Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yaponda madai ya Marekani dhidi ya Syria

    Russia yaponda madai ya Marekani dhidi ya Syria

    Feb 03, 2018 23:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekadhibisha madai ya Marekani kwamba Syria imetengeneza na kutumia kizazi kipya cha silaha za kemikali na kusema madai hayo hayana msingi wowote.

  • Radiamali ya Russia kwa tuhuma za Waziri wa Ulinzi wa Uingereza

    Radiamali ya Russia kwa tuhuma za Waziri wa Ulinzi wa Uingereza

    Jan 27, 2018 00:46

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, tuhuma zilizotolewa na Waziri wa Ulinzi wa Uingereza dhidi ya Russia ni za uongo.

  • Russia na Syria zakanusha madai ya Marekani kuhusu silaha za kemikali

    Russia na Syria zakanusha madai ya Marekani kuhusu silaha za kemikali

    Jan 24, 2018 23:27

    Russia na Syria zimekadhibisha madai yaliyotolewa na Marekani na Ufaransa kwamba serikali ya Damascus imetumia silaha za kemikali katika mashambulizi yake, zikisisitiza kuwa tuhuma hizo zinapania kutia vizingiti katika juhudi za kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani mgogoro unaoshuhudiwa katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo

    Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo

    Jan 13, 2018 10:32

    Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Baraza la Shirikisho la Russia amesema kuwa, serikali ya Moscow, haina nia yoyote ya kuanzisha kambi za kijeshi katika nchi za Misri na Libya.

  • Njama za kuvuruga muungano wa vita dhidi ya ugaidi wa Iran, Russia na Uturuki

    Njama za kuvuruga muungano wa vita dhidi ya ugaidi wa Iran, Russia na Uturuki

    Jan 13, 2018 04:09

    Nchi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki zina muungano ambao si tu kuwa umeweza kufanikiwa katika medani ya vita dhidi ya ugaidi, bali pia katika mazungumzo ya kidiplomasia, muungano huo umeweza kuibua mabadiliko katika masuala yanayohusiana na tatizo la ugaidi.

  • Assad: Njama za adui za kuigawa Syria zimegonga mwamba

    Assad: Njama za adui za kuigawa Syria zimegonga mwamba

    Jan 13, 2018 00:15

    Rais wa Syria ameeleza kuwa ushindi wa jeshi la nchi hiyo umepelekea kuandaliwa njia ya kurejesha amani nchini humo.

  • Rais Putin: Kiongozi wa Korea Kaskazini ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili

    Rais Putin: Kiongozi wa Korea Kaskazini ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili

    Jan 12, 2018 01:07

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini, ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili na aliyepikika.

  • Russia yalitaka Baraza la Usalama liingilie kati kuhusu hatua ya Marekani huko Raqqah Syria

    Russia yalitaka Baraza la Usalama liingilie kati kuhusu hatua ya Marekani huko Raqqah Syria

    Jan 10, 2018 04:28

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lichukue hatua kuhusu hali ya kibinadamu inayoshuhudiwa sasa huko Raqqah Syria na kuchukua uamuzi kuhusu hatua zinazotekelezwa na Marekani katika mji huo baada ya kukombolewa kutoka mikononi mwa magaidi wa kundi la Daesh.

  • Iran, Russia zalitaka Baraza la Usalama lisifuate mashinikizo ya Marekani

    Iran, Russia zalitaka Baraza la Usalama lisifuate mashinikizo ya Marekani

    Jan 06, 2018 03:54

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimekosoa udhaifu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kukubali mashinikizo ya Marekani ya kuitisha kikao cha dharura kuhusu maandamano ya hivi karibu nchini Iran.

  • Kuanza tena safari za ndege kati ya Russia na Misri

    Kuanza tena safari za ndege kati ya Russia na Misri

    Jan 04, 2018 10:19

    Rais wa Russia amesaini dikrii akiamuru kuanza tena safari za kawaida za ndege kati ya nchi hiyo na Misri ambazo zilisimamishwa kufuatia mlipuko uliotokea katika ndege ya Russia katika anga ya mkoa wa Sinai kaskazini mwa Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS