-
Russia: Ukraine inawaua kikatili mateka wa kivita
Nov 20, 2022 23:03Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa wanajeshi wa Ukraine wanafanya mauaji ya kikatili dhidi ya mateka wa kivita wa Russia.
-
Russia na China zapinga azimio la Bodi ya Magavana ya Wakala wa IAEA dhidi ya Iran
Nov 19, 2022 08:22Azimio jipya la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani limepasishwa ambapo limetuma ujumbe ulio wazi kufuatia kupungua kwa kura za nchi zilizoliunga mkono licha ya mashinikizo mapya ya kisiasa ya Marekani na Troika ya Ulaya dhidi ya Iran.
-
Stoltenberg: Hakuna ishara Russia inapanga kuishambulia NATO
Nov 17, 2022 03:40Katibu Mkuu wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) amesema hakuna dalili yoyote inayoashiria kuwa Russia inapanga kufanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya nchi za NATO.
-
Madai ya shambulio la kombora la Russia dhidi ya Poland: Njama za kuzusha mgogoro mpya wa Magharibi dhidi ya Moscow
Nov 16, 2022 22:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Poland imetangaza kuwa: "Siku ya Jumanne alasiri, kombora la jeshi la Russia lilipiga kijiji cha "Przewodów" mashariki mwa Poland kilichoko umbali wa kilomita sita kutoka kwenye mpaka wa Ukraine, na kuua Wapoland wawili."
-
China yapinga kutimuliwa Russia katika jumuiya ya nchi zinazounda G20
Nov 15, 2022 21:33Waziri wa mambo ya nje wa China amesema anaunga mkono mchango wa Russia katika G20 na akasisitiza kuwa hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuinyima Moscow nafasi ya kushiriki katika jumuiya za pande kadhaa.
-
Rais Putin wa Russia kutohudhuria mkutano ujao wa G20
Nov 10, 2022 23:39Ikulu ya Rais wa Russia (Kremlin) imesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo hatoshiriki mkutano wa kundi la G20 unaotazamiwa kufanyika wiki ijayo mjini Bali nchini Indonesia.
-
Russia: Bado hatujaafiki rasmi kurefusha usafirishaji nje wa nafaka za Ukraine
Nov 09, 2022 03:47Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Moscow bado haijaamua rasmi kuafiki kurefushwa usafirishaji nje wa nafaka za Ukraine.
-
Onyo la Russia kuhusu Wamagharibi kutuma magaidi nchini Ukraine
Nov 04, 2022 08:45Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, Nikolay Patrushev, ametangaza kuwa Marekani na Uingereza zinasajili na kuajiri magaidi wa kimataifa kwa ajili ya kushirikiana na jeshi la Ukraine katika vita dhidi ya Russia.
-
Russia yaionya Uingereza juu ya ‘matokeo hatari’ kufuatia shambulio la droni Bahari Nyeusi
Nov 04, 2022 03:15Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imemwita balozi wa Uingereza na kuionya London kuhusu "matokeo hatari," kufuatia shambulio la ndege zisizo na rubani za Ukraine dhidi ya manowari za Moscow katika Bahari Nyeusi huko Crimea wiki iliyopita, ambapo Russia inasema Uingereza ilitoa msaada kwa Kiev kutekeleza shambulio hilo.
-
China, Russia zapinga mkutano usio rasmi wa Baraza la Usalama la UN dhidi ya Iran
Nov 03, 2022 22:52China na Russia zimelaani kuitishwa mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran. Wawakilishi wa China na Russia wamelaani kitendo cha Marekani na Albania cha kufanya mkutano usio rasmi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu eti matukio ya Iran.