Jun 05, 2017 04:23
Katika kile kinachoonekana wazi ni kuzidi kuongezeka mzozo baina ya Marekani na Russia, mkuu wa zamani wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA amesema kuwa, Russia ina mikakati ya muda mrefu ya kujipenyeza katika safu za viongozi wa Marekani kwa ajili ya kuwadhibiti.