May 21, 2018 14:32
Mkuu wa idara ya kufuatilia utekelezwaji wa mikataba ya Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, hadi sasa Marekani imekiuka mkataba wa kudhibiti makombora uliowekwa kati ya Washington na Moscow, hasa baada ya Marekani kuunda makombora mapya ya balestiki ya masafa ya kilometa 500 hadi 5000.