Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani

    Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani

    May 14, 2023 13:58

    Gazeti la Wall Street Journal limetangaza kuwa, Misri imepuuzilia mbali takwa la Marekani kwa nchi hiyo la kutoruhusu ndege za kijeshi za Russia kupita katika anga yake.

  • Russia: Ukraine imewashambulia raia kwa makombora ya Uingereza

    Russia: Ukraine imewashambulia raia kwa makombora ya Uingereza

    May 14, 2023 01:28

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa jeshi la Ukraine limewashambulia raia kwa kutumia makombora ya Uingereza.

  • Kikao cha pande nne cha Moscow kuhusu Syria pamoja na matokeo yake

    Kikao cha pande nne cha Moscow kuhusu Syria pamoja na matokeo yake

    May 11, 2023 11:24

    Kikao cha kwanza cha pande nne cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Syria, Uturuki na Iran kuhusiana na Syria kilifanyika Jumatano ya jana huko Moscow mji mkuu wa Rusia.

  • Iran: Tunapinga kuendelea vita nchini Ukraine

    Iran: Tunapinga kuendelea vita nchini Ukraine

    Apr 27, 2023 05:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inapinga vita vya Ukraine na inaunga mkono juhudi za kusimamishwa vita na kurejea usalama na amani nchini humo.

  • Russia: Udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka

    Russia: Udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka

    Apr 22, 2023 11:45

    Balozi wa Russia mjini Washington amesema, udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka.

  • Russia yakaribisha mpango wa China wa amani na Ukraine

    Russia yakaribisha mpango wa China wa amani na Ukraine

    Apr 22, 2023 01:40

    Russia imeunga mkono mpango wa vipengee 12 uliopendekezwa na China kwa ajili ya kufikia amani kati yake na Ukraine.

  • Rais wa Russia: Tunatoa kipaumbele katika kupanua jeshi la wanamaji

    Rais wa Russia: Tunatoa kipaumbele katika kupanua jeshi la wanamaji

    Apr 18, 2023 01:29

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa suala la kustafidi na vikosi vya wanamaji ndio kipaumbele kikuu katika operesheni maalum za kijeshi zinazotekelezwa na Russia huko Ukraine, na kwamba kuongezwa idadi ya vikosi hivyo ni kati ya vipaumbele vingine vya Moscow.

  • Peskov: Ushindi wa Russia katika operesheni ya kijeshi Ukraine ni suala la kufa na kupona

    Peskov: Ushindi wa Russia katika operesheni ya kijeshi Ukraine ni suala la kufa na kupona

    Apr 14, 2023 06:37

    Msemaji wa ofisi ya rais wa Russia amesema, ushindi wa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya kijeshi nchini Ukraine ni suala la kufa na kupona na kwamba kuendelea uingiliaji wa shirika la kijeshi la NATO katika vita vya Ukraine kunarefusha muda wa vita hivyo.

  • Ramani ya Utaratibu Mpya wa Ulimwengu; Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kudhoofika sarafu ya dola

    Ramani ya Utaratibu Mpya wa Ulimwengu; Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kudhoofika sarafu ya dola

    Apr 13, 2023 12:19

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 4 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika mkutano na viongozi na maafisa watendaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • "Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu", msisitizo wa Kiongozi Muadhamu juu ya jinsi Marekani inavyofaidika na vita vya Ukraine

    Apr 09, 2023 14:21

    Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 15 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS