Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sala ya Ijumaa

  • Ayatullah Kermani: Kimya cha taasisi za kimataifa mbele ya ukiukwaji wa haki za binadamu kimeharibu hadhi ya taasisi hizo

    Ayatullah Kermani: Kimya cha taasisi za kimataifa mbele ya ukiukwaji wa haki za binadamu kimeharibu hadhi ya taasisi hizo

    Mar 17, 2017 16:24

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika jiji la Tehran amesema kuwa kimya cha taasisi za kimataifa mkabala na mauaji ya Waislamu duniani yakiwemo mauaji ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar na jinai za Saudi Arabia huko Yemen, kimezifanya taasisi hizo za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zipoteza heshima na hadhi yao.

  • Ayatullah Kermani: Kadhia ya Palestina; kipaumbele cha Iran na Ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Kermani: Kadhia ya Palestina; kipaumbele cha Iran na Ulimwengu wa Kiislamu

    Feb 24, 2017 14:07

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesema kuwa kadhia ya Palestina inapewa uzito katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ni kipaumbele cha Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Iran ya Kiislamu imevunja njama zote za maadui wake

    Iran ya Kiislamu imevunja njama zote za maadui wake

    Feb 17, 2017 14:31

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema kuwa uwezo wa Iran ya Kiislamu ndio uliovunja njama zote za maadui dhidi ya nchi hii.

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Ujumbe wa taifa la Iran umefika kwa maadui

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Ujumbe wa taifa la Iran umefika kwa maadui

    Feb 10, 2017 15:55

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa mahudhurio makubwa na yaliyojaa hamasa ya wananchi wa Iran katika maandamano ya leo ya kuadhimisha mwaka wa 38 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini yamefikisha ujumbe wa kuendelea kusimama kidete kwa ajili ya kuyatetea mapinduzi hayo kwa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Ayatullah Siddiqi: Utawala wa kifalme Bahrain umepoteza uhalali wake

    Ayatullah Siddiqi: Utawala wa kifalme Bahrain umepoteza uhalali wake

    Jan 20, 2017 16:04

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, kunyongwa vijana watatu Waislamu wa Kishia nchini Bahrain kumeufanya utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa upoteze uhalali wake.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran asifu nafasi ya Ayatullah Hashimi Rafsanjani

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran asifu nafasi ya Ayatullah Hashimi Rafsanjani

    Jan 13, 2017 14:05

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika jiji la Tehran amesema kuwa marehemu Ayatullah Hashimi Rafsanjani alikuwa akiwafikiria vijana, akibainisha Uislamu wa kweli na Qur'ani Tukufu kabla na baada ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Ayatullah Khatami: Harakati ya Dei 19 ilikuwa nembo ya umoja wa taifa la Iran

    Ayatullah Khatami: Harakati ya Dei 19 ilikuwa nembo ya umoja wa taifa la Iran

    Jan 06, 2017 14:14

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, harakati ya Dei 19 iliyosadifiana na Januari 9 mwaka 1978 ulikuwa mwanzo wa hatua ya pili ya mapinduzi ya Kiislamu na nembo ya umoja wa taifa la Iran.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran aonya kuhusu jinai za Saudia, Bahrain

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran aonya kuhusu jinai za Saudia, Bahrain

    Dec 30, 2016 15:59

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran ameonya kuhusu mauaji na ukandamizaji unaofanywa na tawala za kikoo za Saudi Arabia na Bahrain dhidi ya mataifa ya Waislamu na kusema tawala hizo zinaelekea kusambaratika kutokana na jinai zao hizo.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran apongeza kukombolewa mji wa Halab nchini Syria

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran apongeza kukombolewa mji wa Halab nchini Syria

    Dec 16, 2016 15:00

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa wanajeshi wa Syria kwa kushirikiana na vikosi vya muqawama wameukomboa mji wa Halab yaani Aleppo uliokuwa ukishikiliwa na magaidi huko kaskazini mwa Syria na hivyo kuzima njama za maadui wa Uislamu.

  • Ayatullah Khatami: Iran itatoa jibu kali kwa ukwamishaji wa Marekani kuhusu JCPOA

    Ayatullah Khatami: Iran itatoa jibu kali kwa ukwamishaji wa Marekani kuhusu JCPOA

    Dec 09, 2016 14:10

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran ameeleza kuwa jibu litakalotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa njama na ukwamishaji unaofanywa na Marekani kuhusu Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA litakuwa kali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS