-
Rais Rouhani akamilisha safari yake barani Ulaya
Jan 28, 2016 23:41Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amerejea nchini usiku wa kuamkia leo baada ya kukamilisha safari ya siku kadhaa katika nchi za Italia na Ufaransa.
-
Rais Rouhani akagua gwaride la heshima Paris, Ufaransa
Jan 28, 2016 12:51Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekagua gwaride la heshima kando ya jengo la kihistoria la Illinois katika mji mkuu wa Ufaransa Paris.
-
Rais Rouhani akataa kuketi kwenye meza yenye pombe Ufaransa
Jan 28, 2016 04:56Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekataa kushiriki kwenye karamu ya chakula cha mchana iliyotayarishwa na mwenyeji wake wa Uafaransa, François Hollande baada ya ikulu ya Elysée kushikilia msimamo wake wa kuwepo mvinyo katika meza ya chakula iliyoyatarishwa kwa heshima ya Rais wa Iran.
-
Rais Rouhani awasili Paris akiwa katika ziara zake za Ulaya
Jan 27, 2016 12:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo alasiri kwa wakati wa Ufaransa amewasili Paris mji mkuu wa nchi hiyo akiwa katika marhala ya pili ya ziara zake za Ulaya.
-
Iran na Ufaransa katika ukingo wa kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano
Jan 26, 2016 11:41Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amekamilisha safari yake nchini Italia na kuelekea Ufaransa baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis.
-
Rais Rouhani akutana na Papa Francis Vatican
Jan 26, 2016 11:31Rais Hassan Rohani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo amekutana na kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis kwenye makao makuu ya kanisa hilo huko Vatican.