Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yapinga pendekezo la marufuku ya kupaa ndege Syria

    Russia yapinga pendekezo la marufuku ya kupaa ndege Syria

    Feb 17, 2016 11:40

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema, inapinga pendekezo la kuTENGWA eneo lisiloruhusiwa kupaa ndege ndani ya Syria na kutaka waratibu wa pendekezo hilo kuishirikisha serikali ya Damascus kabla ya kuchukuliwa uamuzi wowote.

  • Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Feb 14, 2016 23:38

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.

  • Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Feb 14, 2016 23:38

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.

  • Russia: Kutuma vikosi vamizi Syria kutachochea Vita vya Dunia

    Russia: Kutuma vikosi vamizi Syria kutachochea Vita vya Dunia

    Feb 12, 2016 04:38

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha juu ya kutumwa vikosi vya kigeni nchini Syria na kusema kuwa hatua hiyo haitakuwa na tija nyingine ghairi ya kuchochea "Vita Vipya vya Dunia".

  • Russia yakamata magaidi wa ISIS, yazuia hujuma za kigaidi

    Russia yakamata magaidi wa ISIS, yazuia hujuma za kigaidi

    Feb 08, 2016 23:00

    Vikosi vya usalama Russia vimewakamata magaidi saba wa kundi la ISIS (Daesh) ambao walikuwa wanapanga kufanya mashambulizi ya kigaidi katika miji kadhaa kote Russia.

  • Rusia: Nato inachochea machafuko Mashariki ya Kati

    Rusia: Nato inachochea machafuko Mashariki ya Kati

    Feb 08, 2016 03:44

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imejibu tuhuma za shika la kijeshi la nchi za Magharibi (NATO) ikisema muungano huo wa kijeshi imeitumbukiza Syria katika matatizo makubwa na kusababisha machafuko katika eneo lote la Mashariki ya Kati.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS