-
New Zealand, nchi ya kwanza kuikabidhi Rwanda nyaraka za mauaji ya kimbari
Apr 21, 2019 02:41New Zealand imekuwa nchi ya kwanza duniani kuikabidhi Rwanda nyaraka zinazohusiana na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994.
-
Rwanda yawaenzi waliouawa katika mauaji ya kimbari robo karne iliyopita
Apr 07, 2019 15:00Wananchi wa Rwanda leo wamekusanyika kuwaenzi Watutsi 800,000 na Wahutu wenye misimamo ya wastani waliouawa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda yaliyojiri katika kipindi cha miezi mitatu miaka 25 iliyopita.
-
Rais wa Ufaransa atoa amri ya kuchunguzwa nafasi ya Paris katika mauaji ya halaiki nchini Rwanda
Apr 07, 2019 02:27Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameipatia kamisheni moja ya nchi hiyo jukumu la kufuatilia iwapo Paris ilikuwa na nafasi katika mauaji ya halaiki ya muongo wa 90 nchini Rwanda au la.
-
Mahakama Kuu ya Rwanda yatoa hukumu ya kifungo jela kwa washtakiwa 15 wa ugaidi
Mar 23, 2019 07:40Mahakama Kuu ya Rwanda imewahukumu watu 13 kifungo cha miaka mitano jela na wengine wawili kifungo cha miaka kumi kila mmoja baada ya kuwapata na hatia ya kuwa wanachama wa makundi yenye misimamo ya kufurutu mpaka ya Al Shabaab na Daesh (ISIS) pamoja na kuyasaidia na kuyaunga mkono makundi hayo.
-
Usalama wa chakula nchini Rwanda hatarini+SAUTI
Feb 21, 2019 16:38Wizara ya Kilimo nchini Rwanda imesema ndani ya kipindi cha miaka miwili iliyopita eneo la ardhi kwa ajili ya kilimo lilipungua kutokana na kasi ya ujenzi wa makazi ya raia.
-
Kagame: Hata kama Rwanda isingekuwepo, Burundi ingelikuwa na matatizo tu
Feb 21, 2019 15:37Rais Paul Kagame wa Rwanda amevunja kimya chake na kuzungumzia uhasama wa miaka kadhaa sasa kati ya nchi yake na Burundi, huku akisisitiza kuwa mvutano huo sio mkubwa kiasi ambacho serikali ya Bujumbura inataka uonekane.
-
SAUTI, Serikali za Kiafrika zimetakiwa kuacha kutoa maneno matupu bali zifanye vitendo kulinda mazingira
Feb 15, 2019 16:37Serikali za mataifa mbalimbali ya Afrika zimetakiwa kutenga kiasi kikubwa cha fedha kwenye bajeti zao, ili kukomesha tatizo la uharibifu wa mazingira ambalo linaendelea kuongezeka barani humo.
-
Taarifa: Ufaransa ilifahamu njama za mauaji ya kimbari Rwanda
Feb 07, 2019 22:38Shirika la Ujasusi la Ufaransa DGSE lilikuwa na taarifa za kiitelijensia kuhusu njama ya mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, yaliyopelekea kuanza kwa mauaji ya kimbari nchini humo mwaka 1994.
-
Jeshi la Rwanda laua wapiganaji wanne wa kundi la FDRL
Dec 11, 2018 08:12Jeshi la Rwanda limesema askari wake wamekabiliana vikali na wapiganaji wa kundi la waasi wa FDLR waliojipenyeza nchini humo wakitokea katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kiongozi wa upinzani Rwanda: Mashinikizo hayataninyamazisha
Dec 05, 2018 16:29Mwanasiasa wa upinzani na mkosoaji mashuhuri wa Rais Paul Kagame wa Rwanda Diane Shima Rwigara amesema katu hatasalimu amri mbele ya mashinikizo na vitisho dhidi yake.