Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Zakharova: Shambulizi la Ukraine dhidi ya Moscow linafanana na la 9/11

    Zakharova: Shambulizi la Ukraine dhidi ya Moscow linafanana na la 9/11

    Aug 01, 2023 22:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameashiria shambulio la karibuni la ndege zisizo na rubani za Kiev kwenye eneo la biashara mjini Moscow na kusema kuwa, hujuma hiyo inashabihiana na mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 mjini New York, Marekani.

  • Makamanda wa majeshi ya majini ya Afrika Kusini na Venezuela wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Makamanda wa majeshi ya majini ya Afrika Kusini na Venezuela wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Jul 31, 2023 07:36

    Makamanda wa vikosi vya wanamaji vya majeshi ya Afrika Kusini na Venezuela wamesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano wa kiulinzi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao chao na Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu.

  • Msisitizo wa Russia katika kupanua uhusiano wa kina na nchi za Afrika

    Msisitizo wa Russia katika kupanua uhusiano wa kina na nchi za Afrika

    Jul 29, 2023 23:00

    Vladimir Putin, Rais wa Rusia, amesisitiza udharura wa kupanuliwa uhusiano wa kina na nchi za Kiafrika akisema: Russia itatuma nafaka za bure kwa nchi 6 za Afrika katika miezi michache ijayo.

  • Putin: Russia itazipatia nafaka nchi sita za Kiafrika ndani ya muda wa miezi michache ijayo

    Putin: Russia itazipatia nafaka nchi sita za Kiafrika ndani ya muda wa miezi michache ijayo

    Jul 28, 2023 04:19

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema nchi yake inaweza kuchukua nafasi ya Ukraine ya usambazaji wa nafaka kwa bara la Afrika na kutangaza kuwa Moscow itatuma nafaka bila malipo kwa nchi sita za Kiafrika katika kipindi cha miezi michache ijayo.

  • Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Jul 25, 2023 03:38

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema dunia ya sasa haivumilii tena sera za kufuata amri za Marekani na inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa, mchakato ambao haukubaliwi na nchi za Magharibi.

  • Russia: Shambulio la droni la Ukraine ni ugaidi wa kimataifa

    Russia: Shambulio la droni la Ukraine ni ugaidi wa kimataifa

    Jul 24, 2023 07:51

    Russia imelitaja shambulio la ndege zisizo na rubani (droni) za Ukraine dhidi ya Moscow kuwa ugaidi wa kimataifa.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia: Marekani inahusika katika uhalifu wa mauaji ya mwandishi habari Mrussia

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia: Marekani inahusika katika uhalifu wa mauaji ya mwandishi habari Mrussia

    Jul 24, 2023 07:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Marekani inahusika katika uhalifu mpya wa Ukraine wa mauaji ya mwandishi wa habari wa Russia kwa kutuma mabomu ya vishada nchini Ukraine kwa kisingizio cha vita nchini humo.

  • Russia yatoa masharti saba ya kurudi tena kwenye mkataba wa usafirishaji nafaka

    Russia yatoa masharti saba ya kurudi tena kwenye mkataba wa usafirishaji nafaka

    Jul 22, 2023 22:47

    Russia imetangaza kuwa iko tayari kurejea kwenye na mkataba wa nafaka uliosimamiwa na Umoja wa Mataifa na Uturuki, lakini kwa sharti tu kwamba mataifa ya Magharibi na Ukraine yatimize wajibu wao wa muda mrefu kuhusiana na Moscow ambao yameshindwa kuutekeleza hadi sasa.

  • Marekani yaona fahari kutumiwa silaha zake haramu za vishada Ukraine

    Marekani yaona fahari kutumiwa silaha zake haramu za vishada Ukraine

    Jul 21, 2023 04:19

    Marekani imepongeza na kusifu uamuzi wake wa kutuma mabomu yaliyopigwa marufuku kimataifa ya vishada nchini Ukraine.

  • Russia yaruhusu kuanzishwa benki za Kiislamu katika baadhi ya maeneo

    Russia yaruhusu kuanzishwa benki za Kiislamu katika baadhi ya maeneo

    Jul 20, 2023 03:50

    Bunge la Russia (Duma) limeidhinisha muswada wa sheria inayoruhusu kuanzishwa kwa mfumo wa benki za Kiislamu katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS