-
Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani
May 14, 2023 13:58Gazeti la Wall Street Journal limetangaza kuwa, Misri imepuuzilia mbali takwa la Marekani kwa nchi hiyo la kutoruhusu ndege za kijeshi za Russia kupita katika anga yake.
-
Russia: Ukraine imewashambulia raia kwa makombora ya Uingereza
May 14, 2023 01:28Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa jeshi la Ukraine limewashambulia raia kwa kutumia makombora ya Uingereza.
-
Kikao cha pande nne cha Moscow kuhusu Syria pamoja na matokeo yake
May 11, 2023 11:24Kikao cha kwanza cha pande nne cha Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Syria, Uturuki na Iran kuhusiana na Syria kilifanyika Jumatano ya jana huko Moscow mji mkuu wa Rusia.
-
Iran: Tunapinga kuendelea vita nchini Ukraine
Apr 27, 2023 05:38Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inapinga vita vya Ukraine na inaunga mkono juhudi za kusimamishwa vita na kurejea usalama na amani nchini humo.
-
Russia: Udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka
Apr 22, 2023 11:45Balozi wa Russia mjini Washington amesema, udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka.
-
Russia yakaribisha mpango wa China wa amani na Ukraine
Apr 22, 2023 01:40Russia imeunga mkono mpango wa vipengee 12 uliopendekezwa na China kwa ajili ya kufikia amani kati yake na Ukraine.
-
Rais wa Russia: Tunatoa kipaumbele katika kupanua jeshi la wanamaji
Apr 18, 2023 01:29Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa suala la kustafidi na vikosi vya wanamaji ndio kipaumbele kikuu katika operesheni maalum za kijeshi zinazotekelezwa na Russia huko Ukraine, na kwamba kuongezwa idadi ya vikosi hivyo ni kati ya vipaumbele vingine vya Moscow.
-
Peskov: Ushindi wa Russia katika operesheni ya kijeshi Ukraine ni suala la kufa na kupona
Apr 14, 2023 06:37Msemaji wa ofisi ya rais wa Russia amesema, ushindi wa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya kijeshi nchini Ukraine ni suala la kufa na kupona na kwamba kuendelea uingiliaji wa shirika la kijeshi la NATO katika vita vya Ukraine kunarefusha muda wa vita hivyo.
-
Ramani ya Utaratibu Mpya wa Ulimwengu; Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kudhoofika sarafu ya dola
Apr 13, 2023 12:19Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 4 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika mkutano na viongozi na maafisa watendaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
"Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu", msisitizo wa Kiongozi Muadhamu juu ya jinsi Marekani inavyofaidika na vita vya Ukraine
Apr 09, 2023 14:21Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 15 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.