Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rohingya

  • Amnesty International: Ni aibu kutoadhibiwa watenda jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Amnesty International: Ni aibu kutoadhibiwa watenda jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Aug 26, 2018 02:52

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa jeshi la Myanmar linaendelea kufanya jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya na watenda jinai hizo wanakingiwa kifua, suala ambalo ni aibu na fedheha kwa jamii ya kimataifa.

  • Waislamu Warohingya waendelea kukumbwa na masaibu mwaka mmoja baada ya kuanza janga

    Waislamu Warohingya waendelea kukumbwa na masaibu mwaka mmoja baada ya kuanza janga

    Aug 25, 2018 06:55

    Mwaka mmoja tangu Waislamu wa jamii ya Rohingya waanze kukimbia jimbo la Rakhine nchini Myanmar kutokana na mateso na maangamizi ya umati dhidi yao, bado Umoja wa Mataifa unashindwa kufikisha ipasavyo misaada ya kibinadamu kwa waliosalia jimboni humo.

  • UNICEF yatoa indhari: Kizazi cha Waislamu Warohingya wa Myanmar kinakabiliwa na hatari ya kutoweka

    UNICEF yatoa indhari: Kizazi cha Waislamu Warohingya wa Myanmar kinakabiliwa na hatari ya kutoweka

    Aug 23, 2018 15:00

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetahadharisha kuwa kizazi cha Waislamu Warohingya walioko nchini Myanmar na kwenye kambi za wakimbizi kwenye mpaka wa Bangladesh kinakabiliwa na hatari ya kutoweka.

  • UN: Myanmar ingali inawatendea jinai Waislamu wa Rohingya

    UN: Myanmar ingali inawatendea jinai Waislamu wa Rohingya

    Jul 19, 2018 15:37

    Wachunguzi wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema Waislamu wa jamii ya Rohingya wangali wanafanyiwa jinai za kuogofya na wanajeshi wa Myanmar wakishirikiana na Mabudha wenye misimamo ya kufurutu ada.

  • IHRC: Wahusika wa mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar wapandishwe kizimbani

    IHRC: Wahusika wa mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar wapandishwe kizimbani

    Jul 12, 2018 04:10

    Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) inataka wakuu wa kijeshi na kiserikali nchini Myanmar wafikishwe katika mahakama ya kimataifa kujibu mashtaka ya kutenda jinai dhidi ya jamii ya Waislamu Warohingya.

  • Madaktari wathibitisha Waislamu Myanmar wametendewa jinai za kuogofya

    Madaktari wathibitisha Waislamu Myanmar wametendewa jinai za kuogofya

    Jul 06, 2018 13:33

    Jumuiya ya Madaktari Watetezi wa Haki za Binadamu (PHR) imethibitisha ripoti za jinai za kuogofya wanazotendewa Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.

  • Waislamu Warohingya 11,432 wamekimbia ukandamizaji Myanmar mwaka 2018

    Waislamu Warohingya 11,432 wamekimbia ukandamizaji Myanmar mwaka 2018

    Jul 05, 2018 03:39

    Waislamu Warohingya wasiopungua 11,432 wamekimbia ukandamizaji wanaotendewa nchini Myanmar na kupata hifadhi katika nchi jirani ya Bangladesh.

  • Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar

    Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar

    Jul 01, 2018 07:46

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa China ameeleza utayari wa serikali ya Myanmar kwa ajili ya kurejea nchini humo mamia ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya kutoka Bangladesh.

  • Kuna hatari mamilioni ya Waislamu India wakafikwa na maafa ya Waislamu wa Myanmar

    Kuna hatari mamilioni ya Waislamu India wakafikwa na maafa ya Waislamu wa Myanmar

    Jun 01, 2018 00:53

    Zaidi ya watu milioni 7 wakiwemo wanawake milioni mbili na laki tisa walioolewa wametakiwa kuthibitisha uraia wao nchini India.

  • Jeshi la Myanmar lawekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Jeshi la Myanmar lawekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Apr 14, 2018 07:06

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeliweka jeshi la Myanmar katika orodha nyeusi ya umoja huo, kutokana na jinai za ubakaji zilizofanywa na askari wa nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS