Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Rais Putin awapongeza wanajeshi wa Russia walioko Syria

    Rais Putin awapongeza wanajeshi wa Russia walioko Syria

    Feb 24, 2018 10:55

    Rais Vladimir Putin wa Russia amewapongeza na kuwashukuru wanajeshi wa nchi yake walioko nchini Syria.

  • Russia yazionya nchi za Magharibi zisijaribu kuingilia uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Russia yazionya nchi za Magharibi zisijaribu kuingilia uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Feb 16, 2018 04:08

    Serikali ya Russia imeyaonya madola ya Magharibi kutoingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo hususan katika uchaguzi wa rais.

  • Russia: Marekani inahatarisha umoja wa ardhi yote ya Syria

    Russia: Marekani inahatarisha umoja wa ardhi yote ya Syria

    Feb 13, 2018 13:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema Marekani inachukua hatua hatarishi na za upande mmoja ndani ya ardhi ya Syria zinazohatarisha umoja wa ardhi yote ya nchi hiyo.

  • Abbas na Putin wazungumzia nafasi ya US katika mgogoro wa Palestina

    Abbas na Putin wazungumzia nafasi ya US katika mgogoro wa Palestina

    Feb 13, 2018 03:59

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwambia Rais Vladimir Putin wa Russia kwamba nchi yake haitaikubali tena Marekani kuwa mpatanishi katika mgogoro wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Russia: Tutaendelea kushirikiana na Iran katika vita dhidi ya ugaidi nchini Syria

    Russia: Tutaendelea kushirikiana na Iran katika vita dhidi ya ugaidi nchini Syria

    Feb 12, 2018 04:18

    Balozi wa Russia nchini Iran ameliambia shirika la habari la nchi yake la Itar-Tass kwamba ushirikiano wa Moscow na Tehran katika vita dhidi ya ugaidi utaendelea nchini Syria.

  • Ndege ya abiria ya Russia yaanguka na kuua watu wote 71 waliokuwamo ndani yake

    Ndege ya abiria ya Russia yaanguka na kuua watu wote 71 waliokuwamo ndani yake

    Feb 11, 2018 11:39

    Ndege ya abiria ya Russia ya Shirika la Ndege ya Saratov Airlines imeanguka leo kusini mashariki mwa mji mkuu Moscow na kuna uwezekano mkubwa kwamba, watu wote 71 waliokuwamo ndani ya ndege hiyo wameaga dunia.

  • Russia: Suala la kuangaliwa upya makubaliano ya JCPOA halipo

    Russia: Suala la kuangaliwa upya makubaliano ya JCPOA halipo

    Feb 10, 2018 04:14

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, suala la kuangalia upya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA halipo.

  • Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni jinai za kivita

    Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni jinai za kivita

    Feb 09, 2018 03:31

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameyataja mashambulio ya anga ya Marekani katika mkoa wa Deir al Zor mashariki mwa Syria kuwa hayakubaliki na kwamba ni jinai za kivita.

  • Russia: Ushahidi unathibitisha Marekani inahamisha magaidi wa Daesh na kuwapeleka Afghanistan

    Russia: Ushahidi unathibitisha Marekani inahamisha magaidi wa Daesh na kuwapeleka Afghanistan

    Feb 09, 2018 01:04

    Mjumbe Maalumu wa Rais wa Rassia katika Masuala ya Afghanistan amesema kuwa, Moscow ina ushahidi unaothibitisha kuwa, Marekani na Shirika la Kijeshi ya Nchi za Magharibi (NATO) zinahusika katika kuwahamisha magaidi wa Daesh kutoka Iraq na Syria na kuwapeleka Afghanistan.

  • Malengo ya safari ya Tillerson katika nchi za Amerika ya Latini

    Malengo ya safari ya Tillerson katika nchi za Amerika ya Latini

    Feb 04, 2018 04:30

    Rex Tillerson Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amedai akiwa Mexico katika safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi za Amerika ya Latini kuwa Russia ina mpango wa kuingilia masuala ya uchaguzi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS