Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Jeshi la Rwanda laua wapiganaji wanne wa kundi la FDRL

    Jeshi la Rwanda laua wapiganaji wanne wa kundi la FDRL

    Dec 11, 2018 04:42

    Jeshi la Rwanda limesema askari wake wamekabiliana vikali na wapiganaji wa kundi la waasi wa FDLR waliojipenyeza nchini humo wakitokea katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kiongozi wa upinzani Rwanda: Mashinikizo hayataninyamazisha

    Kiongozi wa upinzani Rwanda: Mashinikizo hayataninyamazisha

    Dec 05, 2018 12:59

    Mwanasiasa wa upinzani na mkosoaji mashuhuri wa Rais Paul Kagame wa Rwanda Diane Shima Rwigara amesema katu hatasalimu amri mbele ya mashinikizo na vitisho dhidi yake.

  • WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    Nov 30, 2018 01:03

    Hatari wa kuenea ugonjwa habari wa Ebola imeongezeka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi zinazopakana nayo baada ya kesi nyingine 36 kugunduliwa karibu na mpaka wa nchi hiyo katika wiki iliyomalizikia kwenye Novemba 29.

  • Rwanda yasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Rwanda yasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Nov 15, 2018 00:02

    Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Richard Sezibera amepongeza uhusiano mzuri wa pande mbili kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitizia umuhimu wa kupanuliwa uhusiano huo katika nyuga mbalimbali.

  • Bunge la Afrika lamaliza vikao vyake nchini Rwanda + Sauti

    Bunge la Afrika lamaliza vikao vyake nchini Rwanda + Sauti

    Nov 06, 2018 03:28

    Bunge la Afrika limekamilisha vikao vyake vya wiki mbili mjini Kigali Rwanda kwa kuanzisha tunzo maalumu ya uongozi bora barani Afrika kwa hisani ya hayati Kofi Annan, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa. Mwandishi wetu Sylvanus Karemera na ripoti zaidi...

  • Vyombo vya habari vyafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Vyombo vya habari vyafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Oct 26, 2018 04:45

    Vyombo vya habari vimefichua picha za video zinazoonesha waziwazi nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari yaliyofanyika Rwanda mwaka 1994.

  • Vikao vya Bunge la Afrika vyaanza mjini Kigali Rwanda + Sauti

    Vikao vya Bunge la Afrika vyaanza mjini Kigali Rwanda + Sauti

    Oct 22, 2018 13:32

    Bunge la Afrika limefungua kikao chake cha wiki mbili mjini Kigali Rwanda ambapo kwa muda wa wiki mbili wabunge wake watajadili mambo kadhaa kuhusu demokrasia,uongozi bora na kurahisisha mafungamano ya biashara baina ya waafrika wenyewe. Ni kikao kilichofunguliwa na Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.

  • SAUTI, Waliohusika na mauaji ya kimbari ya 1994 nchini Rwanda sasa kuanza kusakwa kwa udi na uvumba

    SAUTI, Waliohusika na mauaji ya kimbari ya 1994 nchini Rwanda sasa kuanza kusakwa kwa udi na uvumba

    Oct 16, 2018 14:33

    Bunge la Rwanda limeanzisha zoezi la kuihoji tume ya taifa ya nchi hiyo inayoshughulikia faili la mauaji ya kimbari ya 1994, juu ya idadi kubwa ya watu waliokutikana na hatia ya mauaji hayo na kukwepa mkono wa sheria.

  • Ubelgiji yakubali kuirejeshea Rwanda sehemu ya utajiri wake wa kihistoria + Sauti

    Ubelgiji yakubali kuirejeshea Rwanda sehemu ya utajiri wake wa kihistoria + Sauti

    Oct 15, 2018 23:31

    Kwa mara ya kwanza Ubelgiji imekubali kuirejeshea Rwanda baadhi ya nyaraka na turadhi za kihistoria za kabla, wakati na baada ya ukoloni. Ubelgiji ni moja ya madola ya Ulaya yaliyozikoloni kidhulma nchi za Afrika na kupora utajiri mkubwa wa nchi za bara hilo. Mwandishi wetu Sylvanus Karemera na ripoti zaidi

  • SAUTI, Serikali ya Rwanda kwa kushirikiana na UNHCR zimeanza kuwapatia wakimbizi vibali vya kusafiria nje ya nchi

    SAUTI, Serikali ya Rwanda kwa kushirikiana na UNHCR zimeanza kuwapatia wakimbizi vibali vya kusafiria nje ya nchi

    Oct 11, 2018 12:44

    Kwa mara ya kwanza serikali ya Rwanda imeanza kutoa vibali vya kusafiria 'pasipoti' kwa wakimbizi wote walioko nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS