Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kushirikiana hadi usalama urejee Syria

    Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kushirikiana hadi usalama urejee Syria

    Apr 09, 2018 23:19

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zitaendelea kuwa na uhusiano wa kistratajia na ushirikiano wa karibu hadi usalama, utulivu na uthabiti urejee kikamilifu nchini Syria.

  • Russia: Hakuna shambulizi la silaha za kemikali lililofanyika Duma, Syria

    Russia: Hakuna shambulizi la silaha za kemikali lililofanyika Duma, Syria

    Apr 09, 2018 09:48

    Kituo cha uangalizi wa kijeshi wa jeshi la Russia nchini Syria kimetangaza kwamba, hakuna shambulizi lolote la silaha za kemikali lililofanyika karibu na mji wa Duma eneo la Ghouta Mashariki katika viunga vya Damascus, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Russia: Madai kuwa Jeshi la Syria limetumia silaha za kemikali ni bandia

    Russia: Madai kuwa Jeshi la Syria limetumia silaha za kemikali ni bandia

    Apr 08, 2018 09:34

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema madai kuwa eti Jeshi la Syria limetekeleza shambulizi la silaha za kemikali katika mji wa Douma ni bandia na si sahihi.

  • Nchi za Magharibi zakwamisha uchunguzi wa kadhia ya Skripal

    Nchi za Magharibi zakwamisha uchunguzi wa kadhia ya Skripal

    Apr 06, 2018 02:59

    Mwakilishi wa Rusia katika Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) amesema kuwa pendekezo la pamoja la nchi za Russia, Iran na China la kuanzisha uchunguzi mpya kuhusu kadhai ya Sergei Skkripal katika shirika hilo limekataliwa.

  • NATO: Hatuko katika mashindano ya silaha mpya na Russia

    NATO: Hatuko katika mashindano ya silaha mpya na Russia

    Apr 05, 2018 03:37

    Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) amesema kuwa muungano huo hauko katika mashindano ya silaha mpya na Russia.

  • Russia: Genge la Daesh (ISIS) linaunda ngome mpya nchini Afghanistan na Afrika

    Russia: Genge la Daesh (ISIS) linaunda ngome mpya nchini Afghanistan na Afrika

    Apr 05, 2018 02:59

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) linaanzisha kambi mpya katika maeneo mengine hususan Afghanistan, baada ya kupata pigo kali kutoka kwa muungano wa Iran na Russia wa kupambana na magaidi nchini Syria.

  • Mawaziri wa Ulinzi wa Iran na Russia wakutana, wajadili vita dhidi ya ugaidi

    Mawaziri wa Ulinzi wa Iran na Russia wakutana, wajadili vita dhidi ya ugaidi

    Apr 04, 2018 02:51

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Amir Hatami amesema Iran itaendelea kushirikiana na Russia katika vita dhidi ya ugaidi hadi pale magaidi watakapotimuliwa nchini Syria na eneo zima la Asia Magharibi.

  • Kukiri Ujerumani nafasi muhimu ya Russia ulimwenguni

    Kukiri Ujerumani nafasi muhimu ya Russia ulimwenguni

    Apr 02, 2018 09:32

    Heiko Maas, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, amesema kuwa nchi yake inakaribisha mazungumzo na Russia kwa ajili ya kukomesha mgogoro uliojitokeza hivi sasa baina ya Moscow na nchi za Magharibi zikiongozwa na Uingereza.

  • Russia: Nchi za Magharibi zinafanya njama ili mashindano ya Kombe la Dunia Russia yasifanyike

    Russia: Nchi za Magharibi zinafanya njama ili mashindano ya Kombe la Dunia Russia yasifanyike

    Apr 02, 2018 00:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema nchi za Magharibi zinafanya kila njia ili kuzuia mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yasifanyike nchini humo.

  • Ujerumani yasisitizia umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia

    Ujerumani yasisitizia umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia

    Apr 01, 2018 12:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS