-
Wanamgambo kadhaa wa Rwanda wakamatwa nchini Burundi
May 01, 2019 03:23Serikali ya Burundi imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanamgambo saba wa Rwanda na kisha kuwakabidhi kwa serikali ya Kigali.
-
Rwanda yamkamata kinara wa kundi la waasi la NFL
Apr 30, 2019 22:05Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa imemkamata mtu anayejitaja kuwa mkuu wa kundi la waasi la National Liberation Force (NLF)
-
New Zealand, nchi ya kwanza kuikabidhi Rwanda nyaraka za mauaji ya kimbari
Apr 20, 2019 22:11New Zealand imekuwa nchi ya kwanza duniani kuikabidhi Rwanda nyaraka zinazohusiana na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994.
-
Rwanda yawaenzi waliouawa katika mauaji ya kimbari robo karne iliyopita
Apr 07, 2019 10:30Wananchi wa Rwanda leo wamekusanyika kuwaenzi Watutsi 800,000 na Wahutu wenye misimamo ya wastani waliouawa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda yaliyojiri katika kipindi cha miezi mitatu miaka 25 iliyopita.
-
Rais wa Ufaransa atoa amri ya kuchunguzwa nafasi ya Paris katika mauaji ya halaiki nchini Rwanda
Apr 06, 2019 21:57Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameipatia kamisheni moja ya nchi hiyo jukumu la kufuatilia iwapo Paris ilikuwa na nafasi katika mauaji ya halaiki ya muongo wa 90 nchini Rwanda au la.
-
Mahakama Kuu ya Rwanda yatoa hukumu ya kifungo jela kwa washtakiwa 15 wa ugaidi
Mar 23, 2019 03:10Mahakama Kuu ya Rwanda imewahukumu watu 13 kifungo cha miaka mitano jela na wengine wawili kifungo cha miaka kumi kila mmoja baada ya kuwapata na hatia ya kuwa wanachama wa makundi yenye misimamo ya kufurutu mpaka ya Al Shabaab na Daesh (ISIS) pamoja na kuyasaidia na kuyaunga mkono makundi hayo.
-
Usalama wa chakula nchini Rwanda hatarini+SAUTI
Feb 21, 2019 13:08Wizara ya Kilimo nchini Rwanda imesema ndani ya kipindi cha miaka miwili iliyopita eneo la ardhi kwa ajili ya kilimo lilipungua kutokana na kasi ya ujenzi wa makazi ya raia.
-
Kagame: Hata kama Rwanda isingekuwepo, Burundi ingelikuwa na matatizo tu
Feb 21, 2019 12:07Rais Paul Kagame wa Rwanda amevunja kimya chake na kuzungumzia uhasama wa miaka kadhaa sasa kati ya nchi yake na Burundi, huku akisisitiza kuwa mvutano huo sio mkubwa kiasi ambacho serikali ya Bujumbura inataka uonekane.
-
SAUTI, Serikali za Kiafrika zimetakiwa kuacha kutoa maneno matupu bali zifanye vitendo kulinda mazingira
Feb 15, 2019 13:07Serikali za mataifa mbalimbali ya Afrika zimetakiwa kutenga kiasi kikubwa cha fedha kwenye bajeti zao, ili kukomesha tatizo la uharibifu wa mazingira ambalo linaendelea kuongezeka barani humo.
-
Taarifa: Ufaransa ilifahamu njama za mauaji ya kimbari Rwanda
Feb 07, 2019 19:08Shirika la Ujasusi la Ufaransa DGSE lilikuwa na taarifa za kiitelijensia kuhusu njama ya mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, yaliyopelekea kuanza kwa mauaji ya kimbari nchini humo mwaka 1994.