-
ICC: Waliohusika katika jinai dhidi ya Waislamu Warohingya kuchukuliwa hatua
Mar 12, 2019 07:52Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imesema watu waliohusika katika jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar watakabiliwa na mkono wa sheria na kubebeshwa dhima ya jinai hizo.
-
Saudia yawafukuza Waislamu wa Rohingya waliokimbia mauaji Myanmar
Jan 08, 2019 15:16Saudi Arabia imewasafirishwa kwa nguvu hadi nchini Bangladesh makumi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya waliotorokea nchini humo baada ya kushadidi mauaji na mashambulizi dhidi yao katika nchi yao ya Myanmar.
-
Maseneta wa Marekani waitaka serikali yao itambue hujuma dhidi ya Waislamu Warohingya kuwa ni mauaji ya kimbari
Dec 20, 2018 08:00Kundi la Maseneta nchini Marekani limemtaka Mike Pompeo, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo atambue hujuma zinazofanywa nchini Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya kuwa ni mauaji ya kimbari.
-
Mynamar yawakamata Warohingya 106 wakielekea Malaysia
Nov 16, 2018 16:41Maafisa wa Idara ya Uhamiaji wa Myanmar wamewatia nguvuni Waislamu 106 wa Rohingya ambao walikuwa safarini kuelekea Malaysia.
-
Bangladesh yatumia askari kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi Warohingya
Nov 14, 2018 14:21Serikali ya Bangladesh imetuma maafisa usalama wakiwemo wanajeshi na askari polisi katika kambi za wakimbizi Waislamu wa Rohingya katika eneo la Cox wilayani Bazar, kusini mashariki mwa nchi kwa lengo la kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi hao na kuwarejesha Myanmar.
-
UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar
Nov 14, 2018 02:39Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bangladesh kusimamisha mpango wake wa kuwarejesha kwa nguvu nchini Myanmar maelfu ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya akisisitiza kuwa maisha yao yatakuwa hatarini.
-
Australia yawewekea vikwazo makamanda wa jeshi la Myanmar
Oct 24, 2018 02:51Serikali ya Australia imetangaza kuwawekea vikwazo makamanda watano wa jeshi la Myanmar wanaotuhumiwa kuongoza mauaji na jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Warohingya: Bora tuuliwe India kuliko kurejeshwa Myanmar
Oct 15, 2018 13:46Wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaoishi kambini nchini India wamesema afadhali wauawe wakiwa ndani ya nchi hiyo badala ya kurejeshwa nchini kwao Myanmar.
-
Hofu ya UN juu ya kufukuzwa India wakimbizi wa Rohingya
Oct 06, 2018 03:48Umoja wa Mataifa umeonesha kutiwa wasiwasi mkubwa na hatua ya India ya kuwafukuza wakimbizi Waislamu wa Rohingya na kuwarejesha nchini Myanmar.
-
Baada ya kimya cha muda mrefu Marekani yakiri, kumefanyika jina kubwa dhidi ya Waislamu, Myanmar
Sep 26, 2018 04:07Baada ya kunyamaza kimya kwa muda mrefu mbele ya jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar, hatimaye Marekani imetoa ripoti ikisisitiza kuuwa jeshi la nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia limefanya jinai na uhalifu wa kupanga na ulioratibiwa dhidi ya jamii hiyo.