Aug 25, 2018 06:55
Mwaka mmoja tangu Waislamu wa jamii ya Rohingya waanze kukimbia jimbo la Rakhine nchini Myanmar kutokana na mateso na maangamizi ya umati dhidi yao, bado Umoja wa Mataifa unashindwa kufikisha ipasavyo misaada ya kibinadamu kwa waliosalia jimboni humo.