Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Kongo yapiga marufuku ndege kutoka Rwanda

    Kongo yapiga marufuku ndege kutoka Rwanda

    Feb 13, 2025 02:52

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imefunga anga yake kwa ndege zote za kiraia na za serikali zilizosajiliwa au zile makazi yake nchini Rwanda.

  • Mgonjwa 'wa mwisho' wa Marburg Rwanda aruhusiwa kuondoka hospitalini

    Mgonjwa 'wa mwisho' wa Marburg Rwanda aruhusiwa kuondoka hospitalini

    Nov 10, 2024 06:51

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema zaidi ya mwezi mmoja baada ya Rwanda kutangaza mripuko wa ugonjwa wa virusi vya Marburg, hatimaye mamlaka ya afya katika nchi hiyo ya Kiafrika imemruhusu mgonjwa wa mwisho kuondoka hospitalini.

  • Rwanda yazindua kampeni ya chanjo ya Marburg

    Rwanda yazindua kampeni ya chanjo ya Marburg

    Oct 07, 2024 02:20

    Rwanda imeanza kutoa dozi za chanjo ya virusi vya Marburg ili kujaribu kudhibiti mripuko wa ugonjwa huo unaofanana na Ebola katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • WHO kuisaidia Rwanda kukabiliana na mripuko wa kwanza wa Marburg

    WHO kuisaidia Rwanda kukabiliana na mripuko wa kwanza wa Marburg

    Sep 30, 2024 02:25

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Rwanda katika kupambana na mripuko wa kwanza wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg (MVD).

  • Rais wa Kongo ataka Rwanda iwekewe vikwazo kwa hatua yake ya kuwaunga mkono waasi wa M23

    Rais wa Kongo ataka Rwanda iwekewe vikwazo kwa hatua yake ya kuwaunga mkono waasi wa M23

    Sep 26, 2024 11:28

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameitaka jamii ya kimataifa kuiwekea Rwanda vikwazo kwa tuhuma za kuliunga mkono kundi la waasi la M23.

  • Rais Kagame ahifadhi kiti chake, ashinda uchaguzi kwa 99%

    Rais Kagame ahifadhi kiti chake, ashinda uchaguzi kwa 99%

    Jul 16, 2024 07:20

    Matokeo ya awali ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Rwanda (NEC) yanaonyesha kuwa, Rais Paul Kagame yuko kifua mbele kwa kuzoa asilimia 99.15 ya kura zilizopigwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana Jumatatu.

  • DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda

    DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda

    Jul 14, 2024 06:48

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) huenda kikalazimika kuakhirisha mpango wa kuwaondoa wanajeshi wake katika mkoa unaokumbwa na vita wa Kivu Kaskazini kutokana na kuwepo kwa askari wa Rwanda mashariki mwa DRC.

  • Rwanda: Tumezingatia nia ya Uingereza ya kusitisha mpango tata wa uhamiaji

    Rwanda: Tumezingatia nia ya Uingereza ya kusitisha mpango tata wa uhamiaji

    Jul 09, 2024 07:35

    Rwanda jana ilisema kuwa imetilia maanani nia ya serikali ya Uingereza ya kusimamisha mpango tata wa uhamiaji ambao ulisainiwa na nchi mbili hizo kwa lengo la kuwazuia wahamiaji haramu kuingia Uingereza kupitia mfereji wa maji unaozitenganisha nchi mbili za Uingereza na Ufaransa kwa kutumia boti ndogo za usafiri.

  • Ripoti ya UN: Wanajeshi wa Rwanda wanapigana pamoja na waasi wa M23 huko Kongo

    Ripoti ya UN: Wanajeshi wa Rwanda wanapigana pamoja na waasi wa M23 huko Kongo

    Jul 09, 2024 02:26

    Ripoti ya karibuni iya Umoja wa Mataifa imefichua kuwa kati ya wanajeshi 3,000 hadi 4,000 wa Rwanda wanapigana bega kwa bega na waasi wa kundi la M23 huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huku Kigali ikiongoza pakubwa oparesheni za kundi hilo.

  • Rwanda yachapisha orodha ya mwisho ya wagombea 3 wa urais na zaidi ya wagombea 500 wa ubunge

    Rwanda yachapisha orodha ya mwisho ya wagombea 3 wa urais na zaidi ya wagombea 500 wa ubunge

    Jun 16, 2024 06:11

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda imetangtaza orodha ya mwisho ya wagombeaji wa uchaguzi wa rais na wabunge uliopangwa kufanyika mwezi ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS