Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rouhani: Mpango wa kufikisha maji ya Ghuba ya Uajami hadi mashariki mwa Iran ni mradi adhimu

    Rouhani: Mpango wa kufikisha maji ya Ghuba ya Uajami hadi mashariki mwa Iran ni mradi adhimu

    Mar 14, 2021 11:07

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mpango wa kuyahamisha maji ya Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman na kuyapeleka hadi katika maeneo ya kati na mashariki mwa Iran ni mradi adhimu na wa kihistoria wenye lengo la kutela mlingano katika ustawi wa nchi.

  • Rais Rouhani: Njia pekee bora ya kuyakurubisha pamoja mataifa ya dunia ni kujiimarisha kielimu na kiutamaduni

    Rais Rouhani: Njia pekee bora ya kuyakurubisha pamoja mataifa ya dunia ni kujiimarisha kielimu na kiutamaduni

    Mar 10, 2021 02:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njia pekee ya kudumu kwa ajili ya kuyafanya mataifa ya dunia yakurubiane zaidi, ni kujiimarisha kielimu na kiutamaduni.

  • Rais Rouhani: Mapatano ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno, yanahitaji vitendo

    Rais Rouhani: Mapatano ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno, yanahitaji vitendo

    Mar 03, 2021 13:50

    Rais Hassan Rouhani amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasubiri kuona hatua za kivitendo kuhusiana na makubaliano ya nyuklia na akasisitiza kuwa makubaliano hayo ya JCPOA hayalindiki kwa kaulimbiu na maneno matupu.

  • Rouhani:  Marekani haina budi ila kuipigia Iran magoti

    Rouhani: Marekani haina budi ila kuipigia Iran magoti

    Mar 02, 2021 02:47

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kukiri serikali ya Marekani kuhusu kufeli mashinikizo na vikwazo vyake dhidi ya Iran ni mafanikio makubwa kwa taifa la Iran.

  • Rouhani: Haiyumkiniki kujumuisha maudhui nyingine katika JCPOA

    Rouhani: Haiyumkiniki kujumuisha maudhui nyingine katika JCPOA

    Feb 18, 2021 03:14

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni jambo lisilowezekana kuarifisha na kujumuisha maudhui nyinginezo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Rais Rouhani: Iran haina mpango wa kutumia silaha za maangamizi ya umati

    Rais Rouhani: Iran haina mpango wa kutumia silaha za maangamizi ya umati

    Feb 17, 2021 08:07

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii haijawahi kuwa na mpango wa kumiliki silaha za nyuklia wala kuzitumia.

  • Rouhani: Kuielewa Qurani Tukufu, ndio ufunguo wa kuongoka vijana

    Rouhani: Kuielewa Qurani Tukufu, ndio ufunguo wa kuongoka vijana

    Feb 13, 2021 11:21

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuyaelewa mafundisho sahihi ya Qurani Tukufu ndio ufunguo wa kuongoka katika njia iliyonyooka tabaka la vijana.

  • Rouhani: Iran haijaona nia njema ya utawala mpya wa Marekani

    Rouhani: Iran haijaona nia njema ya utawala mpya wa Marekani

    Feb 11, 2021 12:29

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema taifa hili halijashuhudia nia njema wala mabadiliko ya kivitendo ya sera za Marekani mkabala wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Rouhani: Kusimama kidete taifa kubwa la Iran kulipelekea Trump aangushwe

    Rouhani: Kusimama kidete taifa kubwa la Iran kulipelekea Trump aangushwe

    Feb 10, 2021 13:19

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kusimama kidete wanachi wa Iran na tadbiri ya serikali ni mambo ambayo yalipelekea serikali iliyopita ya Marekani kushindwa katika sera za vikwazo na mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran."

  • Rais Rouhani: Iran itaanza kutoa chanjo ya corona baada ya wiki mbili

    Rais Rouhani: Iran itaanza kutoa chanjo ya corona baada ya wiki mbili

    Feb 02, 2021 12:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema chanjo ya corona au COVID-19 nchini itaanza kutolewa baada ya wiki tatu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS