-
Russia: Walioivamia Afghanistan na kuikalia kwa mabavu miaka 20, ni wajibu wao kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo
Dec 24, 2021 04:23Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, nchi zilizoivamia na kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa muda wa miaka 20 ndizo hasa zenye jukumu nambari moja la kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo.
-
Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya
Dec 22, 2021 23:20Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake ina haki kamili ya kujihami dhidi ya hatua zisizo za kirafiki za Marekani na akabainisha kwamba Moscow itachukua hatua mwafaka za kijeshi na kiufundi juu ya suala hilo.
-
Rais wa Russia aionya Marekani kwa hatua za utoaji vitisho inazochukua dhidi ya nchi yake
Dec 21, 2021 23:12Rais Vladimir Putin wa Russia ameionya Marekani kuhusiana na hatua za utoaji vitisho inazochukua dhidi ya nchi yake.
-
Marekani yapinga azimio la Umoja wa Mataifa la kupinga ubaguzi wa rangi
Dec 19, 2021 01:55Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi iliyopita lilipitisha azimio la kulaani aina zote za ubaguzi wa rangi.
-
Russia yakanusha tuhuma za kuiuzia silaha Taliban, yasema ni madai ya kijinga
Dec 17, 2021 09:44Mwakilishi wa rais wa Russia katika masuala ya Afghanistan amekanusha habari iliyotangazwa na vyombo vya habari vya Magharibi kwamba nchi hiyo imeiuzia silaha serikali ya Taliban.
-
Russia yaionya NATO isiichochee Ukraine kuichokoza na kufanya chokochoko dhidi ya Moscow
Dec 16, 2021 03:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelionya jeshi la Magharibi la NATO kuhusu kuipa silaha Ukraine na kuichochea kufanya chokochoko dhidi ya Moscow.
-
Rais wa Russia asema uhusiano wa nchi yake na China unaleta uthabiti katika uga wa kimataifa
Dec 15, 2021 23:57Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, uratibu na mashauriano yanayofanywa baina ya nchi yake na China katika uga wa kimataifa umekuwa wenzo wa kupatikana uthabiti duniani.
-
Russia yasimamisha kwa muda uwekaji mitambo ya makombora barani Ulaya
Dec 14, 2021 08:56Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema nchi hiyo imeamua kusimamisha kwa muda mpango wa kuweka mitambo yake ya makombora katika bara la Ulaya.
-
Russia: Iran ni kati ya nchi nne bora duniani katika uzalishaji makombora
Dec 12, 2021 04:42Naibu Mkuu wa Akademia ya Makombora Russia amesema katika uga wa kijeshi Iran ni miongoni mwa nchi zilizoendelea na katika uundaji wa mifumo ya makombora Iran na ni miongoni mwa nchi nne bora duniani.
-
Kiongozi mpya wa Ujerumani aanza kazi kwa kuitisha Russia
Dec 09, 2021 04:45Kansela mpya wa Ujerumani Olaf Scholz, ambaye amechukua hatamu za uongozi wa nchi hiyo kutoka kwa Angela Merkel, ameanza kazi kwa kutoa vitisho dhidi ya Russia.