Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine

    Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine

    Aug 13, 2023 07:01

    Misri imekataa ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine ikiwa ni katika sehemu ya mkakati wa Cairo ya kutopendelea upande wowote kwenye vita vya Ukraine na Russia.

  • Russia yatungua droni 11 za Ukraine karibu na eneo la Crimea

    Russia yatungua droni 11 za Ukraine karibu na eneo la Crimea

    Aug 10, 2023 22:48

    Russia imesema imefanikiwa kutungua ndege 11 zisizo na rubani za Ukraine karibu na eneo la Crimea, na nyingine mbili zilizokuwa zinaelekea Moscow.

  • Uamuzi wa Russia na Qatar wa kutumia sarafu zao za taifa katika miamala ya kibiashara

    Uamuzi wa Russia na Qatar wa kutumia sarafu zao za taifa katika miamala ya kibiashara

    Aug 10, 2023 22:47

    Katika muendelezo wa sera ya kufuta sarafu ya dola katika miamala ya kibiashara kati ya nchi mbalimbali, Qatar pia imeondoa matumizi ya dola katika mabadilishano yake ya kibiashara na Russia, ambapo biashara baina ya nchi hizo mbili, sasa itafanyika kwa kutumia sarafu za taifa.

  • Russia: Marekani ndiyo ya kulaumiwa kwa kutotekelezwa JCPOA

    Russia: Marekani ndiyo ya kulaumiwa kwa kutotekelezwa JCPOA

    Aug 09, 2023 07:56

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema mustakabali wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA upo mikononi mwa Marekani na nchi za Ulaya, huku akitilia shaka azma ya Wamagharibi ya kuyahuisha mapatano hayo kikamilifu.

  • Moscow yasisitiza kuwa itatimiza malengo yake ya kijeshi huko Ukraine

    Moscow yasisitiza kuwa itatimiza malengo yake ya kijeshi huko Ukraine

    Aug 08, 2023 23:43

    Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, amesema kuwa nchi yake ina vikosi vya jeshi vya kutosha kutekeleza majukumu yote ya operesheni maalumu ya kijeshi nchini Ukraine.

  • Russia yatahadharisha kuhusu uingiliaji kijeshi huko Niger

    Russia yatahadharisha kuhusu uingiliaji kijeshi huko Niger

    Aug 06, 2023 07:06

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetahadharisha kuhusu hatua yoyote ya kuingia kijeshi nchini Niger.

  • Saudia yaitisha mkutano wa nchi 40 kujadili vita vya Ukraine bila kuialika Russia

    Saudia yaitisha mkutano wa nchi 40 kujadili vita vya Ukraine bila kuialika Russia

    Aug 05, 2023 23:00

    Saudi Arabia imeitisha mkutano mjini Jeddah, ambao umehudhuriwa na maafisa waandamizi kutoka nchi zipatazo 40, pasi na kuishirikisha Russia, lengo likiwa ni kupendekeza kanuni kuu za kuhitimisha vita kati ya nchi hiyo na Ukraine.

  • Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa

    Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa

    Aug 05, 2023 00:26

    Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil ametaka kupigwa teke na kuwekwa pembeni matumizi ya sarafu ya dola katika biashara za kimataifa na kutafutwa sarafu nyingine za kuziba nafasi ya sarafu hiyo ya Marekani.

  • Wawakilishi wa nchi 12 wakutana Moscow kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya

    Wawakilishi wa nchi 12 wakutana Moscow kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya

    Aug 04, 2023 08:40

    Mabalozi na wanadiplomasia wa nchi 12 za Kiislamu na zisizo za Kiislamu wamekutana katika kikao kilichoandaliwa na ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia na kulaani vitendo vinavyofanyika katika baadhi ya nchi za Magharibi vya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.

  • Moscow yawaonya magaidi wasijaribu kushambulia wanajeshi wa Russia na Syria

    Moscow yawaonya magaidi wasijaribu kushambulia wanajeshi wa Russia na Syria

    Aug 03, 2023 23:04

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa, Moscow ina taarifa kwamba magenge ya kigaidi yanapanga njama za kutumia magaidi wa kujiripua kwa mabomu dhidi ya wanajeshi wa Russia na Syria na kwamba inatoa onyo mapema kuhusu njama hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS