Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Mgogoro wa Moscow na London wazidi kuwa mkubwa, Russia yawatahadharisha raia wake wasitembelee Uingereza

    Mgogoro wa Moscow na London wazidi kuwa mkubwa, Russia yawatahadharisha raia wake wasitembelee Uingereza

    Mar 31, 2018 23:35

    Ubalozi wa Russia mjini London jana ulisema kuwa hisia kali dhidi ya Russia zimeongezeka nchini Uingereza hivyo inawataka raia wa Russia wasitembelee nchi hiyo kama hakuna dharura.

  • Jibu madhubuti la Russia kwa hatua ya nchi za Umoja wa Ulaya

    Jibu madhubuti la Russia kwa hatua ya nchi za Umoja wa Ulaya

    Mar 31, 2018 10:14

    Serikali ya Russia ilitangaza jana Ijumaa kuwa itawafukuza wanadiplomasia 59 wa nchi 23 tofauti walioko nchini humo. Uamuzi huo wa Moscow umechukuliwa kujibu hatua ya nchi hizo ya kuwafukuza kwa mpigo wanadiplomasia wa Russia. Katika jibu na radiamali yake kwa hatua ya kufukuzwa wanadiplomasia wake, serikali ya Moscow imechukua uamuzi wa kuwafukuza wanadiplomasia 41 wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya.

  • White House yahamakishwa na hatua ya Russia kutimua wanadiplomasia 60 wa US

    White House yahamakishwa na hatua ya Russia kutimua wanadiplomasia 60 wa US

    Mar 30, 2018 10:34

    Ikulu ya Marekani ya White House imeeleza kughadhibishwa kwake na hatua ya Russia kuwafukuza nchini humo makumi ya wanadiplomasia wa Marekani sambamba na kuagiza kufungwa ofisi ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo.

  • Vita vya ujasusi vya Uingereza dhidi ya Russia

    Vita vya ujasusi vya Uingereza dhidi ya Russia

    Mar 29, 2018 22:06

    Kufuatia kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia katika nchi 26 duniani, afisa mmoja wa ngazi ya juu wa serikali ya Uingereza ametangaza kuwa, nchi hiyo imechukua hatua isiyo na mfano na kuzipa nchi waitifaki taarifa za majasusi wake zinazohusiana na faili la kupewa sumu ya kemikali jasusi wa zamani wa Russia katika eneo la Salisbury huko kusini mwa London.

  • Malengo ya safari ya Amiri wa Qatar nchini Russia

    Malengo ya safari ya Amiri wa Qatar nchini Russia

    Mar 28, 2018 05:58

    Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, Amiri wa Qatar amefanya safari nchini Russia na kukutana na Rais Vladmir Putin wa nchi hiyo ambapo wamezungumzia masuala mbalimbali.

  • Lavrov atoa onyo kali kwa nchi za Magharibi

    Lavrov atoa onyo kali kwa nchi za Magharibi

    Mar 28, 2018 02:20

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa Moscow haitanyamaza kimya mbele ya hatua ya nchi za Magharibi ya kuwafukuza wanadiplomasia wa nchi hiyo.

  • Lavrov: Russia itajibu ufidhuli wa nchi za Magharibi

    Lavrov: Russia itajibu ufidhuli wa nchi za Magharibi

    Mar 27, 2018 22:41

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa Moscow haitanyamaza kimya mbele ya hatua ya nchi za Magharibi ya kuwafukuza wanadiplomasia wa nchi hiyo.

  • Kushadidi vita vya kidiplomasia vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia

    Kushadidi vita vya kidiplomasia vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia

    Mar 27, 2018 03:10

    Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Marekani na Uingereza ni vinara wa uchochezi kuhusu kadhia ya Salisbury, inayomhusu Sergei Skripal jasusi wa zamani wa pande mbili aliyepewa sumu. Amesema Moscow itachukua hatua za kukabiliana na kila nchi ambayo itafuata mkumbo wa Marekani na Russia katika kuwafukuza wanadiplomasia wa Russia.

  • Msimamo wa viongozi wa EU dhidi ya Russia; kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Uingereza

    Msimamo wa viongozi wa EU dhidi ya Russia; kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Uingereza

    Mar 24, 2018 02:43

    Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wameamua katika kikao chao walichofanya kwenye makao makuu ya umoja huo yaliyoko mjini Brussels kuchukua msimamo mmoja wa kuiunga mkono Uingereza dhidi ya Russia.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia: Uingereza imeufikisha uhusiano wetu kwenye mkwamo

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia: Uingereza imeufikisha uhusiano wetu kwenye mkwamo

    Mar 23, 2018 23:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema Uingereza imeufikisha kwenye mkwamo uhusiano wake na Russia kutokana na kadhia ya kupewa sumu huko nchini Uingereza jasusi wa zamani wa Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS