-
Ulyanov: Jamii ya kimataifa imepuuza madai ya Marekani dhidi ya Iran
Sep 19, 2020 22:09Mwakilishi wa Russia katika jumuiya za kimataifa mjini Vienna ameunga mkono barua iliyotumwa na Troika ya Ulaya katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu suala la kusitishwa vikwazo vya silaha vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran na kusema jitihada zinazofanywa na Marekani kwa ajili ya kurefusha muda wa vikwazo hivyo hazina mashiko wala mantiki.
-
Russia yajibu vitisho vya makombora vya Marekani
Aug 04, 2020 02:19Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Russia imetangaza kuwa, nchi hiyo haitafumbia jicho vitisho vya makombora ya Marekani.
-
Moscow yatahadharisha kuhusu vikwazo vya Marekani dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Chechniya
Jul 21, 2020 06:28Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametahadharisha kuwa Moscow itatoa jibu kwa vitisho vya Washington dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Chechniya inayojiendeshea mambo yake yenyewe.
-
Upinzani wa Russia na China kwa hatua za upande mmoja za Marekani
Jul 18, 2020 22:18Siasa za kujichukulia hatua na maamuzi ya kipeke yake za Marekani katika miaka ya karibuni zimezusha hasira kali za viongozi wa nchi mbalimbali duniani; na aghalabu ya viongozi hao wamekosoa siasa hizo za Marekani na kusisitiza kutekelezwa siasa za ushirikiano wa pande kadhaa kwa maslahi ya pamoja. Katika msimamo wao wa karibuni wa kimataifa, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Russia na China wamekosa kuendelea siasa hizo za kivyake vyake za Marekani katika masuala ya kimataifa.
-
Afisa wa Russia: Wabunge wa Kongresi ya Marekani ni sawa na muuaji wa George Floyd
Jun 12, 2020 05:34Naibu Spika wa Bunge la Russia (DUMA) amesema kuwa uamuzi uliochukuliwa na wawakilishi wa Kongresi ya Marekani wa kuiwekea vikwazo zaidi Iran na Russia unafanana na mienendo ya polisi mzungu aliyemuua kikatili raia mweusi wa nchi hiyo, George Floyd.
-
Russia: Washington itekeleze kivitendo maagizo yake kuhusu haki za binadamu
Jun 08, 2020 07:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeitaka Washington itekeleze kivitendo maagizo yake inayoyatoa kuhusu haki za binadamu. Russia imeyasema hayo ikiwa ni radiamali yake kwa siasa zinazotekelezwa na serikali ya Marekani katika kuyakandamiza vikali maandamano ya wananchi dhidi ya ubaguzi wa rangi wanaofanyiwa wananchi wa nchi hiyo.
-
Russia: Hadhi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inazidi kuporomoka
Jun 05, 2020 22:26Serikali ya Russia imekosoa matamshi ya afisa mmoja wa Marekani aliyeitaka Moscow kuondoka eneo la Asia Magharibi na kuesema kuwa matamshi ya namna hiyo yasiyo ya weledi na yaliyotolewa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ni ishara ya kuporomoka kiwango cha hadhi ya wizara hiyo.
-
Majibu ya hapana ya Russia kwa ombi la Marekani la kuzungumza na magaidi wa Syria
Feb 25, 2020 07:06Ushindi wa mfululizo wa jeshi la Syria na waitifaki wake katika mkoa wa Idlib umepokewa kwa hisia kali, si na Uturuki pekee na uvamizi wake wa kijeshi huko Syria, lakini pia Marekani nayo ambayo inaongoza muungano wa nchi za Magharibi na za Kiarabu wa eti kupambana na ugaidi nchini humo, imeitaka Russia ifanye mazungumzo na magaidi hao.
-
Safari ya Lavrov nchini Marekani, kuendelea tofauti kati ya Moscow na Washington
Dec 11, 2019 22:46Uhusiano wa Marekani na Russia hususan baada ya kuibuka mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, unashuhudia mivutano mingi ambapo Washington mbali na kukabiliana na Moscow katika uga wa masuala ya kiusalama, kijeshi na kisiasa pia imeiwekea mashinikizo makali Russia katika nyuga tofauti za kisiasa, kidiplomasia, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, mauzo ya silaha na nishati.
-
Russia: Vikwazo vimegeuka na kuwa wenzo wa kuzibana kisiasa nchi nyingine
Nov 05, 2019 23:37Waziri Mkuu wa Russia Dmitry Medvedev, amekosoa vikali mienendo ya Marekani ya kutumia siasa za vikwazo dhidi ya nchi nyingine.