-
Amri ya Rais Putin ya kuondoka vikosi vya jeshi la Russia nchini Syria
Mar 15, 2016 12:16Rais Vladimir Putin wa Russia jana alitoa amri ya kuanza kuondoka vikosi vya jeshi la nchi hiyo vilivyoko nchini Syria.
-
Zarif: Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria, ishara nzuri
Mar 15, 2016 11:27Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametaja hatua ya Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria kuwa ni ishara nzuri.
-
Assad na Putin wakubaliana kupunguzwa vituo vya anga vya Russia nchini Syria
Mar 15, 2016 03:37Ofisi ya Rais wa Syria imetangaza kuwa marais wa Russia na Syria wamekubaliana kupunguzwa idadi ya vituo vya anga vya vya jeshi la Russia nchini humo.
-
Russia: Uingiliaji kijeshi Libya unahitaji idhini ya Umoja wa Mataifa
Mar 14, 2016 12:50Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema leo Jumatatu kuwa uingiliaji kijeshi huko Libya unawezekana iwapo tu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litaidhinisha suala hilo.
-
Russia: Hakuna uhusiano wowote baina ya makombora ya Iran na makubaliano ya nyuklia
Mar 12, 2016 11:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, miradi ya makombora ya Iran haina uhusiano wowote na kadhia ya nyuklia ya nchi hiyo.
-
Russia: Marekani iache unafiki na undumakuwili
Mar 11, 2016 05:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaja Marekani pamoja na waitifaki wake wa Magharibi kuwa ni wanafiki kwa kukataa kulaani hujuma za hivi karibuni dhidi ya ubalozi wa Russia nchini Ukraine.
-
Russia: Wasyria wenyewe watainisha hatima ya nchi yao
Feb 25, 2016 23:36Spika wa Bunge la Duma la Russia amesema kuwa hakuna nchi yenye haki ya kuainisha hatima ya Syria badala ya Wasyria wenyewe.
-
Al-Sisi akiri ndege ya Russia ilitunguliwa na magaidi Misri
Feb 25, 2016 04:29Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri amekiri kwamba ndege ya abiria ya Russia iliyoanguka mwezi oktoba mwaka uliopita katika anga ya nchi yake ilitunguliwa na magaidi.
-
EU yaonya kuhusu hatari ya vita vya Russia, Uturuki
Feb 24, 2016 04:12Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya ameonya kuhusu uwezekano wa kuzuka vita baina ya Russia na Uturuki.
-
Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili
Feb 23, 2016 04:17Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.