-
Rais Rouhani: Uhusiano wa Iran na India hauna madhara kwa nchi yoyote
Feb 17, 2018 14:22Rais Hassan Rouhani amesema uhusiano wa Iran na India hauna madhara kwa nchi yoyote na kubainisha kuwa kuna fursa nyingi za kustawisha na kuimarisha uhusiano wa pande mbili ambazo zinapasa kutumiwa zaidi kwa ajili ya manufaa na mustakabali bora wa mataifa hayo mawili na eneo kwa ujumla.
-
Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui
Feb 16, 2018 10:25Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.
-
Rais Rouhani asisitiza umuhimu wa umoja wa Waislamu dhidi ya maadui
Feb 16, 2018 10:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani, mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel na maadui wengine wa Uislamu na Waislamu.
-
Rouhani: Ulimwengu una imani kamili na Iran, Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Feb 13, 2018 13:18Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Ulimwengu una imani kamili na Iran, Mapinduzi na Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu."
-
Rais Rouhani: Mataifa ya Mashariki ya Kati yameokoka na shari ya magaidi kwa msaada wa Iran
Feb 11, 2018 12:21Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mwaka uliopita ulikuwa mwaka wa ushindi kwa taifa la Iran dhidi ya magaidi na ulikuwa mwaka wa mafanikio makubwa kwa wananchi wa eneo la Mashariki ya Kati.
-
Rouhani: Ujumbe wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kujitawala na uhusiano wa kiadilifu na dunia
Feb 10, 2018 13:12Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ujumbe wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini ni kujitawala, kutoziruhusu nchi nyingine kuingilia mambo ya ndani ya Iran na kuwa na uhusiano wa kiadilifu ya nchi zote duniani.
-
Rais Rouhani: Kuimarisha uhusiano na Uturuki ni msingi muhimu wa siasa za kieneo za Iran
Feb 08, 2018 00:56Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuimarisha uhusiano wa kirafiki na majirani hususan Uturuki ni msingi muhimu katika siasa za kigeni na za kieneo za Tehran.
-
Domokaya na makelele ya Trump hayawezi kubadilisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Feb 08, 2018 00:25Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha misimamo ya Tehran kuhusiana na matukio ya kieneo na kimataifa katika mkutano wake na waandishi wa habari wa ndani na wa nje na kusema kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwamba, katu hakutoongezwa au kupunguzwa chochote katika makubaliano hayo.
-
Rais Rouhani: Taifa la Iran limetoa majibu ya busara kwa njama za madola ya kibeberu
Feb 07, 2018 11:32Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njama zote ambazo hadi sasa zimepangwa na kutekelezwa dhidi ya taifa la Iran zimegonga mwamba na kutofua dafu.
-
Rouhani: Iran itakabiliana ipasavyo na Marekani
Feb 06, 2018 23:53Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Washington itaiwekea mashinikizo Tehran, Jamhuri ya Kiislamu itakabiliana ipasavyo na Marekani.