mpakani kati ya Myanmar na Bangladesh kimekuwa kisingizio tosha kwa jeshi na Mabudha wenye misimamo mikali huko Myanmar cha kuwashambulia tena Waislamu wa Rohingya katika mkoa wa Rakhine.

  • Malaysia yataka kupatiwa ufumbuzi matatizo ya Waislamu wa Rohingya

    Malaysia yataka kupatiwa ufumbuzi matatizo ya Waislamu wa Rohingya

    Sep 25, 2016 00:45

    Ahmad Zahid Hamidi Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia ametaka kutekelezwa mpango kamili na jumuishi wa kuyapatia ufumbuzi matatizo yanayowakabili Waislamu wa Rohingya; ambao wamelazimika kuhama Myanmar na kuwa wakimbizi kutokana na mashinikizo ya Mabudha wenye misimamo mikali wa nchi hiyo.

  • Waislamu wa Myanmar waendelea kufanyiwa jinai za kutisha

    Waislamu wa Myanmar waendelea kufanyiwa jinai za kutisha

    Jun 20, 2016 23:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuendelea jinai za mabudha dhidi ya Waislamu wa Myanmar.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS