Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sala ya Ijumaa

  • Ayatullah Khatami: Marekani na Saudia zinataka kulifufua kundi la kigaidi la MKO

    Ayatullah Khatami: Marekani na Saudia zinataka kulifufua kundi la kigaidi la MKO

    Aug 19, 2016 12:05

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran amesema kuliunga mkono kundi la kigaidi la Munafiqina ndio mpango mpya wa mabeberu na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya taifa la Iran.

  • Ayatullah Kermani: Siasa mbovu za Saudia kuhusu  Hija zimezijeruhi hisia za Waislamu ulimwenguni

    Ayatullah Kermani: Siasa mbovu za Saudia kuhusu Hija zimezijeruhi hisia za Waislamu ulimwenguni

    Aug 05, 2016 09:00

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, siasa mbovu za serikali ya Saudi Arabia kuhusu ibada ya Hija zimezijeruhi hisia za Waislamu ulimwenguni na zimekuwa ni kwa madhara ya watawala wa Aal Saud.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran alaani jinai za Aal Saud nchini Yemen

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran alaani jinai za Aal Saud nchini Yemen

    Jul 29, 2016 12:04

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saud huko Yemen na kusema kuwa vitendo vya utawala huo vinakinzana na sheria za kimataifa na za Kiislamu.

  • Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Jul 15, 2016 11:37

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani, Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi duniani.

  • Ayatullah Kashani awataka Waislamu kushikamana

    Ayatullah Kashani awataka Waislamu kushikamana

    Jun 17, 2016 09:52

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran ameyatolea mwito mataifa yote ya Waislamu kushikamana na kuwa kitu kimoja mbele ya njama za ustikbari na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya Dini Tukufu ya Uislamu.

  • Saudia inaunga mkono ugaidi na kuua watu wasio na hatia Yemen

    Saudia inaunga mkono ugaidi na kuua watu wasio na hatia Yemen

    Jun 10, 2016 09:33

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema: Jinai za utawala wa Saudia dhidi ya watu wasio na hatia Yemen na uungaji mkono wake kwa ugaidi katika eneo ni mambo yanayofanyika kwa mashali ya madola ya kiistikbari na Uzayuni wa kimataifa.

  • Imam Khomeini alileta taswira sahihi ya Uislamu

    Imam Khomeini alileta taswira sahihi ya Uislamu

    Jun 03, 2016 09:40

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo ya hapa Tehran amesema, Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini MA, aliisafisha taswira ya Uislamu kutokana na upotoshaji hatari wa Marekani, wa kutenganisha dini na siasa.

  • 'Waislamu wakabiliane na magaidi na tawala vibaraka wa Marekani, Israel'

    'Waislamu wakabiliane na magaidi na tawala vibaraka wa Marekani, Israel'

    May 20, 2016 11:57

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran ametoa wito kwa Waislamu kukabiliana na makundi ya kigaidi pamoja na serikali vibaraka ambazo zinapata uungaji mkono wa Marekani na Utawala wa Kizayuni katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Ayatullah Kermani: Vitisho haviwezi kuifanya Iran isalimu amri mbele ya matakwa ya Marekani

    Ayatullah Kermani: Vitisho haviwezi kuifanya Iran isalimu amri mbele ya matakwa ya Marekani

    May 13, 2016 11:45

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, vitisho vya Marekani haviwezi kuifanya Iran isalimu amri mbele ya matakwa ya kutotosheka ya Washington

  • Kermani: Marekani imekiuka mapatano ya nyuklia na Iran

    Kermani: Marekani imekiuka mapatano ya nyuklia na Iran

    Apr 22, 2016 11:08

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema hatua za hivi karibuni za Marekani dhidi ya Iran ni ukiukwaji wa wazi wa mapatano ya nyuklia baina ya Iran na madola sita makubwa duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS