Feb 21, 2018 03:12
Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetangaza kuwa, mamia ya wakimbizi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbia ukatili na mauaji nchini Myanmar wangali wanamiminika katika nchi jirani ya Bangladesh na kwamba mgogoro wa Rohingya bado unaendelea.