Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia na Marekani

  • Russia yaionya Marekani kuhusiana na chokochoko ya aina yoyote nchini Syria

    Russia yaionya Marekani kuhusiana na chokochoko ya aina yoyote nchini Syria

    Aug 25, 2018 14:23

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imeionya Marekani kuhusiana na chokochoko ya aina yoyote ile nchini Syria.

  • Russia: Marekani ifunge kambi yake ya kijeshi ya Al-Tanf, Syria na iondoke

    Russia: Marekani ifunge kambi yake ya kijeshi ya Al-Tanf, Syria na iondoke

    Aug 03, 2018 03:50

    Kamanda wa kamandi kuu ya jeshi la Russia, ameitaka Marekani kufunga kambi yake ya kijeshi eneo la Al-Tanf, nchini Syria.

  • Moscow: Operesheni za Marekani huko Syria ni kinyume cha sheria

    Moscow: Operesheni za Marekani huko Syria ni kinyume cha sheria

    Jul 25, 2018 13:47

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesisitiza kuwa wanajeshi wa Marekani hawana haki yoyote ya kisheria ya kuendesha oparesheni zaidi huko Syria.

  • Balozi wa Marekani Russia: Kuna njia ndefu kabla ya kukutana Trump na Rais Putin

    Balozi wa Marekani Russia: Kuna njia ndefu kabla ya kukutana Trump na Rais Putin

    Jun 04, 2018 06:31

    Balozi wa Marekani nchini Russia amesema kuwa kuna njia ndefu sana kabla ya Marais Vladmir Putin wa Russia na Donald Trump wa Marekani kuweza kukutana.

  • Russia: Baada ya kujiondoa JCPOA, Marekani haina haki yoyote kuhusiana na makubaliano hayo

    Russia: Baada ya kujiondoa JCPOA, Marekani haina haki yoyote kuhusiana na makubaliano hayo

    May 26, 2018 07:17

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesisitiza kwamba kitendo cha Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), kimeiondolea nchi hiyo haki yoyote kuhusiana na makubaliano hayo.

  • Russia: Marekani imekiuka mkataba wa udhibiti wa makombora

    Russia: Marekani imekiuka mkataba wa udhibiti wa makombora

    May 21, 2018 14:32

    Mkuu wa idara ya kufuatilia utekelezwaji wa mikataba ya Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, hadi sasa Marekani imekiuka mkataba wa kudhibiti makombora uliowekwa kati ya Washington na Moscow, hasa baada ya Marekani kuunda makombora mapya ya balestiki ya masafa ya kilometa 500 hadi 5000.

  • Kremlin yajibu Twitter ya Trump: Makombora erevu yanapaswa kuelekezwa kwa magaidi, si kwa serikali halali

    Kremlin yajibu Twitter ya Trump: Makombora erevu yanapaswa kuelekezwa kwa magaidi, si kwa serikali halali

    Apr 12, 2018 14:55

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin amesema Moscow Russia haishiriki katika udiplomasia wa Twitter.

  • Russia yaionya vikali Marekani kuhusu kushambulia tena Syria, yasema itajibu

    Russia yaionya vikali Marekani kuhusu kushambulia tena Syria, yasema itajibu

    Mar 13, 2018 15:52

    Maafisa wa ngazi za juu wa Russia wameionya vikali Marekani kuwa isithubutu kuishambulia upya Syria kwani matokeo ya chokochoko kama hivyo yatakabiliwa na jibu kali la Russia.

  • Russia: Tuko tayari kukabiliana na hatua za Marekani za kuzusha mivutano huko Syria

    Russia: Tuko tayari kukabiliana na hatua za Marekani za kuzusha mivutano huko Syria

    Jan 16, 2018 04:36

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ulinzi katika Bunge la Russia (Duma) amesema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na hatua za Marekani na kuzusha mivutano huko Syria.

  • Mtazamo wa Warussia waliowengi: Marekani ni adui nambari moja wa Russia

    Mtazamo wa Warussia waliowengi: Marekani ni adui nambari moja wa Russia

    Jan 11, 2018 16:20

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na kituo kimoja cha umma nchini Russia yanaonyesha kuwa akthari ya Warussia wanaamini kuwa Marekani ndiye adui yao nambari moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS