Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: Marekani haitakuwa tena mhimili mkuu katika

    Russia: Marekani haitakuwa tena mhimili mkuu katika "utaratibu mpya wa dunia"

    Oct 24, 2023 15:09

    Russia imekosoa matamshi ya rais Joe Biden wa Marekani kwamba Washington lazima iwe ndiyo nguvu inayoongoza katika "utaratibu mpya wa dunia", ikisema maono kama hayo ya "Marekani kuwa mhimili mkuu" yamepitwa na wakati.

  • Russia yaomba kuitishwa kikao kingine cha Baraza la Usalama la UN kujadili mauaji ya watu wa Gaza

    Russia yaomba kuitishwa kikao kingine cha Baraza la Usalama la UN kujadili mauaji ya watu wa Gaza

    Oct 23, 2023 07:48

    Russia imeomba kuitishwa tena kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili vita vya Gaza.

  • Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Oct 22, 2023 03:20

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia amelaani uungaji mkono na misaada ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine na kusema, mara hii pia Marekani itashindwa na kufeli kama ilivyokuwa huko Afghanistan.

  • Ushirikiano wa Korea Kaskazini na Russia dhidi ya Marekani

    Ushirikiano wa Korea Kaskazini na Russia dhidi ya Marekani

    Oct 21, 2023 11:28

    Katika mazungumzo yake na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, wamejadiliana kuhusu uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wao wa hivi sasa na kusisitiza juu ya makubaliano yao ya kutatua kidiplomasia masuala yenye utata katika Peninsula ya Korea.

  • Ukosoaji wa Russia kwa siasa za uadui za Marekani ulimwenguni

    Ukosoaji wa Russia kwa siasa za uadui za Marekani ulimwenguni

    Oct 21, 2023 07:24

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Russia amekosoa vikali siasa za uhasama za Marekani ulimwenguni.

  • Russia: Kustawisha uhusiano wa kimkakati na China ni kipaumbele chetu cha kipekee

    Russia: Kustawisha uhusiano wa kimkakati na China ni kipaumbele chetu cha kipekee

    Oct 17, 2023 13:41

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa kustawisha uhusiano wa kimkakati na China ni kipaumbele cha kipekee kwa Moscow, na akauelezea uhusiano wa Moscow na Beijing kuwa ni kama mfano wa ushirikiano wa kiserikali kati ya madola makubwa yenye nguvu katika karne ya 21.

  • Putin: Israel imepora ardhi halali ya Wapalestina kwa kutumia jeshi

    Putin: Israel imepora ardhi halali ya Wapalestina kwa kutumia jeshi

    Oct 12, 2023 02:32

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema utawala haramu wa Israel umenyakua sehemu kubwa ya ardhi ya halali ya Wapalestina kwa kutumia vikosi vya jeshi la utawala huo wa Kizayuni.

  • NYT: Ukuaji wa uchumi wa Russia utaupiku wa US na EU

    NYT: Ukuaji wa uchumi wa Russia utaupiku wa US na EU

    Oct 12, 2023 02:32

    Gazeti la New York Times limeripoti kuwa, uchumi wa Russia ni imara na madhubuti kinyume na matarajio ya serikali za Magharibi, ambazo zilitazamia uchumi huo utalemazwa kikamilifu na vikwazo vyao dhidi ya Moscow.

  • Msimamo tofauti wa Russia na China kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa

    Msimamo tofauti wa Russia na China kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa

    Oct 12, 2023 02:31

    Licha ya uungaji mkono kamili wa Marekani na washirika wake wa magharibi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya operesheni ya Kimbunga ya al-Aqswa na hata Washington kutuma misaada ya kijeshi na zana za kivita kwa utawala huo ghasibu, lakini Russia na China, yakiwa madola mawili hasimu na washindani wa Magharibi, yamechukua msimamo tofauti katika uwanja huu.

  • Vladimir Putin: Wakati umefika wa kutangazwa nchi huru ya Palestina

    Vladimir Putin: Wakati umefika wa kutangazwa nchi huru ya Palestina

    Oct 11, 2023 02:57

    Rais Vladimir Putin wa Russia amezungumzia kushindwa siasa za kibeberu za rais wa Marekani, Joe Biden za kuingilia masuala ya eneo la Asia Magharibi na kutilia mkazo wajibu wa kutekelezwa maamizio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayosisitizia kuundwa nchi huru ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS