Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia na Marekani

  • Ukosoaji mkali wa Waziri Mkuu wa Russia kwa siasa za kibeberu za Marekani

    Ukosoaji mkali wa Waziri Mkuu wa Russia kwa siasa za kibeberu za Marekani

    Oct 21, 2019 02:48

    Siasa za upande mmoja za Marekani ambazo zimeshika kasi katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, zimeshadidisha mizozo duniani.

  • Kujitoa Marekani katika mkataba wa INF; hatua mpya ya kuzidi kuvuruga uthabiti na amani ya dunia

    Kujitoa Marekani katika mkataba wa INF; hatua mpya ya kuzidi kuvuruga uthabiti na amani ya dunia

    Aug 03, 2019 07:39

    Tangu Donald Trump alipoingia madarakani na kushika hatamu za urais wa Marekani, ameamua kufuata muelekeo wa kudharau na kujitoa kwenye mikataba ya kimataifa ikiwemo ya silaha.

  • Russia yakosoa kitendo cha Marekani kukwamisha kupasishwa tamko la kulaani kubomolewa  nyumba za Wapalestina

    Russia yakosoa kitendo cha Marekani kukwamisha kupasishwa tamko la kulaani kubomolewa nyumba za Wapalestina

    Jul 30, 2019 10:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekitaja kitendo cha Marekani cha kuzuia kupasishwa taarifa inayolaani kubomolewa nyumba za raia wa Palestina katika mji wa Quds kuwa ni ishara nyingine ya upuuzaji wa Washington wa sheria za kimataifa.

  • Sergey Lavrov: Marekani chanzo kikuu cha migogoro Mashariki ya Kati

    Sergey Lavrov: Marekani chanzo kikuu cha migogoro Mashariki ya Kati

    Jul 18, 2019 02:27

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, Marekani ndio chanzo cha migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Safari ya Pompeo Russia: Jitihada zilizofeli za kupunguza hitilafu baina ya Washington na Moscow

    Safari ya Pompeo Russia: Jitihada zilizofeli za kupunguza hitilafu baina ya Washington na Moscow

    May 16, 2019 02:34

    Uhusiano wa Marekani na Russia katika zama za baada ya vita baridi umekumbwa na pandashuka nyingi sana. Pamoja na hayo mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, na baada ya hapo, yaani katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, uhusiano wa Moscow na Washington umechukua mkondo wa kuzorota na hali imekuwa mbaya zaidi baada ya Marekani kuiwekea Russia vikwazo.

  • Malalamiko ya Moscow kuhusu kuingilia Marekani masuala ya ndani ya Russia

    Malalamiko ya Moscow kuhusu kuingilia Marekani masuala ya ndani ya Russia

    Oct 30, 2018 06:32

    Uhusiano wa Russia na Marekani uko katika hali mbaya zaidi hivi sasa ikilinganishwa na kipindi chote cha baada ya vita baridi. Marekani inatuhumiwa kufanya njama kubwa za kuingilia masuala ya ndani ya Russia. Mwaka 2016 pia, Washington iliamua kuiwekea vikwazo nchi hiyo kwa madai kuwa Moscow iliingilia uchaguzi wa rais wa Marekani.

  • Sisitizo la Rais wa Russia la kupinga utumiaji mabavu na uchukuaji hatua za upande mmoja katika uga wa kimataifa

    Sisitizo la Rais wa Russia la kupinga utumiaji mabavu na uchukuaji hatua za upande mmoja katika uga wa kimataifa

    Oct 13, 2018 07:41

    Sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani zimeifanya nchi hiyo iendelee kutengwa duniani. Katika kutekeleza kaulimbiu yake ya "Marekani Kwanza", Trump, mbali na kuyapa kipaumbele cha kwanza maslahi na malengo ya Marekani, tab'an bila kujali nafasi za nchi zingine, anaitakidi kuwa siasa na sera za ubinafsi na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja zitaongeza nguvu za Marekani na kuiwezesha kuwashinda washindani wake.

  • Onyo la Waziri wa Ulinzi wa Marekani kwa Russia juu ya kukiuka mkataba wa makombora

    Onyo la Waziri wa Ulinzi wa Marekani kwa Russia juu ya kukiuka mkataba wa makombora

    Oct 06, 2018 08:22

    Moja kati ya masuala muhimu katika mivutano iliyopo kati ya Marekani na Russia ni mjadala unaohusiana na mkataba wa silaha. Moscow na Washington zina tofauti kubwa katika uwanja wa mkataba wa makombora ya wastani kwa kifupi INF.

  • Vitisho visivyo na kifani vya Marekani dhidi ya Russia

    Vitisho visivyo na kifani vya Marekani dhidi ya Russia

    Oct 04, 2018 06:53

    Uhusiano wa Russia na Marekani umekuwa wa mivutano na migogoro ya mara kwa mara katika miaka ya hivi kaibuni. Maslahi yanayongongana ya madola hayo mawili makubwa katika nyanja za kiuchumi, kijeshi, kiusalama na sekta ya nishati yamewafanya Wamarekani waitambue Russia kuwa ni adui mkubwa zaidi wa serikali ya Washington katika masuala ya kijeshi na kiusalama na tishio nambari moja la nyuklia kwa Marekani.

  • Kushindwa siasa za Marekani duniani

    Kushindwa siasa za Marekani duniani

    Sep 25, 2018 02:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ameiambia televisheni ya CNN kwamba serikali ya Donald Trump imefeli na kushindwa katika jitihada zake za kuboresha uhusiano wa Marekani na Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS