Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rohingya

  • UN yaonya kuhusu uhalifu zaidi wa kivita dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    UN yaonya kuhusu uhalifu zaidi wa kivita dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Sep 15, 2020 12:48

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya.

  • "Mashambulizi ya anga ya Myanmar yaliyoua watoto ni jinai za kivita"

    Jul 08, 2020 08:10

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema mashambulizi ya anga yaliyofanywa hivi karibuni na jeshi la Myanmar katika mkoa wa Rakhine na kuua idadi kubwa ya raia wakiwemo watoto wadogo ni jinai za kivita.

  • Picha za satalaiti zaonyesha nyumba za Waislamu wa Mynamar zikichomwa moto

    Picha za satalaiti zaonyesha nyumba za Waislamu wa Mynamar zikichomwa moto

    May 27, 2020 03:50

    Shirika la kutetea haki za binadmau la Human Rights Watch (HRW) limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi baada ya picha za satalaiti kuonyesha nyumba za Waislamu katika mkoa wa Rakhine nchini Mynamar zikiteketea kwa moto.

  • UN: Jeshi la Myanmar linaendelea kuwafanyia jinai Waislamu Warohingya

    UN: Jeshi la Myanmar linaendelea kuwafanyia jinai Waislamu Warohingya

    Apr 30, 2020 08:01

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Myanmar amelituhumu jeshi la nchi hiyo kuwa lingali linawatendea jinai za kivita na zilizo dhidi ya binadamu Waislamu wa jamii ya Rohingya katika majimbo mawili ya nchi.

  • Makumi ya Waislamu wa Rohingya wafa kwa njaa ndani ya boti

    Makumi ya Waislamu wa Rohingya wafa kwa njaa ndani ya boti

    Apr 17, 2020 04:25

    Makumi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wamepoteza maisha kutokana na njaa baada ya boti yao kukwama baharini kwa majuma kadhaa.

  • Warohingya 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Bangladesh

    Warohingya 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Bangladesh

    Feb 11, 2020 12:02

    Kwa akali Waislamu 16 wa jamii ya Rohingya wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika Pwani ya Bengal, kaskazini mwa Bangladesh.

  • OIC yaitaka Myanmar iheshimu agizo la mahakama ya ICJ kuhusu Waislamu Warohingya

    OIC yaitaka Myanmar iheshimu agizo la mahakama ya ICJ kuhusu Waislamu Warohingya

    Jan 27, 2020 08:16

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imepongeza agizo la Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) lilioitaka serikali ya Myanmar kuchukua hatua za dharura za kuzuia mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Rohingya na kubainisha kwamba, serikali ya Myanmar inapaswa kuheshimu agizo hilo.

  • Middle East Eye: Saudia inazidisha mashaka ya Waislamu wa Rohingya

    Middle East Eye: Saudia inazidisha mashaka ya Waislamu wa Rohingya

    Jan 08, 2020 02:48

    Kituo cha habari cha Middle East Eye kimeripoti kuwa, Saudi Arabia inazidisha mashaka na masaibu ya Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Myanmar kwa kuwasaka, kuwakamata na kuwafukuza Warohingya wanaofanya kazi nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa wailaani Myanmar kwa kuwandamiza Waislamu Warohingya

    Umoja wa Mataifa wailaani Myanmar kwa kuwandamiza Waislamu Warohingya

    Dec 29, 2019 02:53

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio ambalo linailaani vikali Myanmar kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya na jamii za wengine waliowachache katika nchi hiyo ya Mabuddha.

  • Waholanzi waandamana kupinga mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Waholanzi waandamana kupinga mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Dec 11, 2019 06:52

    Wananchi wa Uholanzi wamefanya maandamano katika mji wa Hague wakipinga mauaji ya kimbari yanayofanywa na Mabudha wenye misimamo mikali wakishirikiana na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS