Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kuundwa kundi la kuipiga vita Russia katika bunge la Uingereza

    Kuundwa kundi la kuipiga vita Russia katika bunge la Uingereza

    Apr 21, 2018 21:46

    Bunge la Uingereza limeunda kundi jipya la kuipiga vita Russia. Kundi hilo lililo dhidi ya Russia katika bunge la Uingereza limeundwa kwa kuwashirikisha wajumbe wa kamati sita wenye ushawishi katika bunge hilo wakiwemo wenyeviti wa kamati za ulinzi, masuala ya nje, fedha na usalama wa taifa. Aidha wajumbe wa kamati nyinginezo kama wa masuala ya ndani, utamaduni, vyombo vya habari na masuala ya dijitali pia wamo katika kundi hilo jipya dhidi ya Russia ndani ya bunge la Uingereza.

  • Russia: Marekani na washirika wake wanafanya njama nyingi kuigawa Syria

    Russia: Marekani na washirika wake wanafanya njama nyingi kuigawa Syria

    Apr 20, 2018 23:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amekosoa vikali misimamo ya uhasama ya Marekani ya kutaka ya kuisambaratisha nchi ya Syria.

  • Russia: Makundi ya kigaidi Syria yanawazuia wakaguzi wa OPCW kuingia Douma

    Russia: Makundi ya kigaidi Syria yanawazuia wakaguzi wa OPCW kuingia Douma

    Apr 19, 2018 09:57

    Nabu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi za kigeni huko Syria yanawazuia wakaguzi wa Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) kuingia katika mji wa Douma ulioko katika viunga ya mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus.

  • Russia: Madai ya shambulizi la silaha za kemikali Syria yaliratibiwa na majasusi wa Uingereza

    Russia: Madai ya shambulizi la silaha za kemikali Syria yaliratibiwa na majasusi wa Uingereza

    Apr 17, 2018 09:54

    Mwakilishi wa Russia katika Shirika Linalopiga Marufuku Matumizi ya Silaha za Kemikali (OPCW) amesema madai ya kutumiwa silaha za kemikali katika eneo la Douma nchini Syria na yaliyotumika kama kisingizio cha kuishambulia nchi hiyo ya Kiarabu, ni operesheni ya mchezo mchafu iliyopangwa na kutekelezwa na asasi za kijasusi za Uingereza.

  • Msimamo mkali wa Russia dhidi ya mashambulizi ya nchi za Magharibi huko Syria

    Msimamo mkali wa Russia dhidi ya mashambulizi ya nchi za Magharibi huko Syria

    Apr 14, 2018 23:27

    Hatimaye nchi za Magharibi zimetekeleza vitisho vyao vya kuishambulia Syria. Alfajiri ya Jumamosi ya jana Marekani, Ufaransa na Uingereza zilishambulia kwa makombora maeneo kadhaa ya Syria.

  • Iran, Russia zatoa onyo kali baada ya US, UK na Ufaransa kuvurumisha makombora Syria

    Iran, Russia zatoa onyo kali baada ya US, UK na Ufaransa kuvurumisha makombora Syria

    Apr 14, 2018 02:45

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimelaani vikali mashambulizi ya makombora ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria huku zikitoa onyo kali juu ya matokeo mabaya ya hujuma hiyo ya kijeshi dhidi ya nchi huru.

  • Russia yaonya itakabiliana na chokochoko za Marekani Syria

    Russia yaonya itakabiliana na chokochoko za Marekani Syria

    Apr 10, 2018 12:18

    Mbunge wa ngazi za juu nchini Russia ameionya Marekani isichukue hatua zozote zilizo kinyume cha sheria nchini Syria kufuatia madai ya hivi karibuni ya kujiri hujuma ya silaha za kemikali katika mji unaoshikiliwa na magaidi wa Douma.

  • Araqchi: Marekani haiwezi kuchukua uamuzi peke yake kuhusu JCPOA

    Araqchi: Marekani haiwezi kuchukua uamuzi peke yake kuhusu JCPOA

    Apr 10, 2018 12:17

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema: makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayapo kwa ajili ya Marekani hata iamue kuchukua uamuzi wowote itakao kuhusu makubaliano hayo.

  • Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kushirikiana hadi usalama urejee Syria

    Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kushirikiana hadi usalama urejee Syria

    Apr 09, 2018 23:19

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zitaendelea kuwa na uhusiano wa kistratajia na ushirikiano wa karibu hadi usalama, utulivu na uthabiti urejee kikamilifu nchini Syria.

  • Russia: Hakuna shambulizi la silaha za kemikali lililofanyika Duma, Syria

    Russia: Hakuna shambulizi la silaha za kemikali lililofanyika Duma, Syria

    Apr 09, 2018 09:48

    Kituo cha uangalizi wa kijeshi wa jeshi la Russia nchini Syria kimetangaza kwamba, hakuna shambulizi lolote la silaha za kemikali lililofanyika karibu na mji wa Duma eneo la Ghouta Mashariki katika viunga vya Damascus, mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS