-
WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC
Nov 30, 2018 04:33Hatari wa kuenea ugonjwa habari wa Ebola imeongezeka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi zinazopakana nayo baada ya kesi nyingine 36 kugunduliwa karibu na mpaka wa nchi hiyo katika wiki iliyomalizikia kwenye Novemba 29.
-
Rwanda yasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran
Nov 15, 2018 03:32Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Richard Sezibera amepongeza uhusiano mzuri wa pande mbili kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitizia umuhimu wa kupanuliwa uhusiano huo katika nyuga mbalimbali.
-
Bunge la Afrika lamaliza vikao vyake nchini Rwanda + Sauti
Nov 06, 2018 06:58Bunge la Afrika limekamilisha vikao vyake vya wiki mbili mjini Kigali Rwanda kwa kuanzisha tunzo maalumu ya uongozi bora barani Afrika kwa hisani ya hayati Kofi Annan, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa. Mwandishi wetu Sylvanus Karemera na ripoti zaidi...
-
Vyombo vya habari vyafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda
Oct 26, 2018 08:15Vyombo vya habari vimefichua picha za video zinazoonesha waziwazi nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari yaliyofanyika Rwanda mwaka 1994.
-
Vikao vya Bunge la Afrika vyaanza mjini Kigali Rwanda + Sauti
Oct 22, 2018 17:02Bunge la Afrika limefungua kikao chake cha wiki mbili mjini Kigali Rwanda ambapo kwa muda wa wiki mbili wabunge wake watajadili mambo kadhaa kuhusu demokrasia,uongozi bora na kurahisisha mafungamano ya biashara baina ya waafrika wenyewe. Ni kikao kilichofunguliwa na Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.
-
SAUTI, Waliohusika na mauaji ya kimbari ya 1994 nchini Rwanda sasa kuanza kusakwa kwa udi na uvumba
Oct 16, 2018 18:03Bunge la Rwanda limeanzisha zoezi la kuihoji tume ya taifa ya nchi hiyo inayoshughulikia faili la mauaji ya kimbari ya 1994, juu ya idadi kubwa ya watu waliokutikana na hatia ya mauaji hayo na kukwepa mkono wa sheria.
-
Ubelgiji yakubali kuirejeshea Rwanda sehemu ya utajiri wake wa kihistoria + Sauti
Oct 16, 2018 03:01Kwa mara ya kwanza Ubelgiji imekubali kuirejeshea Rwanda baadhi ya nyaraka na turadhi za kihistoria za kabla, wakati na baada ya ukoloni. Ubelgiji ni moja ya madola ya Ulaya yaliyozikoloni kidhulma nchi za Afrika na kupora utajiri mkubwa wa nchi za bara hilo. Mwandishi wetu Sylvanus Karemera na ripoti zaidi
-
SAUTI, Serikali ya Rwanda kwa kushirikiana na UNHCR zimeanza kuwapatia wakimbizi vibali vya kusafiria nje ya nchi
Oct 11, 2018 16:14Kwa mara ya kwanza serikali ya Rwanda imeanza kutoa vibali vya kusafiria 'pasipoti' kwa wakimbizi wote walioko nchi hiyo.
-
Chama cha FDU-Inkingi nchini Rwanda chakataa taarifa ya serikali kuwa kiongozi wa chama hicho ametoroka jela
Oct 09, 2018 16:30Chama cha upinzani cha FDU-Inkingi nchini Rwanda kimepinga taarifa ya serikali kwamba, kiongozi namba mbili wa chama hicho, Boniface Twagirimana, alitoroka jela kwa kuruka ukuta.
-
Mkosoaji mkubwa wa Rais Kagame wa Rwanda, Diane Rwigara aachiwa huru
Oct 05, 2018 15:24Vyombo vya Mahakama nchini Rwanda vimemuachia huru kwa dhamana mwanasiasa wa upinzani na mkosoaji mashuhuri wa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo Diane Rwigara, ingawaje kwa masharti.