Usalama wa chakula nchini Rwanda hatarini+SAUTI
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i51710-usalama_wa_chakula_nchini_rwanda_hatarini_sauti
Wizara ya Kilimo nchini Rwanda imesema ndani ya kipindi cha miaka miwili iliyopita eneo la ardhi kwa ajili ya kilimo lilipungua kutokana na kasi ya ujenzi wa makazi ya raia.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Feb 21, 2019 13:08 UTC

Wizara ya Kilimo nchini Rwanda imesema ndani ya kipindi cha miaka miwili iliyopita eneo la ardhi kwa ajili ya kilimo lilipungua kutokana na kasi ya ujenzi wa makazi ya raia.

Hali hii imewafanya wananchi kuwa na wasiwasi kuhusu mustakabali wa usalama wa chakula nchini humo.

Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera ana maelezo zaidi.…..