Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Vitisho vipya vya Marekani dhidi ya Russia na China

    Vitisho vipya vya Marekani dhidi ya Russia na China

    Mar 11, 2018 23:01

    Jenerali John E. Hyten Mkuu wa Kamandi ya Kistratijia ya Marekani (United States Strategic Command) sambamba na kubainisha kwamba China na Russia hazifahamu mahala zilipo nyambizi za nyuklia za Marekani, amesisitiza kuwa, nchi yake ina uwezo wa kuzisababishia hasara kubwa nchi hizo kwa kutumia makombora ya kutoka bara hadi bara yaliyomo kwenye nyambizi hizo.

  • Russia kuijengea Sudan kinu cha nyuklia cha kuzalisha umeme

    Russia kuijengea Sudan kinu cha nyuklia cha kuzalisha umeme

    Mar 11, 2018 04:31

    Waziri wa Maji na Umeme wa Sudan amesema nchi hiyo na Russia zimefikia makubaliano ambapo Moscow itaijengea Khartoum kinu cha nyuklia cha kiwango cha chini kwa ajili ya kuzalisha umeme.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia nchini Ethiopia

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia nchini Ethiopia

    Mar 09, 2018 22:00

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amewasili Addis Ababa kwa shabaha ya kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Ethiopia.

  • Kitendawili cha jaribio la mauaji jasusi wa zamani wa Rassia chaanza kuteguliwa?

    Kitendawili cha jaribio la mauaji jasusi wa zamani wa Rassia chaanza kuteguliwa?

    Mar 08, 2018 04:49

    Polisi ya Uingereza imetangaza kuwa, mtu aliyetaka kumuua afisa wa zamani wa vyombo vya ujasusi vya Russia ambaye baadaye imebainika kuwa alikuwa akiifanyia ujasusi Uingereza, alitumia gesi ya neva.

  • Russia yalaani tuhuma bandia za Wamagharibi dhidi ya Syria kuhusu silaha za kemikali

    Russia yalaani tuhuma bandia za Wamagharibi dhidi ya Syria kuhusu silaha za kemikali

    Mar 06, 2018 23:43

    Msemaji wa ikulu ya Rais wa Russia amelaani tuhuma za madola ya Magharibi dhidi ya Syria kuhusiana na suala la matumizi ya silaha za kemikali.

  • Ndege ya jeshi ya Russia yaanguka Syria, yaua watu 32

    Ndege ya jeshi ya Russia yaanguka Syria, yaua watu 32

    Mar 06, 2018 13:45

    Watu 32 wameuawa katika ajali ya ndege ya jeshi la Russia iliyoanguka nchini Syria.

  • Marais  Donald Trump na Abdel Fattah el-Sisi waijadili Iran

    Marais Donald Trump na Abdel Fattah el-Sisi waijadili Iran

    Mar 05, 2018 04:26

    Ikulu ya Marekani imetangaza kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo asubuhi ya leo amefanya mazungumzo ya simu na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri kuihusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Usalama wa Mashindano ya Kombe la Dunia la Soka watoa changamoto kwa Russia

    Usalama wa Mashindano ya Kombe la Dunia la Soka watoa changamoto kwa Russia

    Mar 01, 2018 01:08

    Rais wa Russia amelitaka Jeshi la Polisi la nchi hiyo kutumia uwezo wake wote kwa ajili ya kudhamini usalama wa michezo ya Kombe la Dunia la Soka nchini humo mbele ya mashambulizi ya kigaidi.

  • Russia yapigia veto muswada wa Uingereza dhidi ya Iran kuhusu Yemen

    Russia yapigia veto muswada wa Uingereza dhidi ya Iran kuhusu Yemen

    Feb 26, 2018 23:24

    Muswada wa azimio lililo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliopendekezwa na Uingereza kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, umekwamishwa na kura ya veto ya Russia.

  • Rogozin: Russia ipo tayari kukabiliana na vikwazo

    Rogozin: Russia ipo tayari kukabiliana na vikwazo

    Feb 26, 2018 10:27

    Naibu Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa Moscow ipo tayari kukabiliana na vikwazo vya Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS