Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Mwito wa Russia wa uchunguzi kuhusu jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan

    Mwito wa Russia wa uchunguzi kuhusu jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan

    Jun 21, 2023 02:41

    Ujumbe wa Russia umetoa mwito wa kuendelea kukusanywa taarifa na uchunguzi kuhusu jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan. Mwito huo umetolewa katika kikao cha 53 cha Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa,

  • Sergei Lavrov:Hati ya usalama wa taifa wa Ujerumani ni kinyume ni maslahi ya raia wake

    Sergei Lavrov:Hati ya usalama wa taifa wa Ujerumani ni kinyume ni maslahi ya raia wake

    Jun 19, 2023 09:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameashiria hati mpya ya usalama wa taifa wa Ujerumani na kusema: Hati hiyo iko kinyume na maslahi na mantiki ya watu wa nchi hiyo.

  • Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Jun 18, 2023 02:47

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.

  • Rais wa Ukraine akataa pendekezo la amani la viongozi wa Afrika

    Rais wa Ukraine akataa pendekezo la amani la viongozi wa Afrika

    Jun 17, 2023 12:06

    Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amepuuzilia mbali mapendekezo ya ujumbe wa viongozi wa Afrika ya kufanyika mazungumzo ya kusitisha vita na kutafuta amani ya kudumu katika eneo hilo.

  • Zakharova: Russia itatumia silaha za nyuklia ikilazimu

    Zakharova: Russia itatumia silaha za nyuklia ikilazimu

    Jun 16, 2023 07:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema nchi hiyo inaweza tu kutumia silaha zake za nyuklia katika mazingira maalum ya kujihami.

  • Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi

    Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi

    Jun 16, 2023 06:33

    Ikiwa ni katika mwenendo wa nchi za dunia kuvutiwa na miungano pamoja na mashirika yasiyofungamana na Marekani na nchi nyingine za Magharibi, Misri imeomba uanachama katika jumuiya ya BRICS.

  • Balozi wa Iran nchini Russia: Nchi za BRICS zitakuwa na sarafu isiyokuwa dola

    Balozi wa Iran nchini Russia: Nchi za BRICS zitakuwa na sarafu isiyokuwa dola

    Jun 15, 2023 11:15

    Balozi wa Iran nchini Russia ameeleza kuwa mustakabali wa uchumi wa dunia utakuwa wa nchi za BRICS na kuwa nchihizo zitakuwa na fedha zao zisizotegemea dola.

  • Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Ununuzi wa mafuta kutoka Iran, nembo ya kufeli sera za vikwazo za Magharibi

    Jun 15, 2023 02:23

    Takwimu mpya zilizotolewa na Kituo cha Takwimu cha Ulaya (Eurostat) zinaonyesha kuwa, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2018, Ujerumani imeagiza shehena kubwa ya mafuta au bidhaa za petroli kutoka Iran licha ya vikwazo vya Marekani.

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia kuwa Marekani inaunga mkono magaidi wa Daesh na Al Qaeda

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia kuwa Marekani inaunga mkono magaidi wa Daesh na Al Qaeda

    Jun 07, 2023 10:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema Marekani inaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Afghanistan kwa lengo la kuliyumbisha eneo.

  • Uzushi na undumakuwili wa Zelensky dhidi ya Iran

    Uzushi na undumakuwili wa Zelensky dhidi ya Iran

    May 29, 2023 01:24

    Rais wa Ukraine kwa mara nyingine tena ameitaka Iran isiipatie Russia ndege za kivita zisizo na rubani kauli ambayo ameitoa kwa kutegemea madai bandia ambayo yamepingwa mara kadhaa na Iran na pia Ukraine haijaweza kutoa ushahidi wowote wa maana kuhusu madai hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS