-
Rwanda yafunga mpaka wake na Congo DR kwa kuhofia virusi vya Ebola
Aug 01, 2019 12:48Serikali ya Rwanda imefunga mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kugunduliwa kesi ya tatu ya muathirika wa virusi vya ugonjwa wa Ebola katika mji wa mpakani wa Goma.
-
SAUTI, Rwanda yaitaka Uganda itoe maelezo ya kina, kwa nini raia wake 40 waliokuwa kanisani walikamatwa na kuteswa
Jul 26, 2019 15:12Wiki mbili baada ya nchi za Angola na Jamhuri ya Kidemokarsia ya kongo kutangaza kuwa wapatanishi katika mzozo unaoendelea kufukuta kati ya nchi za Uganda na Rwanda, serikali Kampala, imewatia mbaroni zaidi ya raia 40 wa Rwanda kwa tuhuma za kufanya ujasusi.
-
Rwanda haijakanusha wala kuthibitisha taarifa za kuingia Ebola nchini humo + Sauti
Jul 19, 2019 06:04Serikali ya Rwanda haijathibitisha wala kukanusha taarifa kuhusu mwanamke mmja raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyefariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola wiki iliyopiwa alikuwa ameingia Rwanda kabla ya kuelekea Uganda au la. Sylvanus Karemera na maelezo zaidi kutoka Kigali...
-
WHO: Yumkini ugonjwa hatari wa Ebola umesambaa hadi nchini Rwanda
Jul 18, 2019 12:01Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mwanamke raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeaga dunia mapema mwezi huu kutokana na homa hatari ya Ebola aliingia nchini Rwanda akiwa ameathiriwa na ugonjwa huo na huenda alisambaza virusi hivyo nchini humo kabla ya kuelekea nchini Uganda alikofia.
-
Polisi wawashikilia watuhumiwa 10 utekaji watu Rwanda + Sauti
Jun 27, 2019 08:59Polisi mjini Kigali Rwanda inawashikilia watu kumi na saba wakiwemo Wanyarwanda 15 na Wakenya wawili kwa shutuma za kuwatapeli vijana zaidi ya elfu tatu wakiwaahidi ajira hewa za ujasiriamali. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi...
-
Rwanda yaitaka Burundi iwashughulike wahalifu 6,000 wa mauaji ya kimbari
Jun 07, 2019 08:08Mwendesha mashtaka mkuu wa Rwanda Jean Mutangana ametoa wito kwa nchi jirani ya Burundi kushughulikia watu ambao amedai walihusika na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda dhidi ya Watutsi.
-
SAUTI, Serikali ya Rwanda imepitisha muswada wa sheria inayofuta sheria zote zilizotungwa wakoloni
Jun 06, 2019 17:11Bunge nchini Rwanda limepitisha muswada wa sheria ambao unalenga kufuta sheria zote zilizotungwa kabla na wakati wa ukoloni.
-
SAUTI, Rais Paul Kagame wa Rwanda: Wale wanaokusudia kuchafua amani yetu tutawanasa popote walipo duniani, ni muda tu
May 09, 2019 04:53Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema kuwa, wale wote wanaokusudia kuchafua usalama na amani ya Rwanda watanaswa na serikali ya Kigali popote pale walipo duniani.
-
Wanamgambo kadhaa wa Rwanda wakamatwa nchini Burundi
May 01, 2019 07:53Serikali ya Burundi imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanamgambo saba wa Rwanda na kisha kuwakabidhi kwa serikali ya Kigali.
-
Rwanda yamkamata kinara wa kundi la waasi la NFL
May 01, 2019 02:35Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa imemkamata mtu anayejitaja kuwa mkuu wa kundi la waasi la National Liberation Force (NLF)