• Russia yajibu mapigo, yawatimua wanadiplomasia wa Uingereza

    Russia yajibu mapigo, yawatimua wanadiplomasia wa Uingereza

    Mar 18, 2018 03:01

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetangaza kuwa, wanadiplomasia 23 wa Uingereza wamefukuzwa nchini humo na kwamba wanapaswa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja ijayo.

  • Uchaguzi wa rais waanza leo Russia, Putin anatazamiwa kushinda

    Uchaguzi wa rais waanza leo Russia, Putin anatazamiwa kushinda

    Mar 17, 2018 23:49

    Uchaguzi wa rais wa Russia umenza mapema leo kote nchini humo huku Rais wa sasa wa nchi hiyo, Vladimir Putin akitazamiwa kupata ushindi mkubwa dhidi ya wapiznani wake.

  • Russia yajibu mapigo kwa kuwatimua wanadiplomasia 23 wa Uingereza

    Russia yajibu mapigo kwa kuwatimua wanadiplomasia 23 wa Uingereza

    Mar 17, 2018 12:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa imewafukuza na kuwataka waondoke nchini humo wanadiplomasia 23 wa Uingereza kufuatia hatua kama hiyo iliyochukuliwa hivi karibuni na seriikali ya London dhidi ya wanadiplomasia wa Russia.

  • Nato: Hatutaki vita vipya baridi na Russia

    Nato: Hatutaki vita vipya baridi na Russia

    Mar 17, 2018 00:19

    Jens Stoltenberg Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) alisema jana kuwa muungano huo hautaki kurudi katika uhasama wa vita baridi kati yake na Russia huku akibainisha uungaji mkono wake kwa msimamo mkali uliodhihirishwa na Uingereza kufuatia madai kwamba Moscow imempatia sumu jasusi wa zamani wa nchi hiyo huko Uingreza.

  • Taarifa ya nchi nne za Magharibi dhidi ya Russia

    Taarifa ya nchi nne za Magharibi dhidi ya Russia

    Mar 16, 2018 10:12

    Viongozi wa nchi za Uingereza, Ujerumani , Ufaransa na Marekani wametoa taarifa ya pamoja wakiibebesha Russia jukumu la kushambuliwa kwa mada za sumu Sergei Skripal, jasusi wa zamani wa Russia.

  • Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia nchini Uingereza na kushtadi mikwaruzano kati ya Moscow na London

    Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia nchini Uingereza na kushtadi mikwaruzano kati ya Moscow na London

    Mar 15, 2018 07:39

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia jana Jumatano ilitoa taarifa na kubainisha kuwa uamuzi uliochukuliwa na Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza wa kuwafukuza nchini humo wanadiplomasia 23 wa Russia pamoja na hatua nyinginezo, ni kitendo cha uchochezi. Wakati huo huo Moscow imeashiria madai ya Uingereza ya kupewa sumu Sergei Sripal jasusi wa amani wa Russia nchini humo na hatua nyinginezo zilizochukuliwa na London na kutahadharisha kuwa: "Uingereza imechagua mkondo wa makabiliano."

  • Korea Kusini: Russia isitutupe mkono katika juhudi za kufungua mahusiano na Korea Kaskazini

    Korea Kusini: Russia isitutupe mkono katika juhudi za kufungua mahusiano na Korea Kaskazini

    Mar 14, 2018 04:23

    Serikali ya Korea Kusini, kupitia Mshauri wa Masuala ya Usalama wa Taifa wa nchi hiyo ameitaka Russia kuiunga mkono Seoul kwa ajili ya kupatikana mahusiano mema na viongozi wa Korea Kaskazini.

  • Russia yaionya vikali Marekani kuhusu kushambulia tena Syria, yasema itajibu

    Russia yaionya vikali Marekani kuhusu kushambulia tena Syria, yasema itajibu

    Mar 13, 2018 12:22

    Maafisa wa ngazi za juu wa Russia wameionya vikali Marekani kuwa isithubutu kuishambulia upya Syria kwani matokeo ya chokochoko kama hivyo yatakabiliwa na jibu kali la Russia.

  • Vitisho vipya vya Marekani dhidi ya Russia na China

    Vitisho vipya vya Marekani dhidi ya Russia na China

    Mar 11, 2018 23:01

    Jenerali John E. Hyten Mkuu wa Kamandi ya Kistratijia ya Marekani (United States Strategic Command) sambamba na kubainisha kwamba China na Russia hazifahamu mahala zilipo nyambizi za nyuklia za Marekani, amesisitiza kuwa, nchi yake ina uwezo wa kuzisababishia hasara kubwa nchi hizo kwa kutumia makombora ya kutoka bara hadi bara yaliyomo kwenye nyambizi hizo.

  • Russia kuijengea Sudan kinu cha nyuklia cha kuzalisha umeme

    Russia kuijengea Sudan kinu cha nyuklia cha kuzalisha umeme

    Mar 11, 2018 04:31

    Waziri wa Maji na Umeme wa Sudan amesema nchi hiyo na Russia zimefikia makubaliano ambapo Moscow itaijengea Khartoum kinu cha nyuklia cha kiwango cha chini kwa ajili ya kuzalisha umeme.