Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Moscow: Pendekezo la Marekani la kufanya kikao kuhusu Iran ni mzaha

    Moscow: Pendekezo la Marekani la kufanya kikao kuhusu Iran ni mzaha

    Jan 03, 2018 04:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelitaja pendekezo la Marekani la kutaka kuitishwa kikao maalumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na katika Kamati ya Haki za Binadamu kuhusu fujo za hivi karibuni nchini Iran kuwa ni mzaha.

  • Lavrov: Marekani inapasa kuondoka huko Syria

    Lavrov: Marekani inapasa kuondoka huko Syria

    Dec 29, 2017 00:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana alisisitiza kuwa wanajeshi wa Marekani wanapasa kuondoka huko Syria haraka iwezekanavyo baada ya kupata pigo magaidi nchini humo.

  • Lavrov: Mazungumzo ya kitaifa njia pekee ya utatuzi wa mgogoro wa kitaifa Syria

    Lavrov: Mazungumzo ya kitaifa njia pekee ya utatuzi wa mgogoro wa kitaifa Syria

    Dec 27, 2017 23:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, mazungumzo ya kitaifa kati ya serikali na wapinzani nchini Syria ndiyo njia pekee ya kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo.

  • Russia: Marekani imewapa magaidi kambi zake za kijeshi Syria

    Russia: Marekani imewapa magaidi kambi zake za kijeshi Syria

    Dec 27, 2017 04:11

    Russia imesema Marekani inatoa mafunzo ya kijeshi katika kambi zake zilizoko Syria kwa magaidi wakiwemo mabaki ya wanachama wa kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS) waliofurushwa eneo la Raqqa.

  • Russia yatoa indhari: Kuna magaidi zaidi ya 10,000 wa DAESH (ISIS) nchini Afghanistan

    Russia yatoa indhari: Kuna magaidi zaidi ya 10,000 wa DAESH (ISIS) nchini Afghanistan

    Dec 24, 2017 13:10

    Mjumbe maalumu wa rais wa Russia nchini Afghanistan ametoa indhari kuwa wanachama zaidi ya elfu kumi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh hivi sasa wako nchini Afghanistan na kwamba idadi yao inazidi kuongezeka kutokana na kubadilisha maskani yake kundi hilo baada ya kusambaratishwa katika nchi za Syria na Iraq.

  • Msimamo wa Russia kuhusu stratijia mpya ya usalama wa taifa ya Marekani

    Msimamo wa Russia kuhusu stratijia mpya ya usalama wa taifa ya Marekani

    Dec 20, 2017 23:07

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetoa taarifa ikiitaja stratijia mpya ya usalama wa taifa ya Marekani kuwa ni ya kihasama na kusisitiza kuwa, stratijia hiyo imetayarishwa kwa ajili ya kukabiliana na nchi mbalimbali na ina lengo la kulinda udhibiti wa Marekani duniani badala ya kutoa pendekezo la kuanzishwa uhusiano wa kushirikiana kati ya nchi tofauti.

  • Russia yapendekeza kwa Iran na Uturuki kuanzisha umoja wa nchi tatu wa kushirikiana katika masuala ya kimataifa

    Russia yapendekeza kwa Iran na Uturuki kuanzisha umoja wa nchi tatu wa kushirikiana katika masuala ya kimataifa

    Dec 20, 2017 12:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema, kutokana na mafanikio uliopata muungano wa pande tatu za Iran, Russia na Uturuki katika kutatua masuala ya Syria, Moscow inapendekeza kuanzishwa umoja wa nchi hizo tatu kwa ajili ya kutatua mizozo na masuala katika upeo wa kimataifa.

  • Russia yaitahadharisha Marekani kuhusu kuwapatia silaha mpya magaidi huko Syria

    Russia yaitahadharisha Marekani kuhusu kuwapatia silaha mpya magaidi huko Syria

    Dec 17, 2017 11:04

    Russia imeitahadharisha Marekani kuhusu taathira za kuwapatia silaha mpya magaidi waliopo Syria.

  • UN yairuhusu Russia kupeleka silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yairuhusu Russia kupeleka silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 16, 2017 22:05

    Russia imepata idhini ya Umoja wa Mataifa kupeleka silaha katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa ajili ya kutumiwa na jeshi la nchi hiyo.

  • Russia yakadhibisha kumuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya

    Russia yakadhibisha kumuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya

    Dec 16, 2017 00:16

    Balozi wa Russia nchini Libya amekadhibisha madai kwamba nchi yake inamuunga mkono kamanda wa jeshi la taifa la Libya na kuyataja madai hayo kuwa ya uongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS