Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rohingya

  •  Kuwasilishwa kwa Myanmar orodha ya kwanza ya Waislamu wa  Rohingya watakaorejeshwa nchini humo

    Kuwasilishwa kwa Myanmar orodha ya kwanza ya Waislamu wa Rohingya watakaorejeshwa nchini humo

    Feb 18, 2018 04:43

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bangladesh ameikabidhi Myanmar orodha ya kwanza ya wakimbizi wa Waislamu wa kabila la Rohingya ambao wanatazamiwa kurejeshwa katika makazi yao.

  • UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    UN: Myanmar haijaandaa mazingira salama ya kurejea nchini Warohingya

    Feb 14, 2018 03:55

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) amesema Myanmar imeshindwa kuandaa mazingira salama ya kuruhusu kurejea kwa khiari nchini humo Waislamu wakimbizi 688,000 Warohingya waliokimbilia nchi jirani ya Bangladesh.

  • Ripoti: Waislamu wa Rohingya walimwagiwa asidi usoni kabla ya kuzikwa hai

    Ripoti: Waislamu wa Rohingya walimwagiwa asidi usoni kabla ya kuzikwa hai

    Feb 01, 2018 10:37

    Makaburi matano mapya ya umati yamegunduliwa katika vijijini vya mkoa wa Rakhine nchini Myanmar, ambapo baadhi ya Waislamu wa Rohingya walimwagiwa tindikali katika nyuso zao kabla ya viwiliwili vyao kufukiwa wakiwa hai.

  • UNICEF yataka kuandaliwa mazingira ya kurejea wakimbizi watoto wa Myanmar

    UNICEF yataka kuandaliwa mazingira ya kurejea wakimbizi watoto wa Myanmar

    Jan 25, 2018 03:54

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuboreshwa mazingira ya kiusalama na kuandaliwa uwanja wa kurejea nchini Myanmar wakimbizi watoto wa Kiislamu wa jamii ya Rohingya walioko nchini Bangladesh.

  • Warohingya walioko Bangladesh wakataa kurejeshwa nchini Myanmar

    Warohingya walioko Bangladesh wakataa kurejeshwa nchini Myanmar

    Jan 19, 2018 10:23

    Mamia ya wakimbizi wa Kirohingya walioko nchini Bangladesh leo Ijumaa wamefanya maandamano wakipinga mpango wa kuwarejesha nchini Myanmar, ambako walikimbia mauaji na mashambulizi kutoka kwa jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.

  • Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar waendelea kufanyiwa ukatili

    Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar waendelea kufanyiwa ukatili

    Jan 05, 2018 11:31

    Ukatili na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Myanmar unaendelea kuathiri maisha ya Waislamu wa kabila la Rohingya.

  • UN: Huenda Suu Kyi akafunguliwa mashitaka ya mauaji ya kimbari

    UN: Huenda Suu Kyi akafunguliwa mashitaka ya mauaji ya kimbari

    Dec 18, 2017 04:04

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema uhalifu unaofanywa na wanajeshi wakishirikiana na Mabudha nchini Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya ni mauaji ya kimbari na yumkini wanaohusika wakiwemo viongozi wa nchi hiyo wakapandishwa kizimbani karibuni hivi.

  • Waislamu 6,700 wa Rohingya wameuawa Myanmar ndani ya mwezi mmoja pekee

    Waislamu 6,700 wa Rohingya wameuawa Myanmar ndani ya mwezi mmoja pekee

    Dec 14, 2017 12:25

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka MSF limesema kwa akali Waislamu 6,700 wa jamii ya Rohingya waliuliwa katika kipindi cha mwezi mmoja nchini Myanmar, tangu operesheni mpya iliyoungwa mkono na serikali ianzishwe na jeshi la nchi hiyo dhidi ya jamii hiyo ya wachache.

  • Uchunguzi: Jeshi la Myanmar limewabaka wanawake Waislamu wa Rohingya kwa mpango maalumu

    Uchunguzi: Jeshi la Myanmar limewabaka wanawake Waislamu wa Rohingya kwa mpango maalumu

    Dec 11, 2017 23:07

    Uchunguzi mpya uliofanywa unaonyesha kuwa, wanawake Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar walibakwa kwa umati na kwa mpangilio maalumu na wanajeshi wa nchi hiyo katika mkoa wa Rakhine ulioko magharibi mwa nchi hiyo ambako kampeni ya kufuta kizazi cha jamii hiyo ya wachache imekuwa ikitekelezwa.

  • Papa Francis akataa kuwataja 'Waislamu wa Rohingya' akiwa Myanmar

    Papa Francis akataa kuwataja 'Waislamu wa Rohingya' akiwa Myanmar

    Nov 28, 2017 12:48

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amekataa kuwataja Waisalmu wa Rohingya alipohutubu leo akiwa Myanmar pamoja na kuwa jamii hiyo ya waliowachache inakabiliwa na maangamizi ya kimbari nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS