Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Putin apata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais Russia

    Putin apata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais Russia

    Mar 19, 2018 00:52

    Vladimir Putin amechaguliwa tena kuingoza Russia baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi uliofanyika jana.

  • Balozi wa Russia UN: Mada ya sumu iliyotumika dhidi ya Skripal imetengezwa kwenye maabara ya jeshi la Uingereza

    Balozi wa Russia UN: Mada ya sumu iliyotumika dhidi ya Skripal imetengezwa kwenye maabara ya jeshi la Uingereza

    Mar 18, 2018 13:00

    Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa Vladimir Chizhov amesema kuna uwezekano Uingereza imehusika kumpa sumu Sergei Skripal, jasusi wa zamani wa pande mbili mwenye asili ya Russia pamoja na binti yake.

  • Russia yajibu mapigo, yawatimua wanadiplomasia wa Uingereza

    Russia yajibu mapigo, yawatimua wanadiplomasia wa Uingereza

    Mar 18, 2018 03:01

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetangaza kuwa, wanadiplomasia 23 wa Uingereza wamefukuzwa nchini humo na kwamba wanapaswa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja ijayo.

  • Uchaguzi wa rais waanza leo Russia, Putin anatazamiwa kushinda

    Uchaguzi wa rais waanza leo Russia, Putin anatazamiwa kushinda

    Mar 17, 2018 23:49

    Uchaguzi wa rais wa Russia umenza mapema leo kote nchini humo huku Rais wa sasa wa nchi hiyo, Vladimir Putin akitazamiwa kupata ushindi mkubwa dhidi ya wapiznani wake.

  • Russia yajibu mapigo kwa kuwatimua wanadiplomasia 23 wa Uingereza

    Russia yajibu mapigo kwa kuwatimua wanadiplomasia 23 wa Uingereza

    Mar 17, 2018 12:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa imewafukuza na kuwataka waondoke nchini humo wanadiplomasia 23 wa Uingereza kufuatia hatua kama hiyo iliyochukuliwa hivi karibuni na seriikali ya London dhidi ya wanadiplomasia wa Russia.

  • Nato: Hatutaki vita vipya baridi na Russia

    Nato: Hatutaki vita vipya baridi na Russia

    Mar 17, 2018 00:19

    Jens Stoltenberg Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) alisema jana kuwa muungano huo hautaki kurudi katika uhasama wa vita baridi kati yake na Russia huku akibainisha uungaji mkono wake kwa msimamo mkali uliodhihirishwa na Uingereza kufuatia madai kwamba Moscow imempatia sumu jasusi wa zamani wa nchi hiyo huko Uingreza.

  • Taarifa ya nchi nne za Magharibi dhidi ya Russia

    Taarifa ya nchi nne za Magharibi dhidi ya Russia

    Mar 16, 2018 10:12

    Viongozi wa nchi za Uingereza, Ujerumani , Ufaransa na Marekani wametoa taarifa ya pamoja wakiibebesha Russia jukumu la kushambuliwa kwa mada za sumu Sergei Skripal, jasusi wa zamani wa Russia.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia nchini Uingereza na kushtadi mikwaruzano kati ya Moscow na London

    Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia nchini Uingereza na kushtadi mikwaruzano kati ya Moscow na London

    Mar 15, 2018 07:39

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia jana Jumatano ilitoa taarifa na kubainisha kuwa uamuzi uliochukuliwa na Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza wa kuwafukuza nchini humo wanadiplomasia 23 wa Russia pamoja na hatua nyinginezo, ni kitendo cha uchochezi. Wakati huo huo Moscow imeashiria madai ya Uingereza ya kupewa sumu Sergei Sripal jasusi wa amani wa Russia nchini humo na hatua nyinginezo zilizochukuliwa na London na kutahadharisha kuwa: "Uingereza imechagua mkondo wa makabiliano."

  • Korea Kusini: Russia isitutupe mkono katika juhudi za kufungua mahusiano na Korea Kaskazini

    Korea Kusini: Russia isitutupe mkono katika juhudi za kufungua mahusiano na Korea Kaskazini

    Mar 14, 2018 04:23

    Serikali ya Korea Kusini, kupitia Mshauri wa Masuala ya Usalama wa Taifa wa nchi hiyo ameitaka Russia kuiunga mkono Seoul kwa ajili ya kupatikana mahusiano mema na viongozi wa Korea Kaskazini.

  • Russia yaionya vikali Marekani kuhusu kushambulia tena Syria, yasema itajibu

    Russia yaionya vikali Marekani kuhusu kushambulia tena Syria, yasema itajibu

    Mar 13, 2018 12:22

    Maafisa wa ngazi za juu wa Russia wameionya vikali Marekani kuwa isithubutu kuishambulia upya Syria kwani matokeo ya chokochoko kama hivyo yatakabiliwa na jibu kali la Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS