Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sala ya Ijumaa

  • 'Iran itatoa jibu kali baada ya Marekani kukiuka mapatano ya nyuklia'

    'Iran itatoa jibu kali baada ya Marekani kukiuka mapatano ya nyuklia'

    Dec 02, 2016 16:13

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema hatua ya Bunge la Congress la Marekani kurefusha vikwazo dhidi ya Iran ni ukiukaji wa wazi wa mapatano ya nyuklia baina ya Iran na madola sita makubwa duniani.

  • Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa nchini Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa nchini Bahrain

    Dec 02, 2016 15:39

    Utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain, kwa wiki ya 25 mfululizo, umewazuia Waislamu kusali Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq AS magharibi mwa mji mkuu Manama.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran alaani shambulio la kigaidi dhidi ya Mazuwwar nchini Iraq

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran alaani shambulio la kigaidi dhidi ya Mazuwwar nchini Iraq

    Nov 25, 2016 15:19

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amelaani vikali shambulio la jana la kigaidi mjini Hilla Iraq lililopelekea kuuawa shahidi zaidi ya wafanyaziara 80 wa Imam Hussein as wakiwemo Mazuwwar 40 wa Kiirani.

  • Ayatullah Kashani: Hamasa ya Arubaini ya Imam Hussein ni ishara ya muqawama wa Waislamu

    Ayatullah Kashani: Hamasa ya Arubaini ya Imam Hussein ni ishara ya muqawama wa Waislamu

    Nov 18, 2016 15:09

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, hamasa ya Arubaini ya Imam Hussein (as) mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), ni ishara ya muqawama wa Waislamu wa dunia, hususan wa madhehebu ya Kishia na Kisuni dhidi ya adui wa Uislamu.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran alaani kimya kuhusu jinai za Saudia nchini Yemen

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran alaani kimya kuhusu jinai za Saudia nchini Yemen

    Oct 21, 2016 13:45

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amelaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu kuendelea jinai za utawala wa Saudi Arabia nchini Yemen na katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Kadhim Siddiqi: Taifa la Iran lilisimama imara mbele ya uchokozi na dhulma ya madola makubwa

    Kadhim Siddiqi: Taifa la Iran lilisimama imara mbele ya uchokozi na dhulma ya madola makubwa

    Sep 23, 2016 14:02

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran ameeleza kuwa kurejesha amani na uthabiti katika eneo la Mashariki ya Kati kunategemea kuwepo vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)

    Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)

    Sep 16, 2016 14:56

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema jinai za kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh au ISIS zinatokana na fikra za kuwakufurisha Waislamu ambazo zinatawala Saudi Arabia.

  • Ayatullah Kermani: Wananchi wa Iran hawatasahau maafa ya Mina

    Ayatullah Kermani: Wananchi wa Iran hawatasahau maafa ya Mina

    Sep 02, 2016 15:43

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, watu wa Iran kamwe hawatasahau maafa ya vifo vya kuogofya ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana.

  • Ayatullah Khatami: Marekani na Saudia zinataka kulifufua kundi la kigaidi la MKO

    Ayatullah Khatami: Marekani na Saudia zinataka kulifufua kundi la kigaidi la MKO

    Aug 19, 2016 16:35

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran amesema kuliunga mkono kundi la kigaidi la Munafiqina ndio mpango mpya wa mabeberu na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya taifa la Iran.

  • Ayatullah Kermani: Siasa mbovu za Saudia kuhusu  Hija zimezijeruhi hisia za Waislamu ulimwenguni

    Ayatullah Kermani: Siasa mbovu za Saudia kuhusu Hija zimezijeruhi hisia za Waislamu ulimwenguni

    Aug 05, 2016 13:30

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, siasa mbovu za serikali ya Saudi Arabia kuhusu ibada ya Hija zimezijeruhi hisia za Waislamu ulimwenguni na zimekuwa ni kwa madhara ya watawala wa Aal Saud.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS