-
Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kushirikiana hadi usalama urejee Syria
Apr 09, 2018 23:19Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zitaendelea kuwa na uhusiano wa kistratajia na ushirikiano wa karibu hadi usalama, utulivu na uthabiti urejee kikamilifu nchini Syria.
-
Russia: Hakuna shambulizi la silaha za kemikali lililofanyika Duma, Syria
Apr 09, 2018 09:48Kituo cha uangalizi wa kijeshi wa jeshi la Russia nchini Syria kimetangaza kwamba, hakuna shambulizi lolote la silaha za kemikali lililofanyika karibu na mji wa Duma eneo la Ghouta Mashariki katika viunga vya Damascus, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Russia: Madai kuwa Jeshi la Syria limetumia silaha za kemikali ni bandia
Apr 08, 2018 09:34Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema madai kuwa eti Jeshi la Syria limetekeleza shambulizi la silaha za kemikali katika mji wa Douma ni bandia na si sahihi.
-
Nchi za Magharibi zakwamisha uchunguzi wa kadhia ya Skripal
Apr 06, 2018 02:59Mwakilishi wa Rusia katika Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) amesema kuwa pendekezo la pamoja la nchi za Russia, Iran na China la kuanzisha uchunguzi mpya kuhusu kadhai ya Sergei Skkripal katika shirika hilo limekataliwa.
-
NATO: Hatuko katika mashindano ya silaha mpya na Russia
Apr 05, 2018 03:37Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) amesema kuwa muungano huo hauko katika mashindano ya silaha mpya na Russia.
-
Russia: Genge la Daesh (ISIS) linaunda ngome mpya nchini Afghanistan na Afrika
Apr 05, 2018 02:59Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) linaanzisha kambi mpya katika maeneo mengine hususan Afghanistan, baada ya kupata pigo kali kutoka kwa muungano wa Iran na Russia wa kupambana na magaidi nchini Syria.
-
Mawaziri wa Ulinzi wa Iran na Russia wakutana, wajadili vita dhidi ya ugaidi
Apr 04, 2018 02:51Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Amir Hatami amesema Iran itaendelea kushirikiana na Russia katika vita dhidi ya ugaidi hadi pale magaidi watakapotimuliwa nchini Syria na eneo zima la Asia Magharibi.
-
Kukiri Ujerumani nafasi muhimu ya Russia ulimwenguni
Apr 02, 2018 09:32Heiko Maas, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, amesema kuwa nchi yake inakaribisha mazungumzo na Russia kwa ajili ya kukomesha mgogoro uliojitokeza hivi sasa baina ya Moscow na nchi za Magharibi zikiongozwa na Uingereza.
-
Russia: Nchi za Magharibi zinafanya njama ili mashindano ya Kombe la Dunia Russia yasifanyike
Apr 02, 2018 00:04Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema nchi za Magharibi zinafanya kila njia ili kuzuia mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yasifanyike nchini humo.
-
Ujerumani yasisitizia umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia
Apr 01, 2018 12:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia.