Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Katibu Mkuu wa Arab League aelekea Russia kwa mazungumzo

    Katibu Mkuu wa Arab League aelekea Russia kwa mazungumzo

    Oct 09, 2023 02:34

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amefanya ziara mjini Moscow Russia kwa ajili ya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuhusu masuala mbalimbali.

  • Russia yaharibu mfumo wa M777 wa Marekani huko Ukraine.

    Russia yaharibu mfumo wa M777 wa Marekani huko Ukraine.

    Oct 08, 2023 08:17

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuharibu mfumo wa M777 wa Marekani na wa Crab katika operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine.

  • Misri na Russia zasisitiza kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

    Misri na Russia zasisitiza kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

    Oct 08, 2023 06:38

    Katika mazungumzo ya simu, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Misri na Russia wamesisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Putin: Hakuna adui atakayesalimika katika shambulizi la kisasi la nyuklia

    Putin: Hakuna adui atakayesalimika katika shambulizi la kisasi la nyuklia

    Oct 06, 2023 02:46

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuwa, hakuna adui atakayesalimika iwapo Russia itatekeleza shambulizi la kulipiza kisasi kwa kutumia silaha za nyuklia.

  • Rais Putin: Uhusiano wa Russia na Iran ni 'mzuri mno'

    Rais Putin: Uhusiano wa Russia na Iran ni 'mzuri mno'

    Oct 05, 2023 13:10

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema uhusiano wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mzuri na wa kuridhisha.

  • Russia yaripoti ukuaji mkubwa wa biashara na Afrika

    Russia yaripoti ukuaji mkubwa wa biashara na Afrika

    Oct 03, 2023 02:43

    Mauzo ya biashara kati ya Russia na nchi za Afrika yameongezeka kwa asilimia 43.5 katika miezi minane ya kwanza ya 2023 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka mmoja uliopita, RBK ya kila siku ya biashara iliripoti jana Jumatatu, ikinukuu Wizara ya Uchumi ya Russia.

  • Uturuki bado inatafuta fursa kwa kuendelea kukalia ardhi ya Syria

    Uturuki bado inatafuta fursa kwa kuendelea kukalia ardhi ya Syria

    Oct 02, 2023 11:05

    Ankara imetangaza kwa mara nyingine kuwa serikali ya Uturuki itaanzisha tena mazungumzo yake na Iran na Russia kwa lengo la kuboresha uhusiano na Syria.

  • Waziri wa Russia: BRICS itaanzisha mfumo mbadala wa SWIFT

    Waziri wa Russia: BRICS itaanzisha mfumo mbadala wa SWIFT

    Sep 30, 2023 04:38

    Waziri wa Fedha wa Russia amedokeza kuwa, nchi wanachama wa kundi la BRICS zinajiandaa kuanzisha mfumo wa mawasiliano ya kibenki kama mbadala wa ule wa SWIFT wa Wamagharibi.

  • Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani

    Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani

    Sep 28, 2023 07:53

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu dunia kuingia katika mashindano mapya ya silaha za nyuklia ambayo yanaweza kueneza maafa duniani kote. Katika siku ya mwisho ya mkutano wa mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama amesema mashindano ya silaha yanatia wasiwasi wa kuongezeka karibuni idadi ya silaha za nyuklia ulimwenguni.

  • Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi

    Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi

    Sep 26, 2023 07:30

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, ameandika katika makala iliyochapishwa kwenye blogu yake akisema: "Sheria zinazotawala dunia zinachakaa na nchi zinazoendelea za kusini mwa dunia zinatafuta mbadala wa Magharibi."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS