-
Rouhani: Iran inaendelea kustawi licha ya njama za maadui
Feb 11, 2020 12:18Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kustawi na kuimarika licha ya uhasama na njama za maadui hususan Marekani, na kwamba 'Mapinduzi ya Kiislamu' lilikuwa chaguo la taifa zima la Iran.
-
Rais Rouhani: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani ni ugaidi dhidi ya taifa la Iran
Feb 10, 2020 15:02Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema vikwazo vya kidhalimu vya Marekani ni kitendo cha ugaidi dhidi ya taifa lote la Iran.
-
Rouhani: Vikwazo vya madawa vya Marekani dhidi ya taifa la Iran ni kitendo cha kigaidi
Feb 06, 2020 07:36Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinakiuka sheria na kanuni za kimataifa na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kuongeza kuwa, vikwazo hivyo ni hatua ya kigaidi.
-
Rouhani: Kusimama kidete na umoja wa wananchi wa Iran; sababu ya kushindwa njama za Marekani
Feb 06, 2020 01:20Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kusimama kidete na umoja wa wananchi wa Iran ni sababu ya kufeli njama zote za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Rouhani: Hatua ya Iran ya kupunguza utekelezaji wa JCPOA ni kwa mujibu wa makubaliano hayo
Feb 04, 2020 04:47Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hatua ya Tehran ya kupunguza utekelezajii wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA imechukuliwa kwa mujibu wa vipengee vya makubaliano hayo na kwa ajili ya kuyalinda.
-
Rouhani: Muamala wa Karne ni muamala wa fedheha na chuki
Feb 02, 2020 07:38Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja 'Muamala wa Karne' kama mpango wa Marekani wa kufedhehesha, aibu na wenye kuchukiza.
-
Rouhani: Watu wa Asia Magharibi watakabiliana na dhulma za Marekani
Jan 28, 2020 11:51Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wananchi wa nchi za eneo la Asia Magharibi watakabiliana na dhulma na ubeberu wa Marekani.
-
Rais Rouhani: Umoja wa Wairani umewezesha kushinda njama za Marekani
Jan 27, 2020 12:25Rais Hassan Rouhani amesema, Marekani ilijitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na ikamuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa lengo la kutaka Iran itengwe, hata hivyo umoja na mshikamano wa wananchi wa Iran umewezesha kushindwa na kugonga mwamba njama hizo za Marekani.
-
Rouhani: Wananchi ni chanzo halisi cha nguvu na uwezo wa Iran
Jan 22, 2020 12:38Rais Hassan Rouhani amesema wananchi wa Iran ndio chimbuko la kweli na halisi la nguvu na uwezo mkubwa wa taifa hili.
-
Rais Rouhani atilia mkazo kuimarishwa ushirikiano na nchi mbalimbali za dunia
Jan 21, 2020 12:02Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza ulazima wa kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi, kiutamaduni na kielimu kati ya Iran na nchi mbalimbali za dunia.