Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia na Marekani

  • Russia yakosoa kitendo cha Marekani kukwamisha kupasishwa tamko la kulaani kubomolewa  nyumba za Wapalestina

    Russia yakosoa kitendo cha Marekani kukwamisha kupasishwa tamko la kulaani kubomolewa nyumba za Wapalestina

    Jul 30, 2019 10:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekitaja kitendo cha Marekani cha kuzuia kupasishwa taarifa inayolaani kubomolewa nyumba za raia wa Palestina katika mji wa Quds kuwa ni ishara nyingine ya upuuzaji wa Washington wa sheria za kimataifa.

  • Sergey Lavrov: Marekani chanzo kikuu cha migogoro Mashariki ya Kati

    Sergey Lavrov: Marekani chanzo kikuu cha migogoro Mashariki ya Kati

    Jul 18, 2019 02:27

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, Marekani ndio chanzo cha migogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Safari ya Pompeo Russia: Jitihada zilizofeli za kupunguza hitilafu baina ya Washington na Moscow

    Safari ya Pompeo Russia: Jitihada zilizofeli za kupunguza hitilafu baina ya Washington na Moscow

    May 16, 2019 02:34

    Uhusiano wa Marekani na Russia katika zama za baada ya vita baridi umekumbwa na pandashuka nyingi sana. Pamoja na hayo mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, na baada ya hapo, yaani katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, uhusiano wa Moscow na Washington umechukua mkondo wa kuzorota na hali imekuwa mbaya zaidi baada ya Marekani kuiwekea Russia vikwazo.

  • Malalamiko ya Moscow kuhusu kuingilia Marekani masuala ya ndani ya Russia

    Malalamiko ya Moscow kuhusu kuingilia Marekani masuala ya ndani ya Russia

    Oct 30, 2018 06:32

    Uhusiano wa Russia na Marekani uko katika hali mbaya zaidi hivi sasa ikilinganishwa na kipindi chote cha baada ya vita baridi. Marekani inatuhumiwa kufanya njama kubwa za kuingilia masuala ya ndani ya Russia. Mwaka 2016 pia, Washington iliamua kuiwekea vikwazo nchi hiyo kwa madai kuwa Moscow iliingilia uchaguzi wa rais wa Marekani.

  • Sisitizo la Rais wa Russia la kupinga utumiaji mabavu na uchukuaji hatua za upande mmoja katika uga wa kimataifa

    Sisitizo la Rais wa Russia la kupinga utumiaji mabavu na uchukuaji hatua za upande mmoja katika uga wa kimataifa

    Oct 13, 2018 07:41

    Sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani zimeifanya nchi hiyo iendelee kutengwa duniani. Katika kutekeleza kaulimbiu yake ya "Marekani Kwanza", Trump, mbali na kuyapa kipaumbele cha kwanza maslahi na malengo ya Marekani, tab'an bila kujali nafasi za nchi zingine, anaitakidi kuwa siasa na sera za ubinafsi na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja zitaongeza nguvu za Marekani na kuiwezesha kuwashinda washindani wake.

  • Onyo la Waziri wa Ulinzi wa Marekani kwa Russia juu ya kukiuka mkataba wa makombora

    Onyo la Waziri wa Ulinzi wa Marekani kwa Russia juu ya kukiuka mkataba wa makombora

    Oct 06, 2018 08:22

    Moja kati ya masuala muhimu katika mivutano iliyopo kati ya Marekani na Russia ni mjadala unaohusiana na mkataba wa silaha. Moscow na Washington zina tofauti kubwa katika uwanja wa mkataba wa makombora ya wastani kwa kifupi INF.

  • Vitisho visivyo na kifani vya Marekani dhidi ya Russia

    Vitisho visivyo na kifani vya Marekani dhidi ya Russia

    Oct 04, 2018 06:53

    Uhusiano wa Russia na Marekani umekuwa wa mivutano na migogoro ya mara kwa mara katika miaka ya hivi kaibuni. Maslahi yanayongongana ya madola hayo mawili makubwa katika nyanja za kiuchumi, kijeshi, kiusalama na sekta ya nishati yamewafanya Wamarekani waitambue Russia kuwa ni adui mkubwa zaidi wa serikali ya Washington katika masuala ya kijeshi na kiusalama na tishio nambari moja la nyuklia kwa Marekani.

  • Kushindwa siasa za Marekani duniani

    Kushindwa siasa za Marekani duniani

    Sep 25, 2018 02:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ameiambia televisheni ya CNN kwamba serikali ya Donald Trump imefeli na kushindwa katika jitihada zake za kuboresha uhusiano wa Marekani na Russia.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa vikali muamala wa Marekani dhidi ya Iran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa vikali muamala wa Marekani dhidi ya Iran

    Sep 05, 2018 07:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amekosoa vikali sera za upande mmoja zinazotekelezwa na Marekani na kueleza kwamba muamala wa Washington dhidi ya Iran si wa kitaalamu wala hauendani na uhalisia wa mambo.

  • Radiamali ya Russia kwa njama mpya za Marekani dhidi ya Syria

    Radiamali ya Russia kwa njama mpya za Marekani dhidi ya Syria

    Aug 29, 2018 04:35

    Russia imeonya kuhusu taathira za njama na hatua zozote za kijeshi zitakazochukuliwa na Marekani na waitifaki wake dhidi ya Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS