Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rohingya

  • UN: Myanmar haipo tayari kuwapokea wakimbizi Warohingya

    UN: Myanmar haipo tayari kuwapokea wakimbizi Warohingya

    Apr 08, 2018 07:27

    Umoja wa Mataifa umesema Myanmar haipo tayari kuwapokea malaki ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya wanaoishi kambini katika nchi jirani ya Bangladesh.

  • Nchi za Asia zambana kiongozi wa Mynamar kuhusu mauaji ya Warohingya

    Nchi za Asia zambana kiongozi wa Mynamar kuhusu mauaji ya Warohingya

    Mar 18, 2018 16:25

    Viongozi wa nchi za Asia na Australia wamemjia juu kiongozi wa Myanmar kutokana na kutochukua hatua za maana serikali yake kukomesha wimbi la mauaji ya Waislamu wa jamii ya Rohingya mkoani Rakhine.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusaidiwa wakimbizi Waislamu Warohingya

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusaidiwa wakimbizi Waislamu Warohingya

    Mar 17, 2018 07:59

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kukusanywa misaada kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi takribani milioni moja wa jamii ya Rohingya wa Myanmar ambao wako katika kambi za wakimbizi nchini Bangladesh sambamba na kuandaliwa mazingira ya Waislamu hao kurejea nchini kwao.

  • Wataalamu wa UN: Facebook imechangia mauaji ya Waislamu wa Rohingya

    Wataalamu wa UN: Facebook imechangia mauaji ya Waislamu wa Rohingya

    Mar 13, 2018 17:21

    Wataalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameulaumu mtandao wa kijamii wa Facebook kwa kuruhusu uchochezi wa machafuko na ukatili dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.

  • Amnesty International : Jeshi la Myanmar linatwaa maeneo ya Waislamu Warohingya

    Amnesty International : Jeshi la Myanmar linatwaa maeneo ya Waislamu Warohingya

    Mar 12, 2018 07:24

    Utafiti mpya uliofanywa na Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International unaonyesha kuwa, jeshi la Myanmar limejenga kituo katika vijiji ambavyo Waislamu wa jamii ya Rohingya wamelazimishwa kuyakimbia makaazi yao.

  • UN: Tuna wasi wasi mauaji ya kimbari yamefanyika Myanmar

    UN: Tuna wasi wasi mauaji ya kimbari yamefanyika Myanmar

    Mar 08, 2018 01:41

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza juu ya wasi wasi mkubwa alionao kwamba yumkini mauaji ya kimbari yamefanywa dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar tangu Agosti mwaka jana 2017.

  • UN yasema mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya yanaendelea Myanmar

    UN yasema mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya yanaendelea Myanmar

    Mar 06, 2018 07:58

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuhusiana na kuendelea mauaji ya kizazi yanayofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya magharibi mwa nchi hiyo.

  • MSF: Waislamu wa Rohingya wangali wanamiminika Bangladesh

    MSF: Waislamu wa Rohingya wangali wanamiminika Bangladesh

    Feb 21, 2018 03:12

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetangaza kuwa, mamia ya wakimbizi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbia ukatili na mauaji nchini Myanmar wangali wanamiminika katika nchi jirani ya Bangladesh na kwamba mgogoro wa Rohingya bado unaendelea.

  •  Kuwasilishwa kwa Myanmar orodha ya kwanza ya Waislamu wa  Rohingya watakaorejeshwa nchini humo

    Kuwasilishwa kwa Myanmar orodha ya kwanza ya Waislamu wa Rohingya watakaorejeshwa nchini humo

    Feb 18, 2018 08:13

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bangladesh ameikabidhi Myanmar orodha ya kwanza ya wakimbizi wa Waislamu wa kabila la Rohingya ambao wanatazamiwa kurejeshwa katika makazi yao.

  • UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    Feb 14, 2018 07:25

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) amesema Myanmar imeshindwa kuandaa mazingira salama ya kuruhusu kurejea kwa khiari nchini humo Waislamu wakimbizi 688,000 Warohingya waliokimbilia nchi jirani ya Bangladesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS