-
Rais Rouhani: Iran inakaribisha kustawisha uhusiano na Umoja wa Ulaya
Dec 31, 2016 23:34Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran inakaribisha kwa mikono miwili ushirikiano katika nyuga zote na Umoja wa Ulaya ikiwemo nchi ya Romania.
-
Rais Rouhani: Iran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria
Dec 31, 2016 13:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria na kusisitiza kwamba, kuna haja ya kuwa macho ili usitishaji vita huo usitumiwe kama fursa ya kujiimarisha makundi ya kigaidi.
-
Rouhani: Hamasa ya Tisa Dei; ni mapenzi ya wananchi wa Iran kwa utawala wa Faqihi Mtawala na Mfumo wa Kiislamu
Dec 28, 2016 10:56Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja hamasa ya tarehe Tisa mwezi Dei kuwa dhihirisho la ishqi na mapenzi ya wananchi wa Iran kwa utawala wa Faqihi Mtawala na Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Rais Rouhani atuma salamu za Krismasi kwa Papa Francis na Wakristo wote duniani
Dec 25, 2016 04:30Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa salamu za kheri na fanaka kwa viongozi wa nchi za Wakristo duniani kwa mnasaba wa kuwadia Krismami, siku ya kukumbuka kuzaliwa Nabii Issa Masih AS (Yesu).
-
Rais Rouhani: Kuwa na uhusiano wa karibu na majirani ni misingi ya sera za nje za Iran
Dec 23, 2016 23:38Rais Hassan Rouhani amesema moja ya misingi ya sera za nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuwa na uhusiano wa karibu na majirani hususan nchi za Asia ya Katina eneo la Kaukasia.
-
Rais Rouhani awasili Bishkek baada ya kukamilisha safari yake Kazakhstan
Dec 22, 2016 13:30Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alasiri ya leo amewasili katika mji mkuu wa Kyrgyzstan, Bishkek baada ya kukamilisha ziara yake katika nchi jirani ya Kazakhstan.
-
Marais wa Iran na Armenia wasisitiza kutekelezwa hati za makubaliano ya ushirikiano
Dec 22, 2016 00:06Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia wamesisitiza kuhusu azma ya nchi mbili ya kustawisha uhusiano wa pande mbili, wa kieneo na kimataifa.
-
Rais wa Iran aanza safari ya kieneo Asia ya Kati kwa kuelekea Yerevan, Armenia
Dec 21, 2016 03:28Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo ameondoka mjini Tehran na kuelekea Yerevan mji mkuu wa Armenia ikiwa ni kituo chake cha kwanza cha safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za eneo la Asia ya Kati.
-
Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa ushirikiano wa Iran na Russia katika kuwasaidia wananchi wa Syria
Dec 20, 2016 00:43Marais wa Iran na Russia wamesisitizia udharura wa kuwasaidia wananchi wa Syria.
-
Rais Rouhani atuma salamu za pongezi kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume SAW
Dec 17, 2016 00:54Rais Hassan Rouhani ametuma salamu za mkono wa pongezi, heri na baraka kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Mtukufu, Nabii Muhammad Al-Mustafa SAW.