-
UNHCR: Sera ya Uingereza ya kuhamishia watafuta hifadhi Rwanda si sahihi
Jun 14, 2022 07:57Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR Filippo Grandi, ametupilia mbali uamuzi wa serikali ya Uingereza wa kuwahamishia Rwanda watafuta hifadhi wanaokwenda nchini humo huku akisema makubaliano hayo ya kando kati ya nchi mbili hizo ni makosa.
-
UN yajitenga na mpango wa kuwahamishia wakimbizi wa UK nchini Rwanda
Jun 11, 2022 10:20Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limejiweka mbali na madai kuwa linaunga mkono mpango wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi nchini Uingereza.
-
DRC yaituhumu Rwanda kuwa imetuma mamia ya askari nchini humo
Jun 09, 2022 23:21Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limedai kuwa Rwanda imetuma mamia ya askari ndani ya ardhi ya nchi hiyo, huku wasiwasi na taharuki ikiendelea kushuhudiwa kati ya nchi hizo jirani na kutishia uhusiano baina yao.
-
Rwanda : Awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka Uingereza watawasili hivi karibuni
May 20, 2022 07:30Waziri mkuu wa Rwanda, Edouard Ngirente, amesema awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka nchini Uingereza, watawasili huko Rwanda hivi karibuni, na kwamba nchi hiyo imekamilisha matayarisho ya kuwapokea.
-
Burundi: Uhusiano na Rwanda utaimarika zaidi ikitukabidhi wahusika wa jaribio la mapinduzi
May 15, 2022 08:06Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi, amesema uhusiano wa nchi yake na Rwanda utakuwa mzuri zaidi iwapo watu waliopanga na kufadhili jaribio la mapinduzi ya kijeshi ya 2015 wanaodhaniwa kuwa wako mafichoni jijini Kigali watarejeshwa mjini Gitega kufunguliwa mashtaka.
-
Kiongozi wa upinzani Rwanda aitahadharisha nchi hiyo kuhusu kuwapokea wakimbizi wa Uingereza
Apr 27, 2022 11:48Mbunge wa upinzani nchini Rwanda amekosoa makubaliano yaliyofikiwa baina ya nchi hiyo na Uingereza kuhusu kuwahamishia Rwanda raia wanaotafuta hifadhi huko Uingereza akisema kuwa, hatua hiyo itasababisha matatizo ya bajeti na kuyumbisha jamii kwa muda mrefu.
-
Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza
Apr 20, 2022 02:48Serikali ya Eritrea imekosoa makubaliano ya kuwahamishia Rwanda wakimbizi kutoka Uingereza ikisisitiza kuwa, mpango huo haukubaliki, unashtua na unapaswa kupingwa na kulaaniwa vikali.
-
Jamhromi: Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari Rwanda
Apr 08, 2022 03:27Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.
-
HRW: Rwanda inawanyamazisha watumiaji wa YouTube kwa mfumo wa sheria wa ukandamizaji
Mar 16, 2022 14:12Viongozi wa upinzani, waandishi wa habari na watoa maoni nchini Rwanda wananyanyaswa na mamlaka za mahakama kwa hotuba na maoni wanayotoa, na hivyo kuzidisha utamaduni wa kutovumilia upinzani. Hayo yameelezwa na shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW).
-
Wanyarwanda wapatao 100 wakimbilia Kongo DR kukwepa chanjo ya Covid-19
Jan 13, 2022 04:12Raia wa Rwanda wapatao 100 wamevuka mpaka na kuingia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa kile wanachosema, wanakimbia nchi yao kwa sababu ya kushurutishwa kupiga chanjo, ili kupambana na janga la Covid-19.