Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Iran, China, Russia; kigezo chenye ufanisi cha kieneo kuhusu usalama

    Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Iran, China, Russia; kigezo chenye ufanisi cha kieneo kuhusu usalama

    Dec 27, 2019 20:55

    Kufanyika mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya Iran, Russia na China katika eneo lenye umuhimu wa kistratijia la kaskazini mwa Bahari ya Hindi na Bahari ya Oman ni ushirikiano wa kieneo usiohusisha madola ajinabi.

  • Iran, Russia na China zaanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi kaskazini mwa Bahari ya Hindi

    Iran, Russia na China zaanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi kaskazini mwa Bahari ya Hindi

    Dec 27, 2019 06:21

    Mazoezi ya kijeshi ya baharini yanayoshirikisha majeshi ya majini ya nchi tatu za Iran, Russia na China yameanza leo Ijumaa kaskazini mwa Bahari ya Hindi kwa kaulimbiu ya "Amani, Urafiki na Usalama Endelevu Chini ya Kivuli cha Ushirikiano na Umoja".

  • Putin asisitiza ulazima wa kutatuliwa kwa amani mgogoro wa Libya

    Putin asisitiza ulazima wa kutatuliwa kwa amani mgogoro wa Libya

    Dec 27, 2019 03:55

    Rais wa Russia amemhutubu na kumsisitizia Waziri Mkuu wa Italia kuwa mgogoro wa Libya unapasa kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani.

  • Russia yamkosoa Guterres kwa kufumbia macho ukiukaji sheria unaofanywa na Marekani

    Russia yamkosoa Guterres kwa kufumbia macho ukiukaji sheria unaofanywa na Marekani

    Dec 26, 2019 22:54

    Kwa kuzingatia kuwa Marekani ndiko yaliko makao makuu ya Umoja wa Mataifa, nchi hiyo ya kibeberu daima imekuwa ikiwawekea vikwazo wanadiplomasia na maafisa wa ngazi za juu wa nchi zinazopinga siasa za Washington, wanaoazimia kusafiri nchini humo kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao ya kikazi.

  • Maneva ya Iran, Russia na China; maneva ya pande tatu iliyo na ujumbe wa kimataifa

    Maneva ya Iran, Russia na China; maneva ya pande tatu iliyo na ujumbe wa kimataifa

    Dec 26, 2019 06:56

    Maneva ya kwanza ya baharini kati ya nchi tatu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na China itafanyika hivi karibuni kaskazini mwa Bahari ya Hindi na ya Oman kwa lengo la kuimarisha usalama wa biashara ya kimataifa katika eneo hilo.

  • Wananchi wa Ulaya waunga mkono kuboreshwa uhusiano wa nchi zao na Russia

    Wananchi wa Ulaya waunga mkono kuboreshwa uhusiano wa nchi zao na Russia

    Dec 25, 2019 21:40

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na Taasisi ya Ifop ya Ufaransa unaonyesha kuwa raia wengi wa Ulaya wanataka kuboreshwa uhusiano wa nchi zao na Russia.

  • Mousavi: Iran haitawasahau marafiki wake katika kipindi kigumu

    Mousavi: Iran haitawasahau marafiki wake katika kipindi kigumu

    Dec 24, 2019 04:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitawasahau marafiki zake wa kipindi kigumu.

  • Azimio dhidi ya Syria na kura ya Veto ya Russia na China ya kulipinga

    Azimio dhidi ya Syria na kura ya Veto ya Russia na China ya kulipinga

    Dec 22, 2019 23:10

    Ushindi mtawalia wa jeshi la Syria na washirika wake umepelekea kurejea nyuma makundi ya kigaidi kwenye ngome zao za mwisho yaani katika mkoa wa Idlib.

  • Iran na Russia zaonya kuhusu kuhamishiwa magaidi wa Daesh Afghanistan

    Iran na Russia zaonya kuhusu kuhamishiwa magaidi wa Daesh Afghanistan

    Dec 18, 2019 23:02

    Maafisa wa ngazi za juu wa usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wameonya kuhusu njama za makusudi za kuwahamishia wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini Afghanistan.

  • Russia: Vikwazo haviwezi kuchukua nafasi ya udiplomasia

    Russia: Vikwazo haviwezi kuchukua nafasi ya udiplomasia

    Dec 12, 2019 04:19

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema haiwezekani kupatikana amani katika Rasi ya Korea kupitia njia ya vikwazo na mashinikizo na kwamba, vikwazo haviwezi kuchukua nafasi ya udiplomasia na njia ya utatuzi wa kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS