-
ICJ yaanza kusikiliza kesi kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu Myanmar
Dec 11, 2019 01:13Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeanza kusikiliza kesi kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar kufuatia shtaka ambalo limewasilishwa na Gambia.
-
HRW: Bangladesh inawanyima elimu watoto laki 4 wa Kirohingya
Dec 04, 2019 07:08Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema serikali ya Bangladesh imewanyima haki ya kupata elimu watoto laki nne Waislamu Warohingya wanaoishi kama wakimbizi nchini humo.
-
Myanmar yapinga uchunguzi unaofanywa na ICC kuhusiana na jinai dhidi ya Waislamu
Nov 16, 2019 12:21Utawala wa Myanmar umetangaza kupinga rasmi kuanza uchunguzi wa Mahakama ya Kimataia ya Jinai ICC kuhusiana na jinai zilizofanywa na askari wa nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Gambia yafungua faili la mauaji ya Warohingya katika mahakama ya ICJ
Nov 11, 2019 11:35Gambia imewasilisha faili la kesi ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Warohingya katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).
-
UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea
Oct 05, 2019 12:23Mchunguzi huru wa Umoja wa Mataifa kuhusu Myanmar amesema mamia ya maelfu ya Waislamu wa jamii ya Rohingya waliorejea mkoani Rakhine wakitokea Bangladesh wanakandamizwa na kuandamwa na kila aina ya dhuluma na kwa msingi huo, Myanmar sio salama kwa Warohingya zaidi kurejea.
-
'Siku ya Mauaji ya Kimbari': Waislamu Warohingya 200,000 waandamana na kuwaombea dua wenzao makambini Bangladesh
Aug 25, 2019 12:33Wakimbizi wapatao laki mbili Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchini Myanmar leo wameshiriki kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili tangu jeshi la Myanmar lilipowakandamiza na kuwalazimisha kuyahama makazi yao kwa umati na kukimbilia nchi jirani ya Bangladesh ili kunusuru maisha yao.
-
Indhari ya UN kuhusu hali mbaya ya kimasomo ya watoto wakimbizi Warohingya
Aug 18, 2019 02:24Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limesema miaka miwili ya harakati za kila uchao za kujikwamua kimaisha kwa Waislamu wa jamii ya Rohingya waliosaka hifadhi nchini Bangladesh zimetumbukiza nyongo mustakabali wa elimu kwa kizazi kizima.
-
Mwendesha Mashtaka wa ICC ataka kuchunguzwa jinai dhidi ya Warohingya
Jul 05, 2019 07:13Mwendesha Mashitaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ametoa mwito wa kuanzishwa uchunguzi wa jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar, akisisitiza kuwa wahusika wanapaswa kukabiliwa na mkono wa sheria na kubebeshwa dhima ya jinai hizo.
-
Wasiwasi wa wakimbizi Warohingya nchini Bangladesh kuhusu watoto wao
Jun 07, 2019 03:05Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR linafanya kila liwezalo kuhakikisha watoto wakimbizi Warohingya huko Bangladesh wanapata elimu wakati huu ambapo wazazi wao wana hofu kubwa juu ya mustakabali wa elimu ya watoto hao.
-
Wanajeshi wa Myanmar waliowaua Waislamu wa Rohingya waliachiwa kabla ya muda
May 27, 2019 07:12Imebainika kuwa, wanajeshi wa Myanmar waliowaua Waislamu wa Rohingya katika mkoa wa Rakhine mwaka 2017, waliachiwa huru kabla ya kukamilisha vifungo vyao.