Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia na Marekani

  • Moscow yatahadharisha kuhusu vikwazo vya Marekani dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Chechniya

    Moscow yatahadharisha kuhusu vikwazo vya Marekani dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Chechniya

    Jul 21, 2020 10:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametahadharisha kuwa Moscow itatoa jibu kwa vitisho vya Washington dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Chechniya inayojiendeshea mambo yake yenyewe.

  • Upinzani wa Russia na China kwa hatua za upande mmoja za Marekani

    Upinzani wa Russia na China kwa hatua za upande mmoja za Marekani

    Jul 19, 2020 02:48

    Siasa za kujichukulia hatua na maamuzi ya kipeke yake za Marekani katika miaka ya karibuni zimezusha hasira kali za viongozi wa nchi mbalimbali duniani; na aghalabu ya viongozi hao wamekosoa siasa hizo za Marekani na kusisitiza kutekelezwa siasa za ushirikiano wa pande kadhaa kwa maslahi ya pamoja. Katika msimamo wao wa karibuni wa kimataifa, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Russia na China wamekosa kuendelea siasa hizo za kivyake vyake za Marekani katika masuala ya kimataifa.

  • Afisa wa Russia: Wabunge wa Kongresi ya Marekani ni sawa na muuaji wa George Floyd

    Afisa wa Russia: Wabunge wa Kongresi ya Marekani ni sawa na muuaji wa George Floyd

    Jun 12, 2020 10:04

    Naibu Spika wa Bunge la Russia (DUMA) amesema kuwa uamuzi uliochukuliwa na wawakilishi wa Kongresi ya Marekani wa kuiwekea vikwazo zaidi Iran na Russia unafanana na mienendo ya polisi mzungu aliyemuua kikatili raia mweusi wa nchi hiyo, George Floyd.

  • Russia: Washington itekeleze kivitendo maagizo yake kuhusu haki za binadamu

    Russia: Washington itekeleze kivitendo maagizo yake kuhusu haki za binadamu

    Jun 08, 2020 12:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeitaka Washington itekeleze kivitendo maagizo yake inayoyatoa kuhusu haki za binadamu. Russia imeyasema hayo ikiwa ni radiamali yake kwa siasa zinazotekelezwa na serikali ya Marekani katika kuyakandamiza vikali maandamano ya wananchi dhidi ya ubaguzi wa rangi wanaofanyiwa wananchi wa nchi hiyo.

  • Russia: Hadhi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inazidi kuporomoka

    Russia: Hadhi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inazidi kuporomoka

    Jun 06, 2020 02:56

    Serikali ya Russia imekosoa matamshi ya afisa mmoja wa Marekani aliyeitaka Moscow kuondoka eneo la Asia Magharibi na kuesema kuwa matamshi ya namna hiyo yasiyo ya weledi na yaliyotolewa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ni ishara ya kuporomoka kiwango cha hadhi ya wizara hiyo.

  • Majibu ya hapana ya Russia kwa ombi la Marekani la kuzungumza na magaidi wa Syria

    Majibu ya hapana ya Russia kwa ombi la Marekani la kuzungumza na magaidi wa Syria

    Feb 25, 2020 10:36

    Ushindi wa mfululizo wa jeshi la Syria na waitifaki wake katika mkoa wa Idlib umepokewa kwa hisia kali, si na Uturuki pekee na uvamizi wake wa kijeshi huko Syria, lakini pia Marekani nayo ambayo inaongoza muungano wa nchi za Magharibi na za Kiarabu wa eti kupambana na ugaidi nchini humo, imeitaka Russia ifanye mazungumzo na magaidi hao.

  • Safari ya Lavrov nchini Marekani, kuendelea tofauti kati ya Moscow na Washington

    Safari ya Lavrov nchini Marekani, kuendelea tofauti kati ya Moscow na Washington

    Dec 12, 2019 02:16

    Uhusiano wa Marekani na Russia hususan baada ya kuibuka mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, unashuhudia mivutano mingi ambapo Washington mbali na kukabiliana na Moscow katika uga wa masuala ya kiusalama, kijeshi na kisiasa pia imeiwekea mashinikizo makali Russia katika nyuga tofauti za kisiasa, kidiplomasia, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, mauzo ya silaha na nishati.

  • Russia: Vikwazo vimegeuka na kuwa wenzo wa kuzibana kisiasa nchi nyingine

    Russia: Vikwazo vimegeuka na kuwa wenzo wa kuzibana kisiasa nchi nyingine

    Nov 06, 2019 03:07

    Waziri Mkuu wa Russia Dmitry Medvedev, amekosoa vikali mienendo ya Marekani ya kutumia siasa za vikwazo dhidi ya nchi nyingine.

  • Ukosoaji mkali wa Waziri Mkuu wa Russia kwa siasa za kibeberu za Marekani

    Ukosoaji mkali wa Waziri Mkuu wa Russia kwa siasa za kibeberu za Marekani

    Oct 21, 2019 02:48

    Siasa za upande mmoja za Marekani ambazo zimeshika kasi katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, zimeshadidisha mizozo duniani.

  • Kujitoa Marekani katika mkataba wa INF; hatua mpya ya kuzidi kuvuruga uthabiti na amani ya dunia

    Kujitoa Marekani katika mkataba wa INF; hatua mpya ya kuzidi kuvuruga uthabiti na amani ya dunia

    Aug 03, 2019 07:39

    Tangu Donald Trump alipoingia madarakani na kushika hatamu za urais wa Marekani, ameamua kufuata muelekeo wa kudharau na kujitoa kwenye mikataba ya kimataifa ikiwemo ya silaha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS